Na kwenye kila tatizo wao kwao ni fursa ya kupiga ndefu[emoji35][emoji34]Bro unadhani ile 100B kwa vituo vya gasi unadhani tungejenga vingapi?or wangeitoa io 100B yajengwe matank ya kiweza kuhifadhi mafuta kwa miezi 6 to yr?
tungevumilia within a yr or two tungekua tumesahau hizi shida. ni vile tu hakuna watu wenye maono na nia dhabiti ya kutaka kutatua tatzo, wanataka ku capitalize kwenye matatzo yetu, waume na kupuliza then maisha yaende.
Mkuu Mshana ukipata muda tudadavulie maana na manufaa ya kila kodi. Yaani hata RAIA hawaelewi kabisa sijui margin levy. ILA NISEME TU WATANZANIA NI WAOGA NA WANAFIKI SANA. HAWA JAMAA TUNAJUA WANATUPIGAJE, TUNAJUA NI AKINA NANI? TUNAJUA WANAPATIKANA WAPI LAKINI HUWA TUNAISHIA KULALAMIKA TU MITANDAONI KISHA TUNAZOEA. HATA WAO WANATUJUA TUTAONGEA KWA MUDA TU WAO AF TUNAZOEA.EWURA imetangaza bei mpya za mafuta Tanzania kwa mwezi July. Ni bei kikomo na bei elekezi.. Maumivu ni kwamba mafuta yamepanda tena bei, kwa hiyo vilio zaidi vinakuja.
Hapa kuna kitu cha kushangaza mno kuhusu serikali yetu, na watu inaowaamini katika kutoa maamuzi...Hivi kuna haja gani ya kutoa ruzuku wakati serikali ingeweza kupunguza tu kodi ya mapato kwa kipindi hiki, huku pia ikipunguza ama kufuta kabisa tozo kwenye mafuta zinazofikia 21 toka organs za serikali? Ambapo baadhi ya organ hizo majukumu yake yanaweza kubebwa na organs nyinginezo?
Kuna nini kinafichwa hapa? Kuna nini kinalindwa hapa? Organs husika ni za serikali, ruzuku inatoka serikalini.. Sasa kujisumbua kote huku kunatokana na nini? Haioni ni kumtaabisha tu mwananchi wa kawaida na kumuongezea mzigo wa maisha magumu tayari aliyonayo!?
EWURA wamekuja na jedwali linaloonesha bei kabla ya ruzuku na bei baada ya ruzuku ili kutuaminisha kwamba serikali imefanya kitu kumsaidia mwananchi. Kama hakuna agenda ya siri hapa basi huu ni uono hafifu mno. Kwenye duru za miamala ya fedha kutoa/kupunguza kuna faida nyingi kuliko kuongeza ama kujazia.
Yaani ni sawa na kuwa na mikono miwili kisha ukaanza kuitaabisha kwa kutoa pesa mfuko wa kulia na kupeleka mfuko wa kushoto na kinyume chake.. Hapo hakuna kitu bali ni michezo ya namba tuu.. Na kwenye kuchezesha hizo number kuna watu wanafaidika kwa kiwango kikubwa mno.
Serikali haimjali mwanamchi. Haimjali kabisaa. Serikali inajali maslahi ya taasisi zake tuu na faida ya wafanyabiashara wa mafuta. Vyovyote namba zitakavyochezeshwa faida ya mfanyabiashara inabaki palepale.. Huyu ni mungu mtu anayelindwa sana.
Chezesha namba kwa kupunguza kodi ya mapato na kufutilia mbali tozo za michongo uone kama mafuta hayatashuka kufikia chini ya 2500 kwa lita. Lakini kuchezesha namba kwa kuweka ruzuku ni upigaji mwingine wa aina yake na kutufanya sisi majuha sana.
Piga hesabu ya matumizi ya mafuta kwa siku kisha kwa mwezi uone hiyo hesabu yake, halafu linganisha na hiyo ruzuku ya million 100 uone jinsi watu wanavyolamba asali kwa vidole vyote.
Hebu ona wafaidikaji wa mafuta pindi yanapotua bandarini, ambapo mwisho wa siku mzigo mkubwa unaenda kwa mwananchi na si serikali ama mfanyabiashara.
1. Total Cost (CIF to Dar Port) = 1162 Tshs/Lita.
Then, LOCAL COSTS PAYABLE TO OTHER AUTHORITIES.
2. Wharfage = 20.6 Tshs/Lita
3. Railway Development Levy (1.5% CIF) = 17.4 Tshs/Lita.
4. Customs Processing Fee = 4.8 Tshs/Lita
5. Weights & Measures (WMA) Fee = 1.0 Tshs/Lita
6. TBS Charge = 1.2 Tshs/Lita
7. TASAC Fee = 3.5 Tshs/Lita
8. EWURA Fee = 6.1 Tshs/Lita
9. Fuel Marking = 14.1 Tshs/Lita
10. Demurrage Costs = 5.5 Tshs/Lita
11. Surveyors Cost = 0.18 Tshs/Lita
12. Financing Cost = 11.6 Tshs/Lita
13. Evaporation Losses = 5.8 Tshs/Lita
14. Fuel Levy = 413. Tshs/Lita
15. Excise Duty = 379 Tshs/Lita
16. Petroleum Fee = 100 Tshs/Lita
17. Oil Marketing Companies Overheads & Margins = 123 Tshs/Lita
18. Charges Payable to Executive Agencies = 1.0 Tshs/Lita
19. Service Levy Payable to Local government authorities (Ushuru wa Halmashauri~ Wholesale) = 5.7 Tshs/Lita
Total Wholesale Price Cap = Tshs/Lita 2275.
Then
1. Retailers Margin = 108 Tshs/Lita
2. Charges payable to Executive Agencies = 5.44 Tshs/Lita
3. Transport Charges (Local) = 10 Tshs/Lita
4. Service Levy payable to Local government authorities (Retail) = 6.1 Tshs/Lita
[emoji38][emoji38][emoji38]Utaambiwa una akili ya kawaida.
Nilikunukuu mshana unamsifia mama anaupiga mwingi kulikoni Leo wiki Moja imepita nilikuwa Nairobi Kenya mafuta kule ukigawa na Hela yetu ni 2750 watu wa namanga wanavuka Kenya na gari zao kununua mafutaEWURA imetangaza bei mpya za mafuta Tanzania kwa mwezi July. Ni bei kikomo na bei elekezi.. Maumivu ni kwamba mafuta yamepanda tena bei, kwa hiyo vilio zaidi vinakuja.
Hapa kuna kitu cha kushangaza mno kuhusu serikali yetu, na watu inaowaamini katika kutoa maamuzi...Hivi kuna haja gani ya kutoa ruzuku wakati serikali ingeweza kupunguza tu kodi ya mapato kwa kipindi hiki, huku pia ikipunguza ama kufuta kabisa tozo kwenye mafuta zinazofikia 21 toka organs za serikali? Ambapo baadhi ya organ hizo majukumu yake yanaweza kubebwa na organs nyinginezo?
Kuna nini kinafichwa hapa? Kuna nini kinalindwa hapa? Organs husika ni za serikali, ruzuku inatoka serikalini.. Sasa kujisumbua kote huku kunatokana na nini? Haioni ni kumtaabisha tu mwananchi wa kawaida na kumuongezea mzigo wa maisha magumu tayari aliyonayo!?
EWURA wamekuja na jedwali linaloonesha bei kabla ya ruzuku na bei baada ya ruzuku ili kutuaminisha kwamba serikali imefanya kitu kumsaidia mwananchi. Kama hakuna agenda ya siri hapa basi huu ni uono hafifu mno. Kwenye duru za miamala ya fedha kutoa/kupunguza kuna faida nyingi kuliko kuongeza ama kujazia.
Yaani ni sawa na kuwa na mikono miwili kisha ukaanza kuitaabisha kwa kutoa pesa mfuko wa kulia na kupeleka mfuko wa kushoto na kinyume chake.. Hapo hakuna kitu bali ni michezo ya namba tuu.. Na kwenye kuchezesha hizo number kuna watu wanafaidika kwa kiwango kikubwa mno.
Serikali haimjali mwanamchi. Haimjali kabisaa. Serikali inajali maslahi ya taasisi zake tuu na faida ya wafanyabiashara wa mafuta. Vyovyote namba zitakavyochezeshwa faida ya mfanyabiashara inabaki palepale.. Huyu ni mungu mtu anayelindwa sana.
Chezesha namba kwa kupunguza kodi ya mapato na kufutilia mbali tozo za michongo uone kama mafuta hayatashuka kufikia chini ya 2500 kwa lita. Lakini kuchezesha namba kwa kuweka ruzuku ni upigaji mwingine wa aina yake na kutufanya sisi majuha sana.
Piga hesabu ya matumizi ya mafuta kwa siku kisha kwa mwezi uone hiyo hesabu yake, halafu linganisha na hiyo ruzuku ya million 100 uone jinsi watu wanavyolamba asali kwa vidole vyote.
Hebu ona wafaidikaji wa mafuta pindi yanapotua bandarini, ambapo mwisho wa siku mzigo mkubwa unaenda kwa mwananchi na si serikali ama mfanyabiashara.
1. Total Cost (CIF to Dar Port) = 1162 Tshs/Lita.
Then, LOCAL COSTS PAYABLE TO OTHER AUTHORITIES.
2. Wharfage = 20.6 Tshs/Lita
3. Railway Development Levy (1.5% CIF) = 17.4 Tshs/Lita.
4. Customs Processing Fee = 4.8 Tshs/Lita
5. Weights & Measures (WMA) Fee = 1.0 Tshs/Lita
6. TBS Charge = 1.2 Tshs/Lita
7. TASAC Fee = 3.5 Tshs/Lita
8. EWURA Fee = 6.1 Tshs/Lita
9. Fuel Marking = 14.1 Tshs/Lita
10. Demurrage Costs = 5.5 Tshs/Lita
11. Surveyors Cost = 0.18 Tshs/Lita
12. Financing Cost = 11.6 Tshs/Lita
13. Evaporation Losses = 5.8 Tshs/Lita
14. Fuel Levy = 413. Tshs/Lita
15. Excise Duty = 379 Tshs/Lita
16. Petroleum Fee = 100 Tshs/Lita
17. Oil Marketing Companies Overheads & Margins = 123 Tshs/Lita
18. Charges Payable to Executive Agencies = 1.0 Tshs/Lita
19. Service Levy Payable to Local government authorities (Ushuru wa Halmashauri~ Wholesale) = 5.7 Tshs/Lita
Total Wholesale Price Cap = Tshs/Lita 2275.
Then
1. Retailers Margin = 108 Tshs/Lita
2. Charges payable to Executive Agencies = 5.44 Tshs/Lita
3. Transport Charges (Local) = 10 Tshs/Lita
4. Service Levy payable to Local government authorities (Retail) = 6.1 Tshs/Lita
Hazina faida yoyote huo utitiri wa hizo taasisi zote unaopata hizo ruzuku unaweza kuzivunja zote na kutengeneza taasisi chache zenye matokeo chanya kwa kila jukumuMkuu Mshana ukipata muda tudadavulie maana na manufaa ya kila kodi. Yaani hata RAIA hawaelewi kabisa sijui margin levy. ILA NISEME TU WATANZANIA NI WAOGA NA WANAFIKI SANA. HAWA JAMAA TUNAJUA WANATUPIGAJE, TUNAJUA NI AKINA NANI? TUNAJUA WANAPATIKANA WAPI LAKINI HUWA TUNAISHIA KULALAMIKA TU MITANDAONI KISHA TUNAZOEA. HATA WAO WANATUJUA TUTAONGEA KWA MUDA TU WAO AF TUNAZOEA.
Ni kweli kabisa siwezi kukataa kabisa nilifanya vile kwa nyakati husika.. Na hata sasa bado ana nafasi ya kuweza kufanya tofauti na haya yanayoendelea..Lakini kama akikubali kuwa msikivuNilikunukuu mshana unamsifia mama anaupiga mwingi kulikoni Leo wiki Moja imepita nilikuwa Nairobi Kenya mafuta kule ukigawa na Hela yetu ni 2750 watu wa namanga wanavuka Kenya na gari zao kununua mafuta
Mie muda mwingine nakaa kimya. Hata sisi si ndo tulishangilia sana baada ya mwendazake kufariki na tuliompinga mama tulionekana NI sukuma gang sasa makelele ya nini????
Goja atunyooshe ili sote tuitwe sukuma gang!
Wharfage = 20.6 Tshs/LitaMkuu Mshana ukipata muda tudadavulie maana na manufaa ya kila kodi. Yaani hata RAIA hawaelewi kabisa sijui margin levy. ILA NISEME TU WATANZANIA NI WAOGA NA WANAFIKI SANA. HAWA JAMAA TUNAJUA WANATUPIGAJE, TUNAJUA NI AKINA NANI? TUNAJUA WANAPATIKANA WAPI LAKINI HUWA TUNAISHIA KULALAMIKA TU MITANDAONI KISHA TUNAZOEA. HATA WAO WANATUJUA TUTAONGEA KWA MUDA TU WAO AF TUNAZOEA.
Wharfage = 20.6 Tshs/LitaMkuu Mshana ukipata muda tudadavulie maana na manufaa ya kila kodi. Yaani hata RAIA hawaelewi kabisa sijui margin levy. ILA NISEME TU WATANZANIA NI WAOGA NA WANAFIKI SANA. HAWA JAMAA TUNAJUA WANATUPIGAJE, TUNAJUA NI AKINA NANI? TUNAJUA WANAPATIKANA WAPI LAKINI HUWA TUNAISHIA KULALAMIKA TU MITANDAONI KISHA TUNAZOEA. HATA WAO WANATUJUA TUTAONGEA KWA MUDA TU WAO AF TUNAZOEA.
Wharfage = 20.6 Tshs/LitaMkuu Mshana ukipata muda tudadavulie maana na manufaa ya kila kodi. Yaani hata RAIA hawaelewi kabisa sijui margin levy. ILA NISEME TU WATANZANIA NI WAOGA NA WANAFIKI SANA. HAWA JAMAA TUNAJUA WANATUPIGAJE, TUNAJUA NI AKINA NANI? TUNAJUA WANAPATIKANA WAPI LAKINI HUWA TUNAISHIA KULALAMIKA TU MITANDAONI KISHA TUNAZOEA. HATA WAO WANATUJUA TUTAONGEA KWA MUDA TU WAO AF TUNAZOEA.
Mkuu kwa upande wako unashauri nini kifanyike ili huu utitiri wa kodi upunguzwe kwa maslahi mapana ya nchi na wananchi wake? Iwe zaidi ya maneno matupuHazina faida yoyote huo utitiri wa hizo taasisi zote unaopata hizo ruzuku unaweza kuzivunja zote na kutengeneza taasisi chache zenye matokeo chanya k