RWANDES
JF-Expert Member
- Jun 12, 2019
- 1,788
- 4,401
Leo mafuta yamepanda bei maradufu wananchi tunaendelea kuisoma namba kama kawaida! siyo mafta tu bali mchele, unga vifaa vya ujenzi n.k vimepanda, kwa kweli wenye nacho huongezewa hapa mawaziri na watendaji was erikali wanakula kuku kwa mlija per diem zikitafunwa kila siku hakuna anayewaza kodi za miamala wala bidhaa kupanda.
Wakiwa na wananchi nikucheka tu hata kama watu wanazungumzia mambo mengine utasikia wanasifu na kuabudu kuwa Mma Samia anaupiga mwingi amefanya mapinduzi makubwa katika nchi.
Kwa mimi navyoona chombo kinaelekea kuzama kwani hizi kauli ya vita vya Urusi na ukraine wananchi hawatakubali kuisikia.
Wakiwa na wananchi nikucheka tu hata kama watu wanazungumzia mambo mengine utasikia wanasifu na kuabudu kuwa Mma Samia anaupiga mwingi amefanya mapinduzi makubwa katika nchi.
Kwa mimi navyoona chombo kinaelekea kuzama kwani hizi kauli ya vita vya Urusi na ukraine wananchi hawatakubali kuisikia.