Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hiyo roho yako heri uwe mchungaji, huyo hata akiomba vocha mtumie sms ya tafadhali nipigieNi mwanamke ambaye nimeishi nae zaidi ya miaka miwili lakini tulikuja kuachana kwa fujo sana kutokana na tabia alizo zianzisha na kusababisha kushuka sana kwa utendaji wangu wa kazi sababu nilikuwa bado namuhitaji lakini ndo ugomvi sana. Nikaamua kukubaliana na hali maana alikuwa kashapata
Ni mwanamke ambaye nimeishi nae zaidi ya miaka miwili lakini tulikuja kuachana kwa fujo sana kutokana na tabia alizo zianzisha na kusababisha kushuka sana kwa utendaji wangu wa kazi sababu nilikuwa bado namuhitaji lakini ndo ugomvi sana. Nikaamua kukubaliana na hali maana alikuwa kashapata mshikaji mwingine ambaye alisabibisha mimi na yeye tuachane japo ilinichukua mda kidogo sababu nilipata depression.
Hivi watu hela za kuchezea hua mnazitolea wapi?Ni mwanamke ambaye nimeishi nae zaidi ya miaka miwili lakini tulikuja kuachana kwa fujo sana kutokana na tabia alizo zianzisha na kusababisha kushuka sana kwa utendaji wangu wa kazi sababu nilikuwa bado namuhitaji lakini ndo ugomvi sana. Nikaamua kukubaliana na hali maana alikuwa kashapata mshikaji mwingine ambaye alisabibisha mimi na yeye tuachane japo ilinichukua mda kidogo sababu nilipata depression.
Niliamua kumtafuta na kumuambia kwamba tuongee kila mtu amsamehe mwenzake na kila mtu aendelee na maisha yake maana niliona chuki
hapana jamani huo ni undesi hahahahhahahahaEndelea kumsaidia,hata wanaume wengne hufanya hvyo pia
Sasa hivi hata kile ki infinix chake cha smart2 kimeharabika. Aliniomba mi nimwongezee akanunua kitecno cha batani. Kusema kweli hajui kusema nisamehe ila anashida. We msaidie tu mi huwa namsaidia kwa kuwa alishawahi kuwa rafiki wa aliyekuwa mpenzi wangu mwaka jana wa juziAmuombe bwana ake mpya
Kwani we unamtafuta siku ukiwa na raha?So anakutafuta akiwa na shida tu? If yes bora hiyo hela nipe mimi.
Ana moyo mzuriAcha uzwazwa Mkuu! Mtu wa hivyo unamuhurumiaje? Ni kwamba apambane na hali yake, na anapopambana na hali yake ahakikishe hatingishi hali za wengine.
Ulipewa LIMBWATWA sio bure!Ni mwanamke ambaye nimeishi nae zaidi ya miaka miwili lakini tulikuja kuachana kwa fujo sana kutokana na tabia alizo zianzisha na kusababisha kushuka sana kwa utendaji wangu wa kazi sababu nilikuwa bado namuhitaji lakini ndo ugomvi sana. Nikaamua kukubaliana na hali maana alikuwa kashapata mshikaji mwingine ambaye alisabibisha mimi na yeye tuachane japo ilinichukua mda kidogo sababu nilipata depression.
Niliamua kumtafuta na kumuambia kwamba tuongee kila mtu amsamehe mwenzake na kila mtu aendelee na maisha yake maana niliona chuki inaniumiza mwenyewe maana kila nikimuona nilikuwa natetemeka kwa hasira nikaamua kwenda mbali lakini stress zinazidi.
Baada ya kumtafuta kila mtu akaendelea na maisha yake japo hakuniomba msamaha wala nini ni mtu ambaye hawezi kusema nisamehe hata siku moja. Kuna siku akanipigia ananiomba nimu azime hela atanirejeshea nikaamua kumtumia kama nimetoa sadaka lakini nikaona tabia inazoe akanitafuta tena siku nyingine kaniambia anashida na hela kama laki nikagoma kumpa maana nikaona analeta mazoea akati anamtu wake japo najua anashida.
Mara nyingi huwa najisikia vibaya kuona anashida yoyote ata nikisikia kwamba nashida fulani huwa natamani nimsaidie au hata nimtafute nimjulie hali japo ni mwanamke aliniacha kwa zarau sana je anafaa kusaidiwa?.
Una miguu mizuriSo anakutafuta akiwa na shida tu? If yes bora hiyo hela nipe mimi.
Ha ha haaa,umemuweza .....kajisahau huyo
Ha ha haaa,umemuweza .....kajisahau huyo