Tumechanga kiasi gani kwaajili ya gari ya Tundu Lissu? Mbona kimya kingi?

Tumechanga kiasi gani kwaajili ya gari ya Tundu Lissu? Mbona kimya kingi?

Kifurukutu

JF-Expert Member
Joined
Aug 29, 2013
Posts
4,641
Reaction score
6,694
Wakuu,

Mwananchi wa kawaida kutoka fyengelezya niliyejitolea kuchanga kiasi kidogo cha pesa ili kufanikisha kununuliwa gari jipya aina ya V8 la kutembelea mheshimiwa Tundu Lissu kwa gharama ya Tsh 300m nina haya ya kuuliza;

° Mpaka sasa imekusanywa kiasi gani?
° Kwanini hatupewi taarifa ya maendeleo ya michango?
° Kama pesa haijatimia iko wapi na inatumika vipi?
° Tumefeli wapi kukamilisha mchango wa gari hili muhimu kwa muheshimiwa?


Nawasilisha
 
Wakuu
Mwananchi wa kawaida kutoka fyengelezya niliyejitolea kuchanga kiasi kidogo cha pesa ili kufanikisha kununuliwa gari jipya aina ya V8 la kutembelea mheshimiwa Tundu Lissu kwa gharama ya Tsh 300m ninahaya ya kuuliza

°Mpaka sasa imekusanywa kiasi gani
°Kwanini hatupewi taarifa ya maendeleo ya michango
°Kama pesa haijatimia iko wapi na inatumika vipi
°Tumefeli wapi kukamilisha mchango wa gari hili muhimu kwa muheshimiwa


Nawasilisha

Ukisha jua maisha ya Wazazi wako kile kijijini yatabadilika?
 
Subiria utaelewa mrejesho. Nadhani wanataka kumfanyia Lissu surprise ya gari.
 
Wakuu
Mwananchi wa kawaida kutoka fyengelezya niliyejitolea kuchanga kiasi kidogo cha pesa ili kufanikisha kununuliwa gari jipya aina ya V8 la kutembelea mheshimiwa Tundu Lissu kwa gharama ya Tsh 300m ninahaya ya kuuliza

°Mpaka sasa imekusanywa kiasi gani
°Kwanini hatupewi taarifa ya maendeleo ya michango
°Kama pesa haijatimia iko wapi na inatumika vipi
°Tumefeli wapi kukamilisha mchango wa gari hili muhimu kwa muheshimiwa


Nawasilisha
Chezea wajanja weye!
Ubelgiji tu hawakumchangia!!
Kaja kuwaokota mambumbumbu bongo!
 
Wakuu
Mwananchi wa kawaida kutoka fyengelezya niliyejitolea kuchanga kiasi kidogo cha pesa ili kufanikisha kununuliwa gari jipya aina ya V8 la kutembelea mheshimiwa Tundu Lissu kwa gharama ya Tsh 300m ninahaya ya kuuliza

°Mpaka sasa imekusanywa kiasi gani
°Kwanini hatupewi taarifa ya maendeleo ya michango
°Kama pesa haijatimia iko wapi na inatumika vipi
°Tumefeli wapi kukamilisha mchango wa gari hili muhimu kwa muheshimiwa


Nawasilisha
Wewe ulichanga kiasi gani?
 
Wakuu
Mwananchi wa kawaida kutoka fyengelezya niliyejitolea kuchanga kiasi kidogo cha pesa ili kufanikisha kununuliwa gari jipya aina ya V8 la kutembelea mheshimiwa Tundu Lissu kwa gharama ya Tsh 300m ninahaya ya kuuliza

°Mpaka sasa imekusanywa kiasi gani
°Kwanini hatupewi taarifa ya maendeleo ya michango
°Kama pesa haijatimia iko wapi na inatumika vipi
°Tumefeli wapi kukamilisha mchango wa gari hili muhimu kwa muheshimiwa


Nawasilisha
tupe taarifa wewe ulichanga sh ngapi
 
..Lissu anastahili gari inayoweza kupaa, na kuelea kwenye maji.

..nakumbuka walimsumbua sana ktk kampeni za 2020, kwenye hedikopta, na kivuko.
 
Wakuu
Mwananchi wa kawaida kutoka fyengelezya niliyejitolea kuchanga kiasi kidogo cha pesa ili kufanikisha kununuliwa gari jipya aina ya V8 la kutembelea mheshimiwa Tundu Lissu kwa gharama ya Tsh 300m ninahaya ya kuuliza

°Mpaka sasa imekusanywa kiasi gani
°Kwanini hatupewi taarifa ya maendeleo ya michango
°Kama pesa haijatimia iko wapi na inatumika vipi
°Tumefeli wapi kukamilisha mchango wa gari hili muhimu kwa muheshimiwa


Nawasilisha
Anza kutaja kiasi ulichochangia wewe , ndipo uulize jumla.
 
Back
Top Bottom