Tumeachana lakini huwa najisikia vibaya kuona anashida

Tumeachana lakini huwa najisikia vibaya kuona anashida

Unatafuta kupigwa tukio mkuu ,mmeachana unageuza shingo ya Nini?.Mblock usiwasiliane nae tena.kitendo Cha kuwa na mawasiliano nae kosa, mwanamke anauwezo wa kushawishi mkubwa Sana.
 
Ni mwanamke ambaye nimeishi nae zaidi ya miaka miwili lakini tulikuja kuachana kwa fujo sana kutokana na tabia alizo zianzisha na kusababisha kushuka sana kwa utendaji wangu wa kazi sababu nilikuwa bado namuhitaji lakini ndo ugomvi sana. Nikaamua kukubaliana na hali maana alikuwa kashapata
Hiyo roho yako heri uwe mchungaji, huyo hata akiomba vocha mtumie sms ya tafadhali nipigie
 
Fanya yako acha ubwege. Unamsaidia vipi mtu aliyekudharau na wala hakuona umuhimu wa kukuomba samahani!?

Ni mwanamke ambaye nimeishi nae zaidi ya miaka miwili lakini tulikuja kuachana kwa fujo sana kutokana na tabia alizo zianzisha na kusababisha kushuka sana kwa utendaji wangu wa kazi sababu nilikuwa bado namuhitaji lakini ndo ugomvi sana. Nikaamua kukubaliana na hali maana alikuwa kashapata mshikaji mwingine ambaye alisabibisha mimi na yeye tuachane japo ilinichukua mda kidogo sababu nilipata depression.
 
Achana nae atakuongezea stress piga chini huyo jumla,, kupenda asiyekupenda ni risk taking achana nae kabisa mpe mkeo mpya ,, usiwe na huruma na kiumbe Kama hicho
 
Ni mwanamke ambaye nimeishi nae zaidi ya miaka miwili lakini tulikuja kuachana kwa fujo sana kutokana na tabia alizo zianzisha na kusababisha kushuka sana kwa utendaji wangu wa kazi sababu nilikuwa bado namuhitaji lakini ndo ugomvi sana. Nikaamua kukubaliana na hali maana alikuwa kashapata mshikaji mwingine ambaye alisabibisha mimi na yeye tuachane japo ilinichukua mda kidogo sababu nilipata depression.

Niliamua kumtafuta na kumuambia kwamba tuongee kila mtu amsamehe mwenzake na kila mtu aendelee na maisha yake maana niliona chuki
Hivi watu hela za kuchezea hua mnazitolea wapi?
 
Ni sahihi bado una m-feel,lakini kama unakiri alikuacha kwa dharau jaribu kufikiri,
i.Vipi Kama mtu aliyenae atafahamu kuwa unamtumia pesa mwanamke wake ambae alikuwa ex wako?
ii.Inakuaje kama anakuchukulia,samahani(mtu fulani ivi boya)?
iii.Akitaka kurudi kwako uko tayari hata kama hujui atakuwa na lengo gani?
 
Amuombe bwana ake mpya
Sasa hivi hata kile ki infinix chake cha smart2 kimeharabika. Aliniomba mi nimwongezee akanunua kitecno cha batani. Kusema kweli hajui kusema nisamehe ila anashida. We msaidie tu mi huwa namsaidia kwa kuwa alishawahi kuwa rafiki wa aliyekuwa mpenzi wangu mwaka jana wa juzi

Sent from my TECNO K7 using JamiiForums mobile app
 
Wacha kumsaidia dunia imfunze. Kwa nini kama ana maana asikutafute wakati wa raha ila anakutafuta wakati wa shida. Achana nae mzee unawalea watu ili watatue shida zao wakati wamekuacha kwa dharau na maumivu. Jinga kabisa
 
Mafala Ni wengi Sana duniani.

Haya bwana mtoa misaada

We endelea tu
 
Ni mwanamke ambaye nimeishi nae zaidi ya miaka miwili lakini tulikuja kuachana kwa fujo sana kutokana na tabia alizo zianzisha na kusababisha kushuka sana kwa utendaji wangu wa kazi sababu nilikuwa bado namuhitaji lakini ndo ugomvi sana. Nikaamua kukubaliana na hali maana alikuwa kashapata mshikaji mwingine ambaye alisabibisha mimi na yeye tuachane japo ilinichukua mda kidogo sababu nilipata depression.

Niliamua kumtafuta na kumuambia kwamba tuongee kila mtu amsamehe mwenzake na kila mtu aendelee na maisha yake maana niliona chuki inaniumiza mwenyewe maana kila nikimuona nilikuwa natetemeka kwa hasira nikaamua kwenda mbali lakini stress zinazidi.

Baada ya kumtafuta kila mtu akaendelea na maisha yake japo hakuniomba msamaha wala nini ni mtu ambaye hawezi kusema nisamehe hata siku moja. Kuna siku akanipigia ananiomba nimu azime hela atanirejeshea nikaamua kumtumia kama nimetoa sadaka lakini nikaona tabia inazoe akanitafuta tena siku nyingine kaniambia anashida na hela kama laki nikagoma kumpa maana nikaona analeta mazoea akati anamtu wake japo najua anashida.

Mara nyingi huwa najisikia vibaya kuona anashida yoyote ata nikisikia kwamba nashida fulani huwa natamani nimsaidie au hata nimtafute nimjulie hali japo ni mwanamke aliniacha kwa zarau sana je anafaa kusaidiwa?.
Ulipewa LIMBWATWA sio bure!
 
Huna akili au unazo pesa za kuchezea.Mama etu ulimpa laki Mara ya mwisho lini ivi?
 
Back
Top Bottom