Tumeachana rasmi kwa kuwa mimi si Mchaga

Tumeachana rasmi kwa kuwa mimi si Mchaga

Aiseee..mm Baba angu ni mchaga mama Kabila kingne,
Kiukweli cjawah kuishi uchagan hata lugha yao cjui kuiongea nahc mshua alibobea Sana mjini na alikua anafanya Mambo yake mengi Kwa kificho.huwezi amini Baba alikuja kufunga ndoa kimyakimya na mchaga mwenzake wakaanzisha familia,Mzee cjui alirogwa maana hata matunzo kwetu akawa hatoi mama ndo alitusomesha mungu saidia sasa hv kila mtu ana kazi yake ya maana.
Babu mzaa Baba alipofariki ndio tulienda huko na kukutana na familia nyingine ya Mzee lakini ubaguz ulijionyesha dhahiri..kwakua Nina mpunga wangu wa kutosha na Mzee analijua hilo akawa anajaribu Kama kubalance Mambo Ila mashangazi wakatukazia kimtindo.
Mambo yalipoisha mshua akatutambulisha pale pamoja na kazi tunazofanya nikaona mashangazi mishipa ya uso inawalegea mara ooh hawa pia ni wadogo zenu muwasaidie nikamjibu sawa.baadae mm na familia yangu tukajitia ndani ya ndinga tunaamsha japo walijidai ooh kuna Mambo ya Mila mm ckujali.
Kuna wakati ctaman kusema mm ni mchaga yaan nataman badili hata ukoo maana hata mwanamke ukimpenda ukimtajia jina la ukoo ana kukwepa.
WACHAGA NI WANA ROHO MBAYA KULIKO SHETANI.
NI WABINAFSI HATARI.


Sent from my Nokia 2.3 using JamiiForums mobile app
Mungu tumwache aitwe Mungu maana kama sio Mungu leo ningenyanyaswa na mchaga. Mchaga kiasili ni wabinafsi na choyo na ubaguzi sana. Hata ofisini ukiwa na mchaga aisee jipange sana labda awe mkubwa kwako.
 
Tuhuma dhidi ya wachaga zimevuma saana, Mimi si mchaga lakin nimeishi nao saana, mengi mnawasingizia....
 
Kwa kweli dunia ina mambo ya ajabu sana. Exboyfriend wangu ni Mchaga wa milimani. Tumedumu naye katika mahusiano kwa miaka zaidi ya mitano. Lakini katika muda huo kumekuwa na ups and down nyingi sana ambapo tukikaa tunarekebisha maisha yanaendelea.

Kwao natambulika ingawa si rasmi. Na swali la kwanza waliloniuliza kwao mimi ni kabila gani.

Wakaonyesha kunipokea na kunijali ingawa haikuwa utambulisho rasmi.
Baada ya miaka yote, nimegundua mwenzangu ameanzisha mahusiano na binti wa kichaga, yupo chuo mkoani.

Nikajaribu kuongea na mwenzangu ambaye aliniambia hayupo serious naye na ndio maana muda wote yupo na mimi na hawezi kuniacha hata itokee nini.

Baada ya siku chache tena mwenzangu akawa anaendeleza mahusiano hadi kupigiana simu zao mbele yangu.

Nilichokifanya ni kumlazimisha jamaa kuchagua jambo moja, mimi au Mchaga mwenzake wa huko chuo.
Mwenzangu alionyesha ugumu sana sana sana kuniacha ila pia kule kwa Mchaga mwenzake pia hataki kuacha.

Anachonieleza ni kuwa amenizoea, namjali, mimi ni part ya maisha yake, hivyo hataki niondoke ila wazazi wake wanataka apeleke mtu Mchaga na si kabila lingine.

Nimeamua kuondoka katika maisha yake ingawa mpaka sasa mwenzangu analeta ugumu sana katika kuchukua vitu vyangu nilivyoacha kwake. Ananidanganya na kunizungusha sana lakini kiukweli maisha anayotaka niyaishi, si maisha ninayoyataka.

Nimehuzunika tu kwa kuwa tumefika mwisho kwa sababu mimi si MCHAGA. Ubaguzi ambao Wachaga wengi wanao.

Nashukuru Mungu kwa kunipa pumzi hii hata nimeweza kulitoa dukuduku hili kwa ndugu zangu wana JF.
Pamoja na comment za kibabe ila kiukweli huwa ninafarijika sana ninaposhare na kukosolewa au kuonyeshwa njia sahihi.
"Chasaka"....ndivo Wachaga wanavowaita watu wa makabila mengine
 
We nenda tu ila jua kuwa asili ndio huzaa ubaguzi, mtu Kama mtu sio mbaguzi ila asili yake ndio huleta kubagua. Wajaluo ni Kama wahaya, tofauti yao ni kuwa wajaluo Hawapendi mafanikio ya wengine. Wana wivu wa kizamani, wivu Negative!
kama akinyi hakupenda maendeleo ya chriss
 
Mbona huyo jamaa inaonyesha anampenda huyu dada, halafu amekosea kuingiza ukabila kwenye mapenzi hata kama huyo mwenza wake ni mchaga. Yeye kaambiwa anapendwa Ila kaamua kujiachisha. Siku hizi mahusiano yana gharama sasa huyu anachukulia poa. Inatakiwa amkazie boy wake ili nae ajue kweli anapendwa
Mkuu anayempenda hawezi kuwa na mtu mwingine hebu tuacheni masihara na ubinafsi jamani au mnamuona huyo dada ana moyo wa chuma "eti kaamua kujiachishwa" seriously?
 
Pole mwanamke mwenzangu,sio mtaalamu wa mapenzi lakini nakupa kile ninachokiona,huyo anatumia tu ukabila kuondokana na wewe maana nafsi inamsuta anakuanzaje na katumia kivuli cha wazazi wake tu kujustfy matendo yake,inashangaza.Anaekupenda asingefanya hata hizo dharau za kupiga simu kwa mtu mwingine mbele yako achia mbali kukuonyesha kuwa kuna mwanamke mwingine,Please Mungu kamuandikia kila mtu story yake ya maisha ni ngumu ila kaza moyo maisha yaendelee.
 
Kwa kweli dunia ina mambo ya ajabu sana. Exboyfriend wangu ni Mchaga wa milimani. Tumedumu naye katika mahusiano kwa miaka zaidi ya mitano. Lakini katika muda huo kumekuwa na ups and down nyingi sana ambapo tukikaa tunarekebisha maisha yanaendelea.

Kwao natambulika ingawa si rasmi. Na swali la kwanza waliloniuliza kwao mimi ni kabila gani.

Wakaonyesha kunipokea na kunijali ingawa haikuwa utambulisho rasmi.
Baada ya miaka yote, nimegundua mwenzangu ameanzisha mahusiano na binti wa kichaga, yupo chuo mkoani.

Nikajaribu kuongea na mwenzangu ambaye aliniambia hayupo serious naye na ndio maana muda wote yupo na mimi na hawezi kuniacha hata itokee nini.

Baada ya siku chache tena mwenzangu akawa anaendeleza mahusiano hadi kupigiana simu zao mbele yangu.

Nilichokifanya ni kumlazimisha jamaa kuchagua jambo moja, mimi au Mchaga mwenzake wa huko chuo.
Mwenzangu alionyesha ugumu sana sana sana kuniacha ila pia kule kwa Mchaga mwenzake pia hataki kuacha.

Anachonieleza ni kuwa amenizoea, namjali, mimi ni part ya maisha yake, hivyo hataki niondoke ila wazazi wake wanataka apeleke mtu Mchaga na si kabila lingine.

Nimeamua kuondoka katika maisha yake ingawa mpaka sasa mwenzangu analeta ugumu sana katika kuchukua vitu vyangu nilivyoacha kwake. Ananidanganya na kunizungusha sana lakini kiukweli maisha anayotaka niyaishi, si maisha ninayoyataka.

Nimehuzunika tu kwa kuwa tumefika mwisho kwa sababu mimi si MCHAGA. Ubaguzi ambao Wachaga wengi wanao.

Nashukuru Mungu kwa kunipa pumzi hii hata nimeweza kulitoa dukuduku hili kwa ndugu zangu wana JF.
Pamoja na comment za kibabe ila kiukweli huwa ninafarijika sana ninaposhare na kukosolewa au kuonyeshwa njia sahihi.
Umefanya maamuzi sahihi shigaangu? Njia mbili zilimshinda fisi. Kama ameshindwa kuamua awe na nani kati yenu wawili na hakubali kumuacha huyo aliyechaguliwa na wazazi, uamuzi wako kujiondokea ni sahihi kabisa. Muda uliopoteza naye umetosha. Jali maisha yako, kama ulipangiwa ndoa, ipo tu itakuja.
 
Acheni chuki na wachagga, umeachwa kwa sababu nyingine, embu muulize vizuri huyo muachaji, acha kulia lia
Atumie lugha gani sasa kumuuliza? Usiwatetee wachaga, ubaguzi huo wanao. Kama wewe ni mchaga pia kubali ukweli huo mchungu!
 
kuna baazi ya makabila ukipeleka home wanaweza kukupeleka mirembe, mimi binafsi nikishajua mwanamke ni msukuma au mgogo nakutema hapohapo
 
Back
Top Bottom