Tumechezwa shere! Ruzuku ya bilioni 100 kwenye mafuta ni changa la macho

Tumechezwa shere! Ruzuku ya bilioni 100 kwenye mafuta ni changa la macho

Leo mafuta yamepanda bei maradufu wananchi tunaendelea kuisoma namba kama kawaida! siyo mafta tu bali mchele, unga vifaa vya ujenzi n.k vimepanda, kwa kweli wenye nacho huongezewa hapa mawaziri na watendaji was erikali wanakula kuku kwa mlija per diem zikitafunwa kila siku hakuna anayewaza kodi za miamala wala bidhaa kupanda.

Wakiwa na wananchi nikucheka tu hata kama watu wanazungumzia mambo mengine utasikia wanasifu na kuabudu kuwa Mma Samia anaupiga mwingi amefanya mapinduzi makubwa katika nchi.

Kwa mimi navyoona chombo kinaelekea kuzama kwani hizi kauli ya vita vya Urusi na ukraine wananchi hawatakubali kuisikia.
 
Bro unadhani ile 100B kwa vituo vya gasi unadhani tungejenga vingapi?or wangeitoa io 100B yajengwe matank ya kiweza kuhifadhi mafuta kwa miezi 6 to yr?
tungevumilia within a yr or two tungekua tumesahau hizi shida. ni vile tu hakuna watu wenye maono na nia dhabiti ya kutaka kutatua tatzo, wanataka ku capitalize kwenye matatzo yetu, waume na kupuliza then maisha yaende.
Na kwenye kila tatizo wao kwao ni fursa ya kupiga ndefu[emoji35][emoji34]
 
EWURA imetangaza bei mpya za mafuta Tanzania kwa mwezi July. Ni bei kikomo na bei elekezi.. Maumivu ni kwamba mafuta yamepanda tena bei, kwa hiyo vilio zaidi vinakuja.

Hapa kuna kitu cha kushangaza mno kuhusu serikali yetu, na watu inaowaamini katika kutoa maamuzi...Hivi kuna haja gani ya kutoa ruzuku wakati serikali ingeweza kupunguza tu kodi ya mapato kwa kipindi hiki, huku pia ikipunguza ama kufuta kabisa tozo kwenye mafuta zinazofikia 21 toka organs za serikali? Ambapo baadhi ya organ hizo majukumu yake yanaweza kubebwa na organs nyinginezo?

Kuna nini kinafichwa hapa? Kuna nini kinalindwa hapa? Organs husika ni za serikali, ruzuku inatoka serikalini.. Sasa kujisumbua kote huku kunatokana na nini? Haioni ni kumtaabisha tu mwananchi wa kawaida na kumuongezea mzigo wa maisha magumu tayari aliyonayo!?

EWURA wamekuja na jedwali linaloonesha bei kabla ya ruzuku na bei baada ya ruzuku ili kutuaminisha kwamba serikali imefanya kitu kumsaidia mwananchi. Kama hakuna agenda ya siri hapa basi huu ni uono hafifu mno. Kwenye duru za miamala ya fedha kutoa/kupunguza kuna faida nyingi kuliko kuongeza ama kujazia.

Yaani ni sawa na kuwa na mikono miwili kisha ukaanza kuitaabisha kwa kutoa pesa mfuko wa kulia na kupeleka mfuko wa kushoto na kinyume chake.. Hapo hakuna kitu bali ni michezo ya namba tuu.. Na kwenye kuchezesha hizo number kuna watu wanafaidika kwa kiwango kikubwa mno.

Serikali haimjali mwanamchi. Haimjali kabisaa. Serikali inajali maslahi ya taasisi zake tuu na faida ya wafanyabiashara wa mafuta. Vyovyote namba zitakavyochezeshwa faida ya mfanyabiashara inabaki palepale.. Huyu ni mungu mtu anayelindwa sana.

Chezesha namba kwa kupunguza kodi ya mapato na kufutilia mbali tozo za michongo uone kama mafuta hayatashuka kufikia chini ya 2500 kwa lita. Lakini kuchezesha namba kwa kuweka ruzuku ni upigaji mwingine wa aina yake na kutufanya sisi majuha sana.

Piga hesabu ya matumizi ya mafuta kwa siku kisha kwa mwezi uone hiyo hesabu yake, halafu linganisha na hiyo ruzuku ya million 100 uone jinsi watu wanavyolamba asali kwa vidole vyote.

Hebu ona wafaidikaji wa mafuta pindi yanapotua bandarini, ambapo mwisho wa siku mzigo mkubwa unaenda kwa mwananchi na si serikali ama mfanyabiashara.

1. Total Cost (CIF to Dar Port) = 1162 Tshs/Lita.

Then, LOCAL COSTS PAYABLE TO OTHER AUTHORITIES.

2. Wharfage = 20.6 Tshs/Lita

3. Railway Development Levy (1.5% CIF) = 17.4 Tshs/Lita.

4. Customs Processing Fee = 4.8 Tshs/Lita

5. Weights & Measures (WMA) Fee = 1.0 Tshs/Lita

6. TBS Charge = 1.2 Tshs/Lita

7. TASAC Fee = 3.5 Tshs/Lita

8. EWURA Fee = 6.1 Tshs/Lita

9. Fuel Marking = 14.1 Tshs/Lita

10. Demurrage Costs = 5.5 Tshs/Lita

11. Surveyors Cost = 0.18 Tshs/Lita

12. Financing Cost = 11.6 Tshs/Lita

13. Evaporation Losses = 5.8 Tshs/Lita

14. Fuel Levy = 413. Tshs/Lita

15. Excise Duty = 379 Tshs/Lita

16. Petroleum Fee = 100 Tshs/Lita

17. Oil Marketing Companies Overheads & Margins = 123 Tshs/Lita

18. Charges Payable to Executive Agencies = 1.0 Tshs/Lita

19. Service Levy Payable to Local government authorities (Ushuru wa Halmashauri~ Wholesale) = 5.7 Tshs/Lita

Total Wholesale Price Cap = Tshs/Lita 2275.

Then
1. Retailers Margin = 108 Tshs/Lita

2. Charges payable to Executive Agencies = 5.44 Tshs/Lita

3. Transport Charges (Local) = 10 Tshs/Lita

4. Service Levy payable to Local government authorities (Retail) = 6.1 Tshs/Lita
Mkuu Mshana ukipata muda tudadavulie maana na manufaa ya kila kodi. Yaani hata RAIA hawaelewi kabisa sijui margin levy. ILA NISEME TU WATANZANIA NI WAOGA NA WANAFIKI SANA. HAWA JAMAA TUNAJUA WANATUPIGAJE, TUNAJUA NI AKINA NANI? TUNAJUA WANAPATIKANA WAPI LAKINI HUWA TUNAISHIA KULALAMIKA TU MITANDAONI KISHA TUNAZOEA. HATA WAO WANATUJUA TUTAONGEA KWA MUDA TU WAO AF TUNAZOEA.
 
EWURA imetangaza bei mpya za mafuta Tanzania kwa mwezi July. Ni bei kikomo na bei elekezi.. Maumivu ni kwamba mafuta yamepanda tena bei, kwa hiyo vilio zaidi vinakuja.

Hapa kuna kitu cha kushangaza mno kuhusu serikali yetu, na watu inaowaamini katika kutoa maamuzi...Hivi kuna haja gani ya kutoa ruzuku wakati serikali ingeweza kupunguza tu kodi ya mapato kwa kipindi hiki, huku pia ikipunguza ama kufuta kabisa tozo kwenye mafuta zinazofikia 21 toka organs za serikali? Ambapo baadhi ya organ hizo majukumu yake yanaweza kubebwa na organs nyinginezo?

Kuna nini kinafichwa hapa? Kuna nini kinalindwa hapa? Organs husika ni za serikali, ruzuku inatoka serikalini.. Sasa kujisumbua kote huku kunatokana na nini? Haioni ni kumtaabisha tu mwananchi wa kawaida na kumuongezea mzigo wa maisha magumu tayari aliyonayo!?

EWURA wamekuja na jedwali linaloonesha bei kabla ya ruzuku na bei baada ya ruzuku ili kutuaminisha kwamba serikali imefanya kitu kumsaidia mwananchi. Kama hakuna agenda ya siri hapa basi huu ni uono hafifu mno. Kwenye duru za miamala ya fedha kutoa/kupunguza kuna faida nyingi kuliko kuongeza ama kujazia.

Yaani ni sawa na kuwa na mikono miwili kisha ukaanza kuitaabisha kwa kutoa pesa mfuko wa kulia na kupeleka mfuko wa kushoto na kinyume chake.. Hapo hakuna kitu bali ni michezo ya namba tuu.. Na kwenye kuchezesha hizo number kuna watu wanafaidika kwa kiwango kikubwa mno.

Serikali haimjali mwanamchi. Haimjali kabisaa. Serikali inajali maslahi ya taasisi zake tuu na faida ya wafanyabiashara wa mafuta. Vyovyote namba zitakavyochezeshwa faida ya mfanyabiashara inabaki palepale.. Huyu ni mungu mtu anayelindwa sana.

Chezesha namba kwa kupunguza kodi ya mapato na kufutilia mbali tozo za michongo uone kama mafuta hayatashuka kufikia chini ya 2500 kwa lita. Lakini kuchezesha namba kwa kuweka ruzuku ni upigaji mwingine wa aina yake na kutufanya sisi majuha sana.

Piga hesabu ya matumizi ya mafuta kwa siku kisha kwa mwezi uone hiyo hesabu yake, halafu linganisha na hiyo ruzuku ya million 100 uone jinsi watu wanavyolamba asali kwa vidole vyote.

Hebu ona wafaidikaji wa mafuta pindi yanapotua bandarini, ambapo mwisho wa siku mzigo mkubwa unaenda kwa mwananchi na si serikali ama mfanyabiashara.

1. Total Cost (CIF to Dar Port) = 1162 Tshs/Lita.

Then, LOCAL COSTS PAYABLE TO OTHER AUTHORITIES.

2. Wharfage = 20.6 Tshs/Lita

3. Railway Development Levy (1.5% CIF) = 17.4 Tshs/Lita.

4. Customs Processing Fee = 4.8 Tshs/Lita

5. Weights & Measures (WMA) Fee = 1.0 Tshs/Lita

6. TBS Charge = 1.2 Tshs/Lita

7. TASAC Fee = 3.5 Tshs/Lita

8. EWURA Fee = 6.1 Tshs/Lita

9. Fuel Marking = 14.1 Tshs/Lita

10. Demurrage Costs = 5.5 Tshs/Lita

11. Surveyors Cost = 0.18 Tshs/Lita

12. Financing Cost = 11.6 Tshs/Lita

13. Evaporation Losses = 5.8 Tshs/Lita

14. Fuel Levy = 413. Tshs/Lita

15. Excise Duty = 379 Tshs/Lita

16. Petroleum Fee = 100 Tshs/Lita

17. Oil Marketing Companies Overheads & Margins = 123 Tshs/Lita

18. Charges Payable to Executive Agencies = 1.0 Tshs/Lita

19. Service Levy Payable to Local government authorities (Ushuru wa Halmashauri~ Wholesale) = 5.7 Tshs/Lita

Total Wholesale Price Cap = Tshs/Lita 2275.

Then
1. Retailers Margin = 108 Tshs/Lita

2. Charges payable to Executive Agencies = 5.44 Tshs/Lita

3. Transport Charges (Local) = 10 Tshs/Lita

4. Service Levy payable to Local government authorities (Retail) = 6.1 Tshs/Lita
Nilikunukuu mshana unamsifia mama anaupiga mwingi kulikoni Leo wiki Moja imepita nilikuwa Nairobi Kenya mafuta kule ukigawa na Hela yetu ni 2750 watu wa namanga wanavuka Kenya na gari zao kununua mafuta
 
Mkuu Mshana ukipata muda tudadavulie maana na manufaa ya kila kodi. Yaani hata RAIA hawaelewi kabisa sijui margin levy. ILA NISEME TU WATANZANIA NI WAOGA NA WANAFIKI SANA. HAWA JAMAA TUNAJUA WANATUPIGAJE, TUNAJUA NI AKINA NANI? TUNAJUA WANAPATIKANA WAPI LAKINI HUWA TUNAISHIA KULALAMIKA TU MITANDAONI KISHA TUNAZOEA. HATA WAO WANATUJUA TUTAONGEA KWA MUDA TU WAO AF TUNAZOEA.
Hazina faida yoyote huo utitiri wa hizo taasisi zote unaopata hizo ruzuku unaweza kuzivunja zote na kutengeneza taasisi chache zenye matokeo chanya kwa kila jukumu
 
Nilikunukuu mshana unamsifia mama anaupiga mwingi kulikoni Leo wiki Moja imepita nilikuwa Nairobi Kenya mafuta kule ukigawa na Hela yetu ni 2750 watu wa namanga wanavuka Kenya na gari zao kununua mafuta
Ni kweli kabisa siwezi kukataa kabisa nilifanya vile kwa nyakati husika.. Na hata sasa bado ana nafasi ya kuweza kufanya tofauti na haya yanayoendelea..Lakini kama akikubali kuwa msikivu
 
Kwani kuna la maana alilofanya? Shida yenu ni kuhamisha hoja na kuileta kwa namna ya kusafisha mchafu wenu.
Mie muda mwingine nakaa kimya. Hata sisi si ndo tulishangilia sana baada ya mwendazake kufariki na tuliompinga mama tulionekana NI sukuma gang sasa makelele ya nini????

Goja atunyooshe ili sote tuitwe sukuma gang!
 
Mkuu Mshana ukipata muda tudadavulie maana na manufaa ya kila kodi. Yaani hata RAIA hawaelewi kabisa sijui margin levy. ILA NISEME TU WATANZANIA NI WAOGA NA WANAFIKI SANA. HAWA JAMAA TUNAJUA WANATUPIGAJE, TUNAJUA NI AKINA NANI? TUNAJUA WANAPATIKANA WAPI LAKINI HUWA TUNAISHIA KULALAMIKA TU MITANDAONI KISHA TUNAZOEA. HATA WAO WANATUJUA TUTAONGEA KWA MUDA TU WAO AF TUNAZOEA.
Wharfage = 20.6 Tshs/Lita

3. Ushuru wa Maendeleo ya Reli (1.5% CIF) = 17.4 Tshs/Lita.

4. Ada ya Uchakataji wa Forodha = 4.8 Tshs/Lita

5. Ada ya Vipimo na Vipimo (WMA) = 1.0 Tshs/Lita

6. Tozo ya TBS = 1.2 Tshs/Lita

7. Ada ya TASAC = 3.5 Tshs/Lita

8. Ada ya EWURA = 6.1 Tshs/Lita

9. Alama ya Mafuta = 14.1 Tshs/Lita

10. Gharama za Demurrage = 5.5 Tshs/Lita

11. Gharama ya Wakadiriaji = 0.18 Tshs/Lita

12. Gharama ya Ufadhili = 11.6 Tshs/Lita

13. Hasara za Uvukizi = 5.8 Tshs/Lita

14. Ushuru wa Mafuta = 413. Tshs
 
Mkuu Mshana ukipata muda tudadavulie maana na manufaa ya kila kodi. Yaani hata RAIA hawaelewi kabisa sijui margin levy. ILA NISEME TU WATANZANIA NI WAOGA NA WANAFIKI SANA. HAWA JAMAA TUNAJUA WANATUPIGAJE, TUNAJUA NI AKINA NANI? TUNAJUA WANAPATIKANA WAPI LAKINI HUWA TUNAISHIA KULALAMIKA TU MITANDAONI KISHA TUNAZOEA. HATA WAO WANATUJUA TUTAONGEA KWA MUDA TU WAO AF TUNAZOEA.
Wharfage = 20.6 Tshs/Lita

3. Ushuru wa Maendeleo ya Reli (1.5% CIF) = 17.4 Tshs/Lita.

4. Ada ya Uchakataji wa Forodha = 4.8 Tshs/Lita

5. Ada ya Vipimo na Vipimo (WMA) = 1.0 Tshs/Lita

6. Tozo ya TBS = 1.2 Tshs/Lita

7. Ada ya TASAC = 3.5 Tshs/Lita

8. Ada ya EWURA = 6.1 Tshs/Lita

9. Alama ya Mafuta = 14.1 Tshs/Lita

10. Gharama za Demurrage = 5.5 Tshs/Lita

11. Gharama ya Wakadiriaji = 0.18 Tshs/Lita

12. Gharama ya Ufadhili = 11.6 Tshs/Lita

13. Hasara za Uvukizi = 5.8 Tshs/Lita

14. Ushuru wa Mafuta = 413. Tshs
 
Mkuu Mshana ukipata muda tudadavulie maana na manufaa ya kila kodi. Yaani hata RAIA hawaelewi kabisa sijui margin levy. ILA NISEME TU WATANZANIA NI WAOGA NA WANAFIKI SANA. HAWA JAMAA TUNAJUA WANATUPIGAJE, TUNAJUA NI AKINA NANI? TUNAJUA WANAPATIKANA WAPI LAKINI HUWA TUNAISHIA KULALAMIKA TU MITANDAONI KISHA TUNAZOEA. HATA WAO WANATUJUA TUTAONGEA KWA MUDA TU WAO AF TUNAZOEA.
Wharfage = 20.6 Tshs/Lita

3. Ushuru wa Maendeleo ya Reli (1.5% CIF) = 17.4 Tshs/Lita.

4. Ada ya Uchakataji wa Forodha = 4.8 Tshs/Lita

5. Ada ya Vipimo na Vipimo (WMA) = 1.0 Tshs/Lita

6. Tozo ya TBS = 1.2 Tshs/Lita

7. Ada ya TASAC = 3.5 Tshs/Lita

8. Ada ya EWURA = 6.1 Tshs/Lita

9. Alama ya Mafuta = 14.1 Tshs/Lita

10. Gharama za Demurrage = 5.5 Tshs/Lita

11. Gharama ya Wakadiriaji = 0.18 Tshs/Lita

12. Gharama ya Ufadhili = 11.6 Tshs/Lita

13. Hasara za Uvukizi = 5.8 Tshs/Lita

14. Ushuru wa Mafuta = 413. Tshs

15. Ushuru wa Bidhaa = 379 Tshs/Lita

16. Ada ya Petroli = 100 Tshs/Lita

17. Oil Marketing Companies Overheads & Margins = 123 Tshs/Lita

18. Tozo Zinazolipwa kwa Wakala wa Utendaji = 1.0 Tshs/Lita

19. Ushuru wa Huduma Unaolipwa kwa Mamlaka za Serikali za Mitaa (Ushuru wa Halmashauri~ Jumla) = 5.7 Tshs/Lita

Jumla ya Bei Kikomo = Tshs/Lita 2275.

Kisha 1. Upeo wa Wafanyabiashara = 108 Tshs/Lita

2. Tozo zinazolipwa kwa Wakala wa Utendaji = 5.44 Tshs/Lita

3. Gharama za Usafiri (Ndani) = 10 Tshs/Lita

4. Ushuru wa Huduma unaolipwa kwa mamlaka za Serikali za Mitaa

Mchanganuo wote huu unaingia kwenye lita moja ya mafuta na mlipaji ni mwananchi wa kawaida
 
Hazina faida yoyote huo utitiri wa hizo taasisi zote unaopata hizo ruzuku unaweza kuzivunja zote na kutengeneza taasisi chache zenye matokeo chanya k
Mkuu kwa upande wako unashauri nini kifanyike ili huu utitiri wa kodi upunguzwe kwa maslahi mapana ya nchi na wananchi wake? Iwe zaidi ya maneno matupu
 
Mkuu kwa upande wako unashauri nini kifanyike ili huu utitiri wa kodi upunguzwe kwa maslahi mapana ya nchi na wananchi wake? Iwe zaidi ya maneno matupu
Hebu soma tena nilichoshauri
 
Back
Top Bottom