Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ctrl + WImeelezwa kuwa Matayarisho yanaendelea kukutana na wenzetu nje ya dunia
Wanasayansi wengi wanaamini kuwa zipo dalili nyingi zaidi sasa kuwa binadamu hatuko peke yetu kwenye ulimwengu wa cosmos.
Kwa upande mwengine maafisa wa CIA akiwemo mstaafu John Ramirez wanasema uwezekano huo ni mkubwa kutokana na idadi ya UFO ambao wameongezeka kuitembelea dunia.
John Ramirez ametoa hofu yake kwamba serikali ya nchi yake inaficha habari hizo na si jambo jema kwani watu wanatakiwa watayarishwe kuwapokea wageni hao badala ya kuja kuzuka taharuki wakiwaona ghafla karibu yao kwa mara ya mwanzo
Wanasayansi wanaofanya kazi kituo cha NASA hasa chumba cha mawasiliano ya kusikiliza sauti kutoka mbali wamesema kila siku wanajitayarisha kupokea sauti kutoka huko na japo bado hawajapata sauti zenye kufahamika vyema lakini wanahisi kuna dalili ya jambo hilo kutokea hivi karibuni na haitozidi miaka 20mpaka 30 ijayo.Tatizo la wazi wanaloliona ni lugha ya kujibu sauti hizo.
Zipo nyota zaidi ya bilioni 300 ndani ya galaksi ya Milky way ambako dunia imo ndani yake. Kila nyota inakisiwa ina angalau sayari moja mfano wa dunia.
Zaidi ya hapo tayari zimeshaonekana sayari 5000 nje ya mfumo wa Jua (Solar System). Zaidi ya galksi hii ya Milky way ziko galaxy nyengine zaidi ya bilioni 200 zilizoonekana kwa teknolojia ya sasa.
Darubini ya James Webb tayari imeweza kuona baadhi ya sayari zikiwa na gesi ambazo hutolewa na viumbe hai tu kwa hapa duniani.
View attachment 2767380
🤓🤓🤓🤓🤓NO,Not at all
Mars hakufai kabisa.Angalia mlima wa vumbi hilo. Jeusi halina hata pa kupenya.Likipiga Dar es salaam yote hakuna kuonana.Utakua jambo jema.
Tunapaswa kuona viumbe wengine walio nje ya hii Dunia.
Hata Elon anasema 2030 ataanza mchakato tuhamie sayari ya Mars, mungu abakie na dunia yake sisi tutasepa.
Huna akili mkuu hii itakukosti.Kwa usalama wake bora asirudi,
Akirudi wahuni watampiga miti.
Nawashangaa sana ambao hamjakutana nao mpaka leo hii. Mbona wapo wengi sana?Imeelezwa kuwa Matayarisho yanaendelea kukutana na wenzetu nje ya dunia
Wanasayansi wengi wanaamini kuwa zipo dalili nyingi zaidi sasa kuwa binadamu hatuko peke yetu kwenye ulimwengu wa cosmos.
Kwa upande mwengine maafisa wa CIA akiwemo mstaafu John Ramirez wanasema uwezekano huo ni mkubwa kutokana na idadi ya UFO ambao wameongezeka kuitembelea dunia.
John Ramirez ametoa hofu yake kwamba serikali ya nchi yake inaficha habari hizo na si jambo jema kwani watu wanatakiwa watayarishwe kuwapokea wageni hao badala ya kuja kuzuka taharuki wakiwaona ghafla karibu yao kwa mara ya mwanzo
Wanasayansi wanaofanya kazi kituo cha NASA hasa chumba cha mawasiliano ya kusikiliza sauti kutoka mbali wamesema kila siku wanajitayarisha kupokea sauti kutoka huko na japo bado hawajapata sauti zenye kufahamika vyema lakini wanahisi kuna dalili ya jambo hilo kutokea hivi karibuni na haitozidi miaka 20mpaka 30 ijayo.Tatizo la wazi wanaloliona ni lugha ya kujibu sauti hizo.
Zipo nyota zaidi ya bilioni 300 ndani ya galaksi ya Milky way ambako dunia imo ndani yake. Kila nyota inakisiwa ina angalau sayari moja mfano wa dunia.
Zaidi ya hapo tayari zimeshaonekana sayari 5000 nje ya mfumo wa Jua (Solar System). Zaidi ya galksi hii ya Milky way ziko galaxy nyengine zaidi ya bilioni 200 zilizoonekana kwa teknolojia ya sasa.
Darubini ya James Webb tayari imeweza kuona baadhi ya sayari zikiwa na gesi ambazo hutolewa na viumbe hai tu kwa hapa duniani.
View attachment 2767380
Unataka kuonana nao?Huyo uliyekutana naye yukoje,ulimjuaje na ulizungumza naye vipi?
Watasema kibwengo.Wanadamu walivyo na stress kipindi hiki akija watamfanya kitu ambacho hatokaa asahau! Maji atayaita mma
Hakafu hizo UFO kwa asilimia kubwa zinatembelea maeneo yaliyotunswa kama siri na NASA.Uzi huu unakusudiwa uwe ni endelevu na uwe unapokea taarifa mpya mpya kila huo muda unavyokaribia
Kwa sababu imeelezwa kuwa matayarisho yanaendelea kukutana na wenzetu nje ya dunia
Wanasayansi wengi wanaamini kuwa zipo dalili nyingi zaidi sasa kuwa binadamu hatuko peke yetu kwenye ulimwengu wa cosmos.
Kwa upande mwengine maafisa wa CIA akiwemo mstaafu John Ramirez wanasema uwezekano huo ni mkubwa kutokana na idadi ya UFO ambao wameongezeka kuitembelea dunia.
John Ramirez ametoa hofu yake kwamba serikali ya nchi yake inaficha habari hizo na si jambo jema kwani watu wanatakiwa watayarishwe kuwapokea wageni hao badala ya kuja kuzuka taharuki wakiwaona ghafla karibu yao kwa mara ya mwanzo
Wanasayansi wanaofanya kazi kituo cha NASA hasa chumba cha mawasiliano ya kusikiliza sauti kutoka mbali wamesema kila siku wanajitayarisha kupokea sauti kutoka huko na japo bado hawajapata sauti zenye kufahamika vyema lakini wanahisi kuna dalili ya jambo hilo kutokea hivi karibuni na haitozidi miaka 20mpaka 30 ijayo.Tatizo la wazi wanaloliona ni lugha ya kujibu sauti hizo.
Zipo nyota zaidi ya bilioni 300 ndani ya galaksi ya Milky way ambako dunia imo ndani yake. Kila nyota inakisiwa ina angalau sayari moja mfano wa dunia.
Zaidi ya hapo tayari zimeshaonekana sayari 5000 nje ya mfumo wa Jua (Solar System). Zaidi ya galksi hii ya Milky way ziko galaxy nyengine zaidi ya bilioni 200 zilizoonekana kwa teknolojia ya sasa.
Darubini ya James Webb tayari imeweza kuona baadhi ya sayari zikiwa na gesi ambazo hutolewa na viumbe hai tu kwa hapa duniani.
View attachment 2767380
mimi nataka kuonana nao dada FaizaFoxyNawashangaa sana ambao hamjakutana nao mpaka leo hii. Mbona wapo wengi sana?
Mungu akurehemu ndugu. Waulize Sodoma na Gomora kilichowatokea walipokuwa wana mawazo kama ya kwako kwa wale malaika. Wale walikuwa Malaika tu, angekuwa Yesu mwenyewe je...?Kwa usalama wake bora asirudi,
Akirudi wahuni watampiga miti.
naishi hapahapa Tanzania. naelewa Kiingereza.Unaishi wapi? Unaelewa Kingereza ili ukipewa maelekezo ya kuwaita uweze kuyaelewa?
Safi sana, usiogope tu.naishi hapahapa Tanzania. naelewa Kiingereza.