Tumechanga kiasi gani kwaajili ya gari ya Tundu Lissu? Mbona kimya kingi?

Nilichanga ndio maana nauliza

Mnataka michango yetu tusihoji kama mnavyoogopa kuhoji ruzuku?
Kwa vile unataka ujue kiasi na wewe ungeanza na kutaja kiasi ulichochangia. Mfano, useme mimi nilichangia Sh....na ningetaka kujua jumla tumepata kiasi gani? Lakini pia ujue ni kiasi hicho ulichochangia tu ndiyo fedha ulizochanga zinazokuhusu wewe hizo nyingine zinawahusu wengine waluochangia pia.
 
Hamna hoja, mmeliwa!
 
Weka hapa namba yako ya uanachama wa Chadema ili tukuamini kuwa ni mtu kweli, vinginevyo ni zombie.
 
Mleta mada unavyomchukia LISSU unaweza pewa ofa ya kupewa kitu kimoja bure lakini LISSU apewe viwili na unaweza kubali utobolewe jicho moja ili LISSU atobolewe mawili ili wewe uwe na chongo Lissu awe mlemavu shame on you!
 
Mleta mada unavyomchukia LISSU unaweza pewa ofa ya kupewa kitu kimoja bure lakini LISSU apewe viwili na unaweza kubali utobolewe jicho moja ili LISSU atobolewe mawili ili wewe uwe na chongo Lissu awe mlemavu shame on you!
Ulimchangia?
Basi umepigwa
 
Umechanga au umbeya? Ongeza bado elfu 10 linunuliwe.
 
Wewe hujachanga unatafuta umbea tu. Wajinga ndiyo waliwao. Unamchangia mtu aliyekuzidi kipapo . Shazi
 
Wewe hujachanga unatafuta umbea tu. Wajinga ndiyo waliwao. Unamchangia mtu aliyekuzidi kipapo . Shazi
Tunaomba taarifa Pikipiki zinazogawiwa za SSH 2025 zina gharama kiasi gani na zimetoka mfuko gani? Lengo ni nn? Kura yako Kwa watu Hawa itazidi hata kumchangia Lisu gari ndiyo maana wanawaletea viongozi wa CCM Pikipiki siyo walala hoi hv unalijua hili?
 
Umefanywa nini sasa
Sikuchanga, ila kama waliochangia hawalalamiki, mimi sina sababu ya kulalamika. Pili, juzi nadhani nimesoma kwenye post yake X akiwashukuru wachangiaji kwa kusema hadi sasa wachangiaji wameshachangia zaidi Sh100 milioni (alionyesha kwa figures) na kusema mchango huo ni sawa Sh20,500 (hivi kwa mchangiaji) - yaani ukichukia kiasi chote na kugawa kwa idadi ya wachangiaji unapata huo wastani.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…