Tumechanga kiasi gani kwaajili ya gari ya Tundu Lissu? Mbona kimya kingi?

Tumechanga kiasi gani kwaajili ya gari ya Tundu Lissu? Mbona kimya kingi?

Mtu kaomba hela kwa Basha wake kakosa kaishia kukopwa marinda sasa kwa hasira anaishia kukurupukia kwa LISSU Pumbaaaaaaaf
 
Wakuu
Mwananchi wa kawaida kutoka fyengelezya niliyejitolea kuchanga kiasi kidogo cha pesa ili kufanikisha kununuliwa gari jipya aina ya V8 la kutembelea mheshimiwa Tundu Lissu kwa gharama ya Tsh 300m ninahaya ya kuuliza

°Mpaka sasa imekusanywa kiasi gani
°Kwanini hatupewi taarifa ya maendeleo ya michango
°Kama pesa haijatimia iko wapi na inatumika vipi
°Tumefeli wapi kukamilisha mchango wa gari hili muhimu kwa muheshimiwa


Nawasilisha
Mkuu mchango wako haujafika. Utajulishwa ukifika.
 
Nami leo nahitaji kupata update
Au tuliingizwa king kwa force
 
Mbona taarifa ilishatolewa kwamba kiasi kilichochangwa ni milioni 70. Tena Lissu mwenyewe alisema.
 
Mtu kaomba hela kwa Basha wake kakosa kaishia kukopwa marinda sasa kwa hasira anaishia kukurupukia kwa LISSU Pumbaaaaaaaf

Una matatizo ya kisaikolojia. Katafute tiba. Sio utani nakwambia kweli
 
Kwa vile unataka ujue kiasi na wewe ungeanza na kutaja kiasi ulichochangia. Mfano, useme mimi nilichangia Sh....na ningetaka kujua jumla tumepata kiasi gani? Lakini pia ujue ni kiasi hicho ulichochangia tu ndiyo fedha ulizochanga zinazokuhusu wewe hizo nyingine zinawahusu wengine waluochangia pia.

Wa hivyo unakuta hajachangia.
 
Jamiiforums imekuwa na Wanachama wa hovyo hovyo sana. Na hawajielewi hata kidogo, halafu ndio tutegemee kupata taifa la Vijana wenye uwezo wa kuhoji na kusimamia mambo. Mleta uzi uwe unafuatilia mambo sio kukurupuka na kuanzisha uzi wa kipuuzi kama huu. Lissu alishawahi kutoa taarifa.
 
Back
Top Bottom