demisexual
Member
- Jan 10, 2021
- 7
- 28
Ni mwanamke ambaye nimeishi nae zaidi ya miaka miwili lakini tulikuja kuachana kwa fujo sana kutokana na tabia alizo zianzisha na kusababisha kushuka sana kwa utendaji wangu wa kazi sababu nilikuwa bado namuhitaji lakini ndo ugomvi sana. Nikaamua kukubaliana na hali maana alikuwa kashapata mshikaji mwingine ambaye alisabibisha mimi na yeye tuachane japo ilinichukua mda kidogo sababu nilipata depression.
Niliamua kumtafuta na kumuambia kwamba tuongee kila mtu amsamehe mwenzake na kila mtu aendelee na maisha yake maana niliona chuki inaniumiza mwenyewe maana kila nikimuona nilikuwa natetemeka kwa hasira nikaamua kwenda mbali lakini stress zinazidi.
Baada ya kumtafuta kila mtu akaendelea na maisha yake japo hakuniomba msamaha wala nini ni mtu ambaye hawezi kusema nisamehe hata siku moja. Kuna siku akanipigia ananiomba nimu azime hela atanirejeshea nikaamua kumtumia kama nimetoa sadaka lakini nikaona tabia inazoe akanitafuta tena siku nyingine kaniambia anashida na hela kama laki nikagoma kumpa maana nikaona analeta mazoea akati anamtu wake japo najua anashida.
Mara nyingi huwa najisikia vibaya kuona anashida yoyote ata nikisikia kwamba nashida fulani huwa natamani nimsaidie au hata nimtafute nimjulie hali japo ni mwanamke aliniacha kwa zarau sana je anafaa kusaidiwa?.
Niliamua kumtafuta na kumuambia kwamba tuongee kila mtu amsamehe mwenzake na kila mtu aendelee na maisha yake maana niliona chuki inaniumiza mwenyewe maana kila nikimuona nilikuwa natetemeka kwa hasira nikaamua kwenda mbali lakini stress zinazidi.
Baada ya kumtafuta kila mtu akaendelea na maisha yake japo hakuniomba msamaha wala nini ni mtu ambaye hawezi kusema nisamehe hata siku moja. Kuna siku akanipigia ananiomba nimu azime hela atanirejeshea nikaamua kumtumia kama nimetoa sadaka lakini nikaona tabia inazoe akanitafuta tena siku nyingine kaniambia anashida na hela kama laki nikagoma kumpa maana nikaona analeta mazoea akati anamtu wake japo najua anashida.
Mara nyingi huwa najisikia vibaya kuona anashida yoyote ata nikisikia kwamba nashida fulani huwa natamani nimsaidie au hata nimtafute nimjulie hali japo ni mwanamke aliniacha kwa zarau sana je anafaa kusaidiwa?.