Tume ya Katiba
JF-Expert Member
- Apr 6, 2012
- 4,896
- 1,862
zanzibar huru hiyoooooooooooooooo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kuna watu humu hata hawaelewi theories wala mifumo ya governance duniani ilivyo, wanataka waibue yao wao tu wanavyoona. Hili jukwaa sasa linaanza kuharibika kwa kweli, hakuna hoja tena ni utani, kejeli na maudhi tu. Michango ya kitoto imetawala jukwaa sasa, basi ni aibu tupu...
Zanzibara haiwezi kuwa huru kwa kuchoma makanisa na kuua mapadri.zanzibar huru hiyoooooooooooooooo
ha ha basi tutakushukuru mzee wetu ila usisahu matokeo ya uraisi kupingwa mahakamani pliz mzee na mahakama zetu ziwe huru na zitoe haki...tutaanza kuisoma kesho
Na ndoma CHADEMA wamesubili waoe rasimu we unazani tunapinga bila kuwa na hoja na unadhani tunapinga hata mambo mazuri, CHADEMA Tutaisoma rasimu hiyo kama inakidhi matakwa ya watanzania tutasapoti rakini kama haikidhi itapingwa tena kwa nguvu kari, tena ujue mambo uliyo yataja sio pekee yanayo hitajika Tanzania kuna mambo mengi sana.Tume ya Katiba inayoongozwa na Jaji Joseph Warioba inatarajiwa kutoa Rasimu ya Katiba kuanzia kesho Jumatatu.
Taarifa za uhakika kutoka ndani ya tume hiyo zinasema wajumbe wa tume hiyo wameamua kuweka itikadi za vyama pembeni na kuibuka na rasimu ya Katiba yenye mambo mazito na makubwa.
Kati ya yaliyomo ndani ya Rasimu hiyo ni Uanzishwaji wa Serikali ya Tanganyika,Tume huru ya uchaguzi na pia kupiga marufuku wabunge kuwa mawaziri.Pia tume hiyo imependekeza umri wa kugombea urais uwe kuanzia miaka 40.
Wachambuzi wa mambo wanasema haya yatakuwa ni maamuzi magumu na mazito yamefanywa na tume na pia itakuwa imeondoa kabisa uwezekano wa Chama cha CHADEMA kuongoza watanzania kuipinga katiba hiyo kama walivyokuwa wameahidi awali.
Source: Tanzania Daima Jumapili UK. 2
Laiti hiyo taarifa ingekuwa na ukweli ingeleta matumaini,Mungu ibariki Tanzania
Na ndoma CHADEMA wamesubili waoe rasimu we unazani tunapinga bila kuwa na hoja na unadhani tunapinga hata mambo mazuri, CHADEMA Tutaisoma rasimu hiyo kama inakidhi matakwa ya watanzania tutasapoti rakini kama haikidhi itapingwa tena kwa nguvu kari, tena ujue mambo uliyo yataja sio pekee yanayo hitajika Tanzania kuna mambo mengi sana.
Mapolisi kubambikia watu kesi pamoja nda madaraka ya DPP kuingilia uhuru wa mahakama nayo imo?
Ngoja tusubiri hayo maamuzi. Hivi report anakabidhiwa Rais au itatolewa hadharani?
labda "Gorbachev"!Tanganyika ni "Yeltsin" wa Muungano! Time will tell!
Itatolewa hadharani mkuu
Tume ya Katiba inayoongozwa na Jaji Joseph Warioba inatarajiwa kutoa Rasimu ya Katiba kuanzia kesho Jumatatu.
Taarifa za uhakika kutoka ndani ya tume hiyo zinasema wajumbe wa tume hiyo wameamua kuweka itikadi za vyama pembeni na kuibuka na rasimu ya Katiba yenye mambo mazito na makubwa.
Kati ya yaliyomo ndani ya Rasimu hiyo ni Uanzishwaji wa Serikali ya Tanganyika,Tume huru ya uchaguzi na pia kupiga marufuku wabunge kuwa mawaziri.Pia tume hiyo imependekeza umri wa kugombea urais uwe kuanzia miaka 40.
Wachambuzi wa mambo wanasema haya yatakuwa ni maamuzi magumu na mazito yamefanywa na tume na pia itakuwa imeondoa kabisa uwezekano wa Chama cha CHADEMA kuongoza watanzania kuipinga katiba hiyo kama walivyokuwa wameahidi awali.
Source: Tanzania Daima Jumapili UK. 2