Tumeachana ila analaumu simtafuti kwenye simu

Na siku hiyo kilichofanya tutengane alinipiga mzinga akadai anataka ashone sare flani.

Nilimjibu kitu kibaya ndo ikawa end of the story.
 
[emoji2]Na kilichofanya tutengane ni yeye kujifanya yuko busy sana hawezi kuja geto
Nikaona cha kugombania nini kila mmoja ashike hamsini zake.

Sasa najiuliza kwanini asiendelee na ratiba zake au ananichora nini.
wew unampenda acha kujishehua,sema na ww unapenda anavyo kutafuta.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…