Kwa vile unataka ujue kiasi na wewe ungeanza na kutaja kiasi ulichochangia. Mfano, useme mimi nilichangia Sh....na ningetaka kujua jumla tumepata kiasi gani? Lakini pia ujue ni kiasi hicho ulichochangia tu ndiyo fedha ulizochanga zinazokuhusu wewe hizo nyingine zinawahusu wengine waluochangia pia.Nilichanga ndio maana nauliza
Mnataka michango yetu tusihoji kama mnavyoogopa kuhoji ruzuku?
Hamna hoja, mmeliwa!Kwa vile unataka ujue kiasi na wewe ungeanza na kutaja kiasi ulichochangia. Mfano, useme mimi nilichangia Sh....na ningetaka kujua jumla tumepata kiasi gani? Lakini pia ujue ni kiasi hicho ulichochangia tu ndiyo fedha ulizochanga zinazokuhusu wewe hizo nyingine zinawahusu wengine waluochangia pia.
Weka hapa namba yako ya uanachama wa Chadema ili tukuamini kuwa ni mtu kweli, vinginevyo ni zombie.Wakuu
Mwananchi wa kawaida kutoka fyengelezya niliyejitolea kuchanga kiasi kidogo cha pesa ili kufanikisha kununuliwa gari jipya aina ya V8 la kutembelea mheshimiwa Tundu Lissu kwa gharama ya Tsh 300m ninahaya ya kuuliza
°Mpaka sasa imekusanywa kiasi gani
°Kwanini hatupewi taarifa ya maendeleo ya michango
°Kama pesa haijatimia iko wapi na inatumika vipi
°Tumefeli wapi kukamilisha mchango wa gari hili muhimu kwa muheshimiwa
Nawasilisha
Kwani waliotakiwa kuchanga ni chadema tuWeka hapa namba yako ya uanachama wa Chadema ili tukuamini kuwa ni mtu kweli, vinginevyo ni zombie.
Ulimchangia?Mleta mada unavyomchukia LISSU unaweza pewa ofa ya kupewa kitu kimoja bure lakini LISSU apewe viwili na unaweza kubali utobolewe jicho moja ili LISSU atobolewe mawili ili wewe uwe na chongo Lissu awe mlemavu shame on you!
Kuchanga na kutaka taarifa ya michango ni vitu viwili tofauti, ukitaka kujua nenda TRA kadai taarifa ya makusanyo ya kodi kwa kigezo cha mlipa kodi.Kwani waliotakiwa kuchanga ni chadema tu
Gari imenunuliwa auAnzia mtaani kwako uhoji mapato na matumizi ya serikali ya mtaa.
Vipi mmefanikisha kununua gari?Anzia mtaani kwako uhoji mapato na matumizi ya serikali ya mtaa.
Umechanga au umbeya? Ongeza bado elfu 10 linunuliwe.Wakuu
Mwananchi wa kawaida kutoka fyengelezya niliyejitolea kuchanga kiasi kidogo cha pesa ili kufanikisha kununuliwa gari jipya aina ya V8 la kutembelea mheshimiwa Tundu Lissu kwa gharama ya Tsh 300m ninahaya ya kuuliza
°Mpaka sasa imekusanywa kiasi gani
°Kwanini hatupewi taarifa ya maendeleo ya michango
°Kama pesa haijatimia iko wapi na inatumika vipi
°Tumefeli wapi kukamilisha mchango wa gari hili muhimu kwa muheshimiwa
Nawasilisha
Bado wewe haujachanga itosheVipi mmefanikisha kununua gari?
Wewe hujachanga unatafuta umbea tu. Wajinga ndiyo waliwao. Unamchangia mtu aliyekuzidi kipapo . ShaziWakuu
Mwananchi wa kawaida kutoka fyengelezya niliyejitolea kuchanga kiasi kidogo cha pesa ili kufanikisha kununuliwa gari jipya aina ya V8 la kutembelea mheshimiwa Tundu Lissu kwa gharama ya Tsh 300m ninahaya ya kuuliza
°Mpaka sasa imekusanywa kiasi gani
°Kwanini hatupewi taarifa ya maendeleo ya michango
°Kama pesa haijatimia iko wapi na inatumika vipi
°Tumefeli wapi kukamilisha mchango wa gari hili muhimu kwa muheshimiwa
Nawasilisha
Tunaomba taarifa Pikipiki zinazogawiwa za SSH 2025 zina gharama kiasi gani na zimetoka mfuko gani? Lengo ni nn? Kura yako Kwa watu Hawa itazidi hata kumchangia Lisu gari ndiyo maana wanawaletea viongozi wa CCM Pikipiki siyo walala hoi hv unalijua hili?Wewe hujachanga unatafuta umbea tu. Wajinga ndiyo waliwao. Unamchangia mtu aliyekuzidi kipapo . Shazi
Mimi simo kwenye chama, nimechsngia tu hojaNilichanga ndio maana nauliza
Mnataka michango yetu tusihoji kama mnavyoogopa kuhoji ruzuku?
Mkuu, mimi si mwanachama, nimechangia tu hoja.Nilichanga ndio maana nauliza
Mnataka michango yetu tusihoji kama mnavyoogopa kuhoji ruzuku?
Mimi sijaliwa mkuu.Hamna hoja, mmeliwa!
Umefanywa nini sasaMimi sijaliwa mkuu.
Sikuchanga, ila kama waliochangia hawalalamiki, mimi sina sababu ya kulalamika. Pili, juzi nadhani nimesoma kwenye post yake X akiwashukuru wachangiaji kwa kusema hadi sasa wachangiaji wameshachangia zaidi Sh100 milioni (alionyesha kwa figures) na kusema mchango huo ni sawa Sh20,500 (hivi kwa mchangiaji) - yaani ukichukia kiasi chote na kugawa kwa idadi ya wachangiaji unapata huo wastani.Umefanywa nini sasa