Tumeachana ila analaumu simtafuti kwenye simu

Tumeachana ila analaumu simtafuti kwenye simu

Habari wakuu

Kuna binti mmoja tulikua kwenye mahusiano kwa takribani mwaka na visehemu,bahati mbaya sana tukaachana tar1/3 mwaka huu na tukatakiana maisha mema fresh fresh.

Sasa cha ajabu zinaweza zikapita ata wiki3 atanitxt na kunilaumu kwa nini namtenga sijui simtafuti na lawama kibao[emoji3]

Mfano punde tu katoka kunitxt na lawama zile zile na hapo alinicheki tena tar17/3.

Hivi mtu wa aina hii nikumjibu tu vibaya au nifanyaje wakuu? kwa ambao washakutana na hizi changamoto.

Nikiri wazi nampenda sana ila sitaki kabisa kurudisha haya mahusiano na nnapambana sana nimtoe moyoni ila kila nnapoanza kumsahau ndio anajitokeza.

Mpo likizo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwa kuwa hulka yangu sio ya kumkaushia mtu
Akinicheki ntakua namjibu fresh tu
Ila mimi kama mimi sitowahi kumtafuta eti kwa kuanzisha mazungumzo.

Akijiongeza apotezee mazima itakua heri zaidi na sijui kwanini mpaka muda huu hajafuta namba yangu wakati ni rahisi tu[emoji3]
Unatakiwa wewe kuudhibiti moyo wako.....kitendo cha wewe kuileta hapa tukushauri ni kwamba moyo umeshindwa kuhimiri kile ulichokiamua.....
 
Kwa kuwa hulka yangu sio ya kumkaushia mtu
Akinicheki ntakua namjibu fresh tu
Ila mimi kama mimi sitowahi kumtafuta eti kwa kuanzisha mazungumzo.

Akijiongeza apotezee mazima itakua heri zaidi na sijui kwanini mpaka muda huu hajafuta namba yangu wakati ni rahisi tu[emoji3]
Hivi wanawake wanafutaga namba za simu kweli? Nadhani huwa wanafuta baada ya muda mrefu kupita!
 
Hivi wanawake wanafutaga namba za simu kweli? Nadhani huwa wanafuta baada ya muda mrefu kupita!
Nimeshangaa sana,yani unaweza pita muda mrefu ukiwa huna habari ukashangaa kakutafuta
 
Endelea mkuu hapo unapopita upo kwenye mafunzo ya kuwa baharia👮 nadhani ukihitimu mafunzo hayo makali yenye kuweka moyo magamba na kuwa mwanaume mwenye misimamo mgumu utakuja kufurahia mapenzi rasmi.wewe endelea kupata training hapo unapopita kila man amepita
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] power of love
a932a18af0264c638e974db18b9d556e.jpg
 
Endelea mkuu hapo unapopita upo kwenye mafunzo ya kuwa baharia[emoji61] nadhani ukihitimu mafunzo hayo makali yenye kuweka moyo magamba na kuwa mwanaume mwenye misimamo mgumu utakuja kufurahia mapenzi rasmi.wewe endelea kupata training hapo unapopita kila man amepita
Hapa ni kukaza tu asepe siwezi rudia mahusiano ambayo najua baada ya muda mchache tutarudi kule kule.

Ni utoto na upotevu wa muda
 
Kwa jinsi ninavyojuwa wanawake ikitokea mmeachana na bado anaendelea kukutafuta kwa ubaya Au uzuli tambua ya kwanza kuna vita kubwa inakaribia kuanza kati ya ww na huyo mwanamke ni vita ambayo mwanamke anakuja kulipa kisasi ambacho hutokuja kumsahau maishani mwako kwa kifupi kipindi tegemea mambo yafuatayo.....

1.kuombwa msamaha

2.ombi la kurudiana

3.ukishakubali hapo ndipo Safari yako ya kifo itakapoanza kutengenezwa na hapo hujajua ni kifo cha aina gani
Kweli mkuu.
Nilishaachana na dem akaendelea kujipendekeza kwangu nami nikamsikiliza. Alikuja kunipiga pigo moja matata. Ntamchukia miaka yote
 
Kweli mkuu.
Nilishaachana na dem akaendelea kujipendekeza kwangu nami nikamsikiliza. Alikuja kunipiga pigo moja matata. Ntamchukia miaka yote
Jana alinitxt asubuhi" Za kwako"

Nimeipoitezea hadi leo na sina mpango wa kuijibu
 
Back
Top Bottom