Mwalimu wa tuisheni
JF-Expert Member
- Oct 19, 2019
- 6,602
- 10,801
Arusha jiji kubwa ila linashindwa kuwa na timu ligi kuu, bora nguvu nyingi wapeleke kirumba na Ali Hassan mwinyi wa taboraAfcon huwa haileti washabiki wengi, 30k tosha sana. Hata arusha wajenge hivyohivyo tu. Vitasaidia ligi kuu baada ya AFCON
Ivo viwanja bora unavoongelea ni vp? Iviivi vya ccm au kuna vingine??Tanzania ndio itaandaa kulingana na Ubora wa kiwanja pia idadi ya wananchi wanaofatilia soka.... Ndio maana Rais wa TFF alilia baada kusikia Afrika Mashariki imekubaliwa kuwa mwenyeji kwa sababu Tanzania kuna Viwanja bora ukilinganisha na majirani pia watanzania ni watu wanaofatilia mpira
Au kuna viwanja vya Chadema pia?Ivo viwanja bora unavoongelea ni vp? Iviivi vya ccm au kuna vingine??
Najiandaa mapema kabisa Kuicheki hiiTanzania ndio itaandaa kulingana na Ubora wa kiwanja pia idadi ya wananchi wanaofatilia soka.... Ndio maana Rais wa TFF alilia baada kusikia Afrika Mashariki imekubaliwa kuwa mwenyeji kwa sababu Tanzania kuna Viwanja bora ukilinganisha na majirani pia watanzania ni watu wanaofatilia mpira
Nipe jibu viwanja vyetu vina ubora gani ukitoa Lupaso na Chamazi?Au kuna viwanja vya Chadema pia?
Hapo mimi ninachoongelea ni kuwa Kenya na Uganda viwanja vyao sio bora kama vyetu....
DP WORLD2027 vipi kama tutakua Tz tumeuzwa USA,asa itakuaje wadau?
Mkataba wa mauziano utakuwa unaeleza kuhusu assets and liabilities! Shaka ondoa.2027 vipi kama tutakua Tz tumeuzwa USA,asa itakuaje wadau?
Mkuu nakubaliana na wewe maana hata akina mama J nao wamoTanzania ndio itaandaa kulingana na Ubora wa kiwanja pia idadi ya wananchi wanaofatilia soka.... Ndio maana Rais wa TFF alilia baada kusikia Afrika Mashariki imekubaliwa kuwa mwenyeji kwa sababu Tanzania kuna Viwanja bora ukilinganisha na majirani pia watanzania ni watu wanaofatilia mpira
Zamani wakati nakuwa nikiwa mshabiki wa team yangupendwa. Nikajua OT ndio kila kituElfu Tisini siyo mchezo mzee..ni rahisi kutamka lakini utekelezaji siyo rahisi ..
Kwa Ulaya nzima ni viwanja viwili tuu vina uwezo wa kuingiza mashabiki elfu 90 na ni Wembley elfu 90na na Camp nou 99,000
Hapo unauliza nn? Wataangalia na ukubwa wa nchi pia,, sasa Kenya na Uganda ukijumlisha hata haifk Tanzania Kwa nn wasitupe? Nchi ina aman watu wake wanapendana, hakuna vurugu ,viongoz wanaachiana madaraka Kwa aman ,na utawala mwingne unaingia ,sasa Kwa nn wasitupe? Hii nafas ni yetu Amin usiamnKenya Uganda na Tanzania zimepewa nafasi ya kuandaa kwa pamoja fainali za Kombe la Mataifa ya Afrika (Afcon) mwaka 2027 baada ya Shirikisho la soka Afrika (CAF) kutangaza kuwa ombi lao pa pamoja limeshinda dhidi ya maombi ya Algeria, Misri na Botswana ambazo nazo ziliomba.
Kwa kawaida utaratibu jinsi ulivyo, ni kwamba nchi mwenyeji hupewa fursa kwa timu yake kukata tiketi ya moja kwa moja kushiriki.
Sasa kwa hizi nchi tatu ni ipi itatoa mwenyeji au zote zitapata nafasi hiyo, utaratibu kwa nchi tatu ukoje?