Tumeachana ila analaumu simtafuti kwenye simu

Tumeachana ila analaumu simtafuti kwenye simu

Yupo busy na nini sasa?! Mtu akikwambia au kukuonyesha yupo busy msubirie kwenye kuombana hela. Unamchapa tu swali moja kuwa mimi mtu akiwa busy nahisi anatengeneza pesa. Sasa wewe upo busy na pesa hupati, what is the use of being unavailable at the expense of mahusiano yetu ili kufurahisha nafsi yako?!
Na siku hiyo kilichofanya tutengane alinipiga mzinga akadai anataka ashone sare flani.

Nilimjibu kitu kibaya ndo ikawa end of the story.
 
[emoji2]Na kilichofanya tutengane ni yeye kujifanya yuko busy sana hawezi kuja geto
Nikaona cha kugombania nini kila mmoja ashike hamsini zake.

Sasa najiuliza kwanini asiendelee na ratiba zake au ananichora nini.
wew unampenda acha kujishehua,sema na ww unapenda anavyo kutafuta.
 
Back
Top Bottom