Tumebakiwa na miaka michache tu tukutane na wenzetu nje ya dunia

Tumebakiwa na miaka michache tu tukutane na wenzetu nje ya dunia

Hakuna kitu kinachoitwa aliens huo ni uongo mtupu, ushahidi hakuna zaidi ya stori za kijinga.

Hivyo vyombo vinavyopita angani wanavyosema ni UFO sio kweli hizo ni ndege za wamarekan na warusi kiufupi huwa wanafanya maonesho ya ndege zao za kisiri za kivita ambazo huwa hawapendi zijulikane na raia isipokuwa kwa sababu maalum, na sababu yenyewe ni propaganda na upotoshwaji wa mambo.

Huko wanakosema aliens wapo huko ndiko ziliko kambi zao za majaribio ya siraha nzito, ndege za kivita na laboratories za utafiti wa magonjwa na uundwaji wa virusi hatari vya mashambulizi ya kibiologia.

Wanaweka vitisho kuwa kuna aliens kumbe uzushi mtupu, pia hata hizo mnazoona angani zikipita ni wao wana display picha wapendazo kupitia blue beam project inayohusisha kutengeneza taswira feki angani ambayo raia wakiona wanajua ni kitu fulani, na huenda wakatumia hata hii hii kuwaletea huyo Yesu wao wa mchongo kama wanavyotabiri manabii, wachungaji kuhusu ujio wa pili wa Yesu kristo.

Aliens wa kweli ilitakiwa watambulike kama Viumbe wa kiroho ambao hawaishi ktk Ulimwengu huu wa sayari na manyota isipokuwa wanatoka ktk dimension ya Tatu kutoka ktk hali inayoonekana(mwili) mpaka isiyoonekana (Roho) hao viumbe ndio wanaotakiwa kuitwa aliens maana kiuhalisia wapo dunian kupitia maumbo yasiyoonekana pia walishakuwepo dunian kupitia maumbo yanayoonekana na walifanya staarabu nyingi dunian mpaka kuja kuondoka kwao ktk miili ya kimwil na kubaki kiroho,

Kiufupi hao mnaowaita Aliens walishaondoka zamani sana Maelfu ya miaka kwa miaka hii hawapo maana hawana miili ya kimwili hivyo hawawezi kuinteract na binadamu kwakuwa hawaonekan yaan Roho zao ndizo zipo miili yao haipo, hivyo kibinadamu tunasema THEY ARE NOT EXISTING (hawapo).

Aliens nyakati hizi ni michezo ya kitoto na upuuzi mwingi wa wazungu kusambaza propaganda zao wanazotumia kuwapumbaza wajinga na wavivu wa kutumia akili, ni mjinga pekee atakayeamini aliens waje dunian waonekane huko huko uzunguni kwa wazee wa propaganda.
 
Unaishi wapi? Unaelewa Kingereza ili ukipewa maelekezo ya kuwaita uweze kuyaelewa?
Hawazungumzi lugha yoyote ya duniani ndio maana hata NASA wanajiuliza tukiwaona tutafanyaje
 
Hakuna kitu kinachoitwa aliens huo ni uongo mtupu, ushahidi hakuna zaidi ya stori za kijinga.

Hivyo vyombo vinavyopita angani wanavyosema ni UFO sio kweli hizo ni ndege za wamarekan na warusi kiufupi huwa wanafanya maonesho ya ndege zao za kisiri za kivita ambazo huwa hawapendi zijulikane na raia isipokuwa kwa sababu maalum, na sababu yenyewe ni propaganda na upotoshwaji wa mambo.

Huko wanakosema aliens wapo huko ndiko ziliko kambi zao za majaribio ya siraha nzito, ndege za kivita na laboratories za utafiti wa magonjwa na uundwaji wa virusi hatari vya mashambulizi ya kibiologia.

Wanaweka vitisho kuwa kuna aliens kumbe uzushi mtupu, pia hata hizo mnazoona angani zikipita ni wao wana display picha wapendazo kupitia blue beam project inayohusisha kutengeneza taswira feki angani ambayo raia wakiona wanajua ni kitu fulani, na huenda wakatumia hata hii hii kuwaletea huyo Yesu wao wa mchongo kama wanavyotabiri manabii, wachungaji kuhusu ujio wa pili wa Yesu kristo.

Aliens wa kweli ilitakiwa watambulike kama Viumbe wa kiroho ambao hawaishi ktk Ulimwengu huu wa sayari na manyota isipokuwa wanatoka ktk dimension ya Tatu kutoka ktk hali inayoonekana(mwili) mpaka isiyoonekana (Roho) hao viumbe ndio wanaotakiwa kuitwa aliens maana kiuhalisia wapo dunian kupitia maumbo yasiyoonekana pia walishakuwepo dunian kupitia maumbo yanayoonekana na walifanya staarabu nyingi dunian mpaka kuja kuondoka kwao ktk miili ya kimwil na kubaki kiroho,

Kiufupi hao mnaowaita Aliens walishaondoka zamani sana Maelfu ya miaka kwa miaka hii hawapo maana hawana miili ya kimwili hivyo hawawezi kuinteract na binadamu kwakuwa hawaonekan yaan Roho zao ndizo zipo miili yao haipo, hivyo kibinadamu tunasema THEY ARE NOT EXISTING (hawapo).

Aliens nyakati hizi ni michezo ya kitoto na upuuzi mwingi wa wazungu kusambaza propaganda zao wanazotumia kuwapumbaza wajinga na wavivu wa kutumia akili, ni mjinga pekee atakayeamini aliens waje dunian waonekane huko huko uzunguni kwa wazee wa propaganda.
Ukiangalia vitabu vya dini hasa Qur'an hayo unayosema ni maneno yako mwenyewe kujifariji na kukanusha usichokuwa na uhakika nacho.
Ni afadhali ufuatilie hizi habari hatua kwa hatua utafaidika sana.
 
Uzi huu unakusudiwa uwe ni endelevu na uwe unapokea taarifa mpya mpya kila huo muda unavyokaribia
Kwa sababu imeelezwa kuwa matayarisho yanaendelea kukutana na wenzetu nje ya dunia
Wanasayansi wengi wanaamini kuwa zipo dalili nyingi zaidi sasa kuwa binadamu hatuko peke yetu kwenye ulimwengu wa cosmos.
Kwa upande mwengine maafisa wa CIA akiwemo mstaafu John Ramirez wanasema uwezekano huo ni mkubwa kutokana na idadi ya UFO ambao wameongezeka kuitembelea dunia.
John Ramirez ametoa hofu yake kwamba serikali ya nchi yake inaficha habari hizo na si jambo jema kwani watu wanatakiwa watayarishwe kuwapokea wageni hao badala ya kuja kuzuka taharuki wakiwaona ghafla karibu yao kwa mara ya mwanzo
Wanasayansi wanaofanya kazi kituo cha NASA hasa chumba cha mawasiliano ya kusikiliza sauti kutoka mbali wamesema kila siku wanajitayarisha kupokea sauti kutoka huko na japo bado hawajapata sauti zenye kufahamika vyema lakini wanahisi kuna dalili ya jambo hilo kutokea hivi karibuni na haitozidi miaka 20mpaka 30 ijayo.Tatizo la wazi wanaloliona ni lugha ya kujibu sauti hizo.
Zipo nyota zaidi ya bilioni 300 ndani ya galaksi ya Milky way ambako dunia imo ndani yake. Kila nyota inakisiwa ina angalau sayari moja mfano wa dunia.
Zaidi ya hapo tayari zimeshaonekana sayari 5000 nje ya mfumo wa Jua (Solar System). Zaidi ya galksi hii ya Milky way ziko galaxy nyengine zaidi ya bilioni 200 zilizoonekana kwa teknolojia ya sasa.
Darubini ya James Webb tayari imeweza kuona baadhi ya sayari zikiwa na gesi ambazo hutolewa na viumbe hai tu kwa hapa duniani.


View attachment 2767380
Thread nzuri sana.
Taarifa nyingine za nyongeza hizi hapa.


Approximately 100 billion stars
Our best estimates tell us that the Milky Way is made up of approximately 100 billion stars. These stars form a large disk whose diameter is about 100,000 light years. Our Solar System is about 25,000 light years away from the center of our galaxy – we live in the suburbs of our galaxy.



There are 5,506 known exoplanets, or planets outside the Solar System that orbit a star, as of October 1, 2023; only a small fraction of these are located in the vicinity of the Solar System. Within 10 parsecs (32.6 light-years), there are 104 exoplanets listed as confirmed by the NASA Exoplanet Archive.


About 300 million
One 2020 study that analysed Kepler data calculated that the Milky Way could harbour as many as six billion Earth-like planets, while another estimated the number of potentially habitable planets in our galaxy at about 300 million. But we are only just beginning to scratch the surface of the universe.
 
Thread nzuri sana.
Taarifa nyingine za nyongeza hizi hapa.


Approximately 100 billion stars
Our best estimates tell us that the Milky Way is made up of approximately 100 billion stars. These stars form a large disk whose diameter is about 100,000 light years. Our Solar System is about 25,000 light years away from the center of our galaxy – we live in the suburbs of our galaxy.



There are 5,506 known exoplanets, or planets outside the Solar System that orbit a star, as of October 1, 2023; only a small fraction of these are located in the vicinity of the Solar System. Within 10 parsecs (32.6 light-years), there are 104 exoplanets listed as confirmed by the NASA Exoplanet Archive.


About 300 million
One 2020 study that analysed Kepler data calculated that the Milky Way could harbour as many as six billion Earth-like planets, while another estimated the number of potentially habitable planets in our galaxy at about 300 million. But we are only just beginning to scratch the surface of the universe.
Si unaona mambo hayo basi.Halafu atokezee mtu aseme tuko peke yetu.
 
Vitu vingine ukijua unajiongezea stress
Hicho ndicho kilichopelekea USA wakawa kimya kuhusiana na maswala haya UFOS. Kwa mwananchi wa kawaida, hakuna ulazima wa kuyajua na si busara kuyajua
 
Mungu akurehemu ndugu. Waulize Sodoma na Gomora kilichowatokea walipokuwa wana mawazo kama ya kwako kwa wale malaika. Wale walikuwa Malaika tu, angekuwa Yesu mwenyewe je...?
Yesu pia alikuwepo.
Ukisoma mwanzo sura ya 18, malaika watatu wanaonekana nyumbani kwa Abraham na wakati wa kuondoka, mmoja wao ambaye ni BWANA, alibaki nyuma akawa anaongea na Abraham, wakati wale wawili wakiwa wametangula

Aliyezichoma Soddom na Gomara alikuwa ni Yesu mwenyewe

Mara zote kwenye Biblia MUNGU alipokuwa anashuka kwa ajili ya VITA, alikuwa anatumia cheo BWANA japo si kila mahali ambapo cheo BWANA kilitumika, kulikuwa na vita

 
Hakuna kitu kinachoitwa aliens huo ni uongo mtupu, ushahidi hakuna zaidi ya stori za kijinga.

Hivyo vyombo vinavyopita angani wanavyosema ni UFO sio kweli hizo ni ndege za wamarekan na warusi kiufupi huwa wanafanya maonesho ya ndege zao za kisiri za kivita ambazo huwa hawapendi zijulikane na raia isipokuwa kwa sababu maalum, na sababu yenyewe ni propaganda na upotoshwaji wa mambo.

Huko wanakosema aliens wapo huko ndiko ziliko kambi zao za majaribio ya siraha nzito, ndege za kivita na laboratories za utafiti wa magonjwa na uundwaji wa virusi hatari vya mashambulizi ya kibiologia.

Wanaweka vitisho kuwa kuna aliens kumbe uzushi mtupu, pia hata hizo mnazoona angani zikipita ni wao wana display picha wapendazo kupitia blue beam project inayohusisha kutengeneza taswira feki angani ambayo raia wakiona wanajua ni kitu fulani, na huenda wakatumia hata hii hii kuwaletea huyo Yesu wao wa mchongo kama wanavyotabiri manabii, wachungaji kuhusu ujio wa pili wa Yesu kristo.

Aliens wa kweli ilitakiwa watambulike kama Viumbe wa kiroho ambao hawaishi ktk Ulimwengu huu wa sayari na manyota isipokuwa wanatoka ktk dimension ya Tatu kutoka ktk hali inayoonekana(mwili) mpaka isiyoonekana (Roho) hao viumbe ndio wanaotakiwa kuitwa aliens maana kiuhalisia wapo dunian kupitia maumbo yasiyoonekana pia walishakuwepo dunian kupitia maumbo yanayoonekana na walifanya staarabu nyingi dunian mpaka kuja kuondoka kwao ktk miili ya kimwil na kubaki kiroho,

Kiufupi hao mnaowaita Aliens walishaondoka zamani sana Maelfu ya miaka kwa miaka hii hawapo maana hawana miili ya kimwili hivyo hawawezi kuinteract na binadamu kwakuwa hawaonekan yaan Roho zao ndizo zipo miili yao haipo, hivyo kibinadamu tunasema THEY ARE NOT EXISTING (hawapo).

Aliens nyakati hizi ni michezo ya kitoto na upuuzi mwingi wa wazungu kusambaza propaganda zao wanazotumia kuwapumbaza wajinga na wavivu wa kutumia akili, ni mjinga pekee atakayeamini aliens waje dunian waonekane huko huko uzunguni kwa wazee wa propaganda.


View: https://www.youtube.com/watch?v=aYPrRwbbEbg&pp=ygUhdGhlIHVuZmluaXNoZWQgb2JlbGlzayBhdCBiYWFsYmVr
 
Back
Top Bottom