Mtumwa huru
Member
- Aug 10, 2017
- 61
- 98
Kiporo hakiitaji moto mwingii ni kidogo kinakuwa cha moto unakula ukishushia na peps baridiii....kapigeee mbunyee hiyoo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Acha iendeKiporo hakiitaji moto mwingii ni kidogo kinakuwa cha moto unakula ukishushia na peps baridiii....kapigeee mbunyee hiyoo
Basi endelea kukaza[emoji3]Sipindui kivipi
Honestly namkubali sana ila haimaanishi lazima niwe nae
Mbona mmeachana kwa sababu dhaifu hivyo?[emoji2]Na kilichofanya tutengane ni yeye kujifanya yuko busy sana hawezi kuja geto
Nikaona cha kugombania nini kila mmoja ashike hamsini zake.
Sasa najiuliza kwanini asiendelee na ratiba zake au ananichora nini.
[emoji2][emoji2][emoji2]Mbususu tayari ina UTI & STDs, msela akijitungua tu anajibebea mavituz..
Kama hujaweza kuwa na uthubutu wa kumuacha unaempenda bado hujawa mwanaume kamiliUnaonekana bado unampenda, na ww ni victim wa maumivu kati yenu.
Sasa mahusiano ya simu tu na mko karibu huko si kudanganyana babuMbona mmeachana kwa sababu dhaifu hivyo?
[emoji23][emoji23] halafu kwenye simu wanajikutaga romantic balaa, kuja geto hawataki.Sasa mahusiano ya simu tu na mko karibu huko si kudanganyana babu
Me unafki siwezi
Muepuke kama ukoma.Dah! nimepitia kaka
Yani mule mule[emoji16]hawa viumbe ni hatari asee
Yani hatari[emoji23][emoji23] halafu kwenye simu wanajikutaga romantic balaa, kuja geto hawataki.
Unajua Katika mahusiano hata kama mwanamke mwenyewe amekuacha Kuna muda anamisi uwepo wako, si mara zote ulikuwa mbaya kwake, Kuna mazuri yako mengi tu anayakumbuka.Iwapo je mwanamke, yeye ndie aliamua kukuacha then baada ya muda ndio anakuwa anakulaumu kwann humjulii hali nk.
Habari wakuu
Kuna binti mmoja tulikua kwenye mahusiano kwa takribani mwaka na visehemu,bahati mbaya sana tukaachana tar1/3 mwaka huu na tukatakiana maisha mema fresh fresh.
Sasa cha ajabu zinaweza zikapita ata wiki3 atanitxt na kunilaumu kwa nini namtenga sijui simtafuti na lawama kibao[emoji3]
Mfano punde tu katoka kunitxt na lawama zile zile na hapo alinicheki tena tar17/3.
Hivi mtu wa aina hii nikumjibu tu vibaya au nifanyaje wakuu? kwa ambao washakutana na hizi changamoto.
Nikiri wazi nampenda sana ila sitaki kabisa kurudisha haya mahusiano na nnapambana sana nimtoe moyoni ila kila nnapoanza kumsahau ndio anajitokeza.
Sio kuwa hakutarajia kuwa utaondoka mazima ila ni kuwa huko alikotarajia kwenda amekuona pa foo alichokuwa anakitarajia sicho alichokikuta.Lakini Ajuza wa JF me naona labda hakutaraji ntasepa mazima maana kipindi tuko kwenye mahusiano alikuwa akipenda kunisumulia jinsi anavopata usumbufu toka kwa wanaume na badae akakata mguu kuja kwangu akidai yuko busy sana[emoji3]
Sasa kwa kuwa nlimuonesha namkubali sana alifikiri ntakubali kile anachoamua yeye so nlipoamua kuvunja mahusiano alikubali tena bila hata kusita.
Sasa hii ya kuja kuja kwenye maisha yangu wakati yeye ni mrembo,mdogo na anatongozwa sana siielewi ikoje.
Na naomba unisaidie hizo mbinu za kumsaidia aoendoke mazima
Ndiyo Mjue na jinsi ya kutuacha sasa sio mnatupa mahaba moto moto halafu ghafla tu mnaanza baby nikuambie kitu, naona mimi na wewe hatuna future naomba tuachane.Hadi kuachana na sisi nako tuwasaidie, hapana kwa kweli, too much.
Sure asee!Duh, kuna mmoja tumebwagana ila haachi kunitafuta ila sipokei wala kujibu sms zake. Juzi amepiga sana sijapokea, akatuma sms eti nikiwa free nimpigie. Sifanyi hiyo biashara. Yeye atengeneze mazingira ya kuachana kisha aanze kusumbua watu halafu na mimi nicheze kwa mdundo wake!..hell no.
Yupo busy na nini sasa?! Mtu akikwambia au kukuonyesha yupo busy msubirie kwenye kuombana hela. Unamchapa tu swali moja kuwa mimi mtu akiwa busy nahisi anatengeneza pesa. Sasa wewe upo busy na pesa hupati, what is the use of being unavailable at the expense of mahusiano yetu ili kufurahisha nafsi yako?![emoji2]Na kilichofanya tutengane ni yeye kujifanya yuko busy sana hawezi kuja geto
Nikaona cha kugombania nini kila mmoja ashike hamsini zake.
Sasa najiuliza kwanini asiendelee na ratiba zake au ananichora nini.
Of which doesn't exist in Men's dictionary.Anataka non-sexual attention and validation..