Tumeandaa AFCON sawa, nchi ipi kati ya Kenya, Uganda na Tanzania itatoa timu mwenyeji wa mashindano?

Tumeandaa AFCON sawa, nchi ipi kati ya Kenya, Uganda na Tanzania itatoa timu mwenyeji wa mashindano?

Tanzania ndio itaandaa kulingana na Ubora wa kiwanja pia idadi ya wananchi wanaofatilia soka.... Ndio maana Rais wa TFF alilia baada kusikia Afrika Mashariki imekubaliwa kuwa mwenyeji kwa sababu Tanzania kuna Viwanja bora ukilinganisha na majirani pia watanzania ni watu wanaofatilia mpira
Ivo viwanja bora unavoongelea ni vp? Iviivi vya ccm au kuna vingine??
 
Ivo viwanja bora unavoongelea ni vp? Iviivi vya ccm au kuna vingine??
Au kuna viwanja vya Chadema pia?
Hapo mimi ninachoongelea ni kuwa Kenya na Uganda viwanja vyao sio bora kama vyetu....
 
Tanzania ndio itaandaa kulingana na Ubora wa kiwanja pia idadi ya wananchi wanaofatilia soka.... Ndio maana Rais wa TFF alilia baada kusikia Afrika Mashariki imekubaliwa kuwa mwenyeji kwa sababu Tanzania kuna Viwanja bora ukilinganisha na majirani pia watanzania ni watu wanaofatilia mpira
Najiandaa mapema kabisa Kuicheki hii

Fainali kati ya Egypt na Senegal
Au Ghana na Cote D'Ivoire.

au Algeria na Cameroon.

By that time Sadio na Mo Salah umri unakuwa umeenda mbele sana.

Ila muhimu sana nitakuwepo
 
Au kuna viwanja vya Chadema pia?
Hapo mimi ninachoongelea ni kuwa Kenya na Uganda viwanja vyao sio bora kama vyetu....
Nipe jibu viwanja vyetu vina ubora gani ukitoa Lupaso na Chamazi?
 
Tanzania ndio itaandaa kulingana na Ubora wa kiwanja pia idadi ya wananchi wanaofatilia soka.... Ndio maana Rais wa TFF alilia baada kusikia Afrika Mashariki imekubaliwa kuwa mwenyeji kwa sababu Tanzania kuna Viwanja bora ukilinganisha na majirani pia watanzania ni watu wanaofatilia mpira
Mkuu nakubaliana na wewe maana hata akina mama J nao wamo
 
Elfu Tisini siyo mchezo mzee..ni rahisi kutamka lakini utekelezaji siyo rahisi ..

Kwa Ulaya nzima ni viwanja viwili tuu vina uwezo wa kuingiza mashabiki elfu 90 na ni Wembley elfu 90na na Camp nou 99,000
Zamani wakati nakuwa nikiwa mshabiki wa team yangupendwa. Nikajua OT ndio kila kitu
 
Kenya Uganda na Tanzania zimepewa nafasi ya kuandaa kwa pamoja fainali za Kombe la Mataifa ya Afrika (Afcon) mwaka 2027 baada ya Shirikisho la soka Afrika (CAF) kutangaza kuwa ombi lao pa pamoja limeshinda dhidi ya maombi ya Algeria, Misri na Botswana ambazo nazo ziliomba.

Kwa kawaida utaratibu jinsi ulivyo, ni kwamba nchi mwenyeji hupewa fursa kwa timu yake kukata tiketi ya moja kwa moja kushiriki.

Sasa kwa hizi nchi tatu ni ipi itatoa mwenyeji au zote zitapata nafasi hiyo, utaratibu kwa nchi tatu ukoje?
Hapo unauliza nn? Wataangalia na ukubwa wa nchi pia,, sasa Kenya na Uganda ukijumlisha hata haifk Tanzania Kwa nn wasitupe? Nchi ina aman watu wake wanapendana, hakuna vurugu ,viongoz wanaachiana madaraka Kwa aman ,na utawala mwingne unaingia ,sasa Kwa nn wasitupe? Hii nafas ni yetu Amin usiamn
 
Back
Top Bottom