Selikali isiyo na dini, tume huru ya uchaguzi, Selikali tatu (Tanganyika, Zanzibar na Muungano), mihimili mitatu iliyo huru (selikali, Bunge na Mahakama.
Lakini pia ningetarajia katiba iweke utaratibu wa kura ya maoni toka kwa wananchi husika (au hata national wide, kulingana na uzito wa jambo) hasa serikali inapoingia mikataba mikubwa na ya muda mrefu. Kwanza ipitie baraza la mawaziri, kisha Bungeni, na ikibidi wananchi wapige kura ya ndio ama hapana kwani mwisho wa siku hao ndio wenye nchi
Sent from my BlackBerry 9780 using JamiiForums
Lakini pia ningetarajia katiba iweke utaratibu wa kura ya maoni toka kwa wananchi husika (au hata national wide, kulingana na uzito wa jambo) hasa serikali inapoingia mikataba mikubwa na ya muda mrefu. Kwanza ipitie baraza la mawaziri, kisha Bungeni, na ikibidi wananchi wapige kura ya ndio ama hapana kwani mwisho wa siku hao ndio wenye nchi
Sent from my BlackBerry 9780 using JamiiForums