Nenda kasome kuhusu "indigo children" ukishawaelewa urudi hapa.ebo!
hatujaanza hata kidogo halafu unasema nipo finyu.
sawaNenda kasome kuhusu "indigo children" ukishawaelewa urudi hapa.
Wa-Israel walirudi tena nchini kwao mwaka 1948. Wataalamu wa maandiko matakatifu wanasema kuwa baada ya wa-Israel kurudi, kizazi kimoja hakitapita. Kizazi kimoja ni miaka 100Kwa ufupi Yesu Kristo anakaribia kurudi!
Absolutely not! It is impossibleAre we alone?
Hiyo safari kwenye scales za umbali ndani ya GALAXY (na si kwenye UNIVERSE) ni kama kutembea kutoka kwenye ufukwe ulio karibu kabisa wa BAHARINI kuingia ndani ya SOKO LA SAMAKI LA KIMATAIFA MAGOGONIUtakua jambo jema.
Tunapaswa kuona viumbe wengine walio nje ya hii Dunia.
Hata Elon anasema 2030 ataanza mchakato tuhamie sayari ya Mars, mungu abakie na dunia yake sisi tutasepa.
Kama tuko peke yetu na hatujui kama tuko peke yetu, then tunaweza kuwa tuna shida kubwa mbele yetuVitu vingine ukijua unajiongezea stress
Ngoja ajichanganye arudi halafu atafurahi na showWanadamu walivyo na stress kipindi hiki akija watamfanya kitu ambacho hatokaa asahau! Maji atayaita mma
Walishatokea na kule Zimbabwe, lakini mweusi alivyojaa tope wakaanza kuwaimbia kwaya wakidhani ni yesu karudi...
View: https://www.bbc.co.uk/news/av/stories-57749238
πππππKwa usalama wake bora asirudi,
Akirudi wahuni watampiga miti.
Walishatokea na kule Zimbabwe, lakini mweusi alivyojaa tope wakaanza kuwaimbia kwaya wakidhani ni yesu karudi...
View: https://www.bbc.co.uk/news/av/stories-57749238