Singasinga
JF-Expert Member
- Aug 27, 2011
- 2,711
- 3,279
- Thread starter
- #41
Kwani wangapi wamevuana na mahusiano yaliisha kila mmoja akasepa kivyakeYote hiyo ni kwa sababu mshavuana chupi...!!!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwani wangapi wamevuana na mahusiano yaliisha kila mmoja akasepa kivyakeYote hiyo ni kwa sababu mshavuana chupi...!!!
Lakini inaonekana hupindui kwake mkuuYeah! u much know mwingi sana
kwa kuwa anatongozwa sana sasa alidhani nitamuabudu
[emoji3]Sipindui kivipiLakini inaonekana hupindui kwake mkuu
Akitaka kurudiana na wewe utamkubalia[emoji3]Sipindui kivipi
Honestly namkubali sana ila haimaanishi lazima niwe nae
Mpo likizoHabari wakuu
Kuna binti mmoja tulikua kwenye mahusiano kwa takribani mwaka na visehemu,bahati mbaya sana tukaachana tar1/3 mwaka huu na tukatakiana maisha mema fresh fresh.
Sasa cha ajabu zinaweza zikapita ata wiki3 atanitxt na kunilaumu kwa nini namtenga sijui simtafuti na lawama kibao[emoji3]
Mfano punde tu katoka kunitxt na lawama zile zile na hapo alinicheki tena tar17/3.
Hivi mtu wa aina hii nikumjibu tu vibaya au nifanyaje wakuu? kwa ambao washakutana na hizi changamoto.
Nikiri wazi nampenda sana ila sitaki kabisa kurudisha haya mahusiano na nnapambana sana nimtoe moyoni ila kila nnapoanza kumsahau ndio anajitokeza.
Unatakiwa wewe kuudhibiti moyo wako.....kitendo cha wewe kuileta hapa tukushauri ni kwamba moyo umeshindwa kuhimiri kile ulichokiamua.....Kwa kuwa hulka yangu sio ya kumkaushia mtu
Akinicheki ntakua namjibu fresh tu
Ila mimi kama mimi sitowahi kumtafuta eti kwa kuanzisha mazungumzo.
Akijiongeza apotezee mazima itakua heri zaidi na sijui kwanini mpaka muda huu hajafuta namba yangu wakati ni rahisi tu[emoji3]
Hivi wanawake wanafutaga namba za simu kweli? Nadhani huwa wanafuta baada ya muda mrefu kupita!Kwa kuwa hulka yangu sio ya kumkaushia mtu
Akinicheki ntakua namjibu fresh tu
Ila mimi kama mimi sitowahi kumtafuta eti kwa kuanzisha mazungumzo.
Akijiongeza apotezee mazima itakua heri zaidi na sijui kwanini mpaka muda huu hajafuta namba yangu wakati ni rahisi tu[emoji3]
Nimeshangaa sana,yani unaweza pita muda mrefu ukiwa huna habari ukashangaa kakutafutaHivi wanawake wanafutaga namba za simu kweli? Nadhani huwa wanafuta baada ya muda mrefu kupita!
Kutokufuta namba ni kitu kinachoshangaza kuhusu hawa viumbe!Nimeshangaa sana,yani unaweza pita muda mrefu ukiwa huna habari ukashangaa kakutafuta
Hapa ni kukaza tu asepe siwezi rudia mahusiano ambayo najua baada ya muda mchache tutarudi kule kule.Endelea mkuu hapo unapopita upo kwenye mafunzo ya kuwa baharia[emoji61] nadhani ukihitimu mafunzo hayo makali yenye kuweka moyo magamba na kuwa mwanaume mwenye misimamo mgumu utakuja kufurahia mapenzi rasmi.wewe endelea kupata training hapo unapopita kila man amepita
Ngoja aende tu,hakuna kipyaLamba mbususu hyo inajileta,lamba halafu piga kimya!,wanaume huwa hatukati mbususu!
[emoji3]Sipindui kivipi
Honestly namkubali sana ila haimaanishi lazima niwe nae
Kweli mkuu.Kwa jinsi ninavyojuwa wanawake ikitokea mmeachana na bado anaendelea kukutafuta kwa ubaya Au uzuli tambua ya kwanza kuna vita kubwa inakaribia kuanza kati ya ww na huyo mwanamke ni vita ambayo mwanamke anakuja kulipa kisasi ambacho hutokuja kumsahau maishani mwako kwa kifupi kipindi tegemea mambo yafuatayo.....
1.kuombwa msamaha
2.ombi la kurudiana
3.ukishakubali hapo ndipo Safari yako ya kifo itakapoanza kutengenezwa na hapo hujajua ni kifo cha aina gani
KwaniniNa hapa ndo kutafanya usiweze kuachana nae.
Jana alinitxt asubuhi" Za kwako"Kweli mkuu.
Nilishaachana na dem akaendelea kujipendekeza kwangu nami nikamsikiliza. Alikuja kunipiga pigo moja matata. Ntamchukia miaka yote