Naomba motivation ya kuitizama hii seriesYale yaleeeeee
NCHI NGUMU SANA HII UTITIRI WA KODIEWURA imetangaza bei mpya za mafuta Tanzania kwa mwezi July. Ni bei kikomo na bei elekezi.. Maumivu ni kwamba mafuta yamepanda tena bei, kwa hiyo vilio zaidi vinakuja.
Hapa kuna kitu cha kushangaza mno kuhusu serikali yetu, na watu inaowaamini katika kutoa maamuzi...Hivi kuna haja gani ya kutoa ruzuku wakati serikali ingeweza kupunguza tu kodi ya mapato kwa kipindi hiki, huku pia ikipunguza ama kufuta kabisa tozo kwenye mafuta zinazofikia 21 toka organs za serikali? Ambapo baadhi ya organ hizo majukumu yake yanaweza kubebwa na organs nyinginezo?
Kuna nini kinafichwa hapa? Kuna nini kinalindwa hapa? Organs husika ni za serikali, ruzuku inatoka serikalini.. Sasa kujisumbua kote huku kunatokana na nini? Haioni ni kumtaabisha tu mwananchi wa kawaida na kumuongezea mzigo wa maisha magumu tayari aliyonayo!?
EWURA wamekuja na jedwali linaloonesha bei kabla ya ruzuku na bei baada ya ruzuku ili kutuaminisha kwamba serikali imefanya kitu kumsaidia mwananchi. Kama hakuna agenda ya siri hapa basi huu ni uono hafifu mno. Kwenye duru za miamala ya fedha kutoa/kupunguza kuna faida nyingi kuliko kuongeza ama kujazia.
Yaani ni sawa na kuwa na mikono miwili kisha ukaanza kuitaabisha kwa kutoa pesa mfuko wa kulia na kupeleka mfuko wa kushoto na kinyume chake.. Hapo hakuna kitu bali ni michezo ya namba tuu.. Na kwenye kuchezesha hizo number kuna watu wanafaidika kwa kiwango kikubwa mno.
Serikali haimjali mwanamchi. Haimjali kabisaa. Serikali inajali maslahi ya taasisi zake tuu na faida ya wafanyabiashara wa mafuta. Vyovyote namba zitakavyochezeshwa faida ya mfanyabiashara inabaki palepale.. Huyu ni mungu mtu anayelindwa sana.
Chezesha namba kwa kupunguza kodi ya mapato na kufutilia mbali tozo za michongo uone kama mafuta hayatashuka kufikia chini ya 2500 kwa lita. Lakini kuchezesha namba kwa kuweka ruzuku ni upigaji mwingine wa aina yake na kutufanya sisi majuha sana.
Piga hesabu ya matumizi ya mafuta kwa siku kisha kwa mwezi uone hiyo hesabu yake, halafu linganisha na hiyo ruzuku ya million 100 uone jinsi watu wanavyolamba asali kwa vidole vyote.
Hebu ona wafaidikaji wa mafuta pindi yanapotua bandarini, ambapo mwisho wa siku mzigo mkubwa unaenda kwa mwananchi na si serikali ama mfanyabiashara.
1. Total Cost (CIF to Dar Port) = 1162 Tshs/Lita.
Then, LOCAL COSTS PAYABLE TO OTHER AUTHORITIES.
2. Wharfage = 20.6 Tshs/Lita
3. Railway Development Levy (1.5% CIF) = 17.4 Tshs/Lita.
4. Customs Processing Fee = 4.8 Tshs/Lita
5. Weights & Measures (WMA) Fee = 1.0 Tshs/Lita
6. TBS Charge = 1.2 Tshs/Lita
7. TASAC Fee = 3.5 Tshs/Lita
8. EWURA Fee = 6.1 Tshs/Lita
9. Fuel Marking = 14.1 Tshs/Lita
10. Demurrage Costs = 5.5 Tshs/Lita
11. Surveyors Cost = 0.18 Tshs/Lita
12. Financing Cost = 11.6 Tshs/Lita
13. Evaporation Losses = 5.8 Tshs/Lita
14. Fuel Levy = 413. Tshs/Lita
15. Excise Duty = 379 Tshs/Lita
16. Petroleum Fee = 100 Tshs/Lita
17. Oil Marketing Companies Overheads & Margins = 123 Tshs/Lita
18. Charges Payable to Executive Agencies = 1.0 Tshs/Lita
19. Service Levy Payable to Local government authorities (Ushuru wa Halmashauri~ Wholesale) = 5.7 Tshs/Lita
Total Wholesale Price Cap = Tshs/Lita 2275.
Then
1. Retailers Margin = 108 Tshs/Lita
2. Charges payable to Executive Agencies = 5.44 Tshs/Lita
3. Transport Charges (Local) = 10 Tshs/Lita
4. Service Levy payable to Local government authorities (Retail) = 6.1 Tshs/Lita
Serikali kutoa ruzuku ya billion 100 kwenye mafuta, haikuweka wazi kwamba hio ruzuku ni endelevu au ni ya mwezi mmoja tu au itafanywa kwa mgawanyiko wa kila mwezi au ni ya muda gani.
Kama ni ya mwezi mmoja tu, basi imeshapita. Sasa tujiandae kupigwa na kitu kizito kichwani kwenye bei ya mafuta.
Hapo ndio tatizo lilipo!
NOTE THAT; Kama serikali ikifuta hizo kodi za mafuta, basi kila kitu kitashuka bei. Maana gharama zote za usafiri wa vyakula na abiria utashuka kwasababu mafuta yatashuka bei.
Em ngoja kwanza Mshana Jr , twende taratibu maana naona umeishia njiani, hadi hapo 2,275/= kwa liter nimeelewa kwa whole sale.EWURA imetangaza bei mpya za mafuta Tanzania kwa mwezi July. Ni bei kikomo na bei elekezi.. Maumivu ni kwamba mafuta yamepanda tena bei, kwa hiyo vilio zaidi vinakuja.
Hapa kuna kitu cha kushangaza mno kuhusu serikali yetu, na watu inaowaamini katika kutoa maamuzi...Hivi kuna haja gani ya kutoa ruzuku wakati serikali ingeweza kupunguza tu kodi ya mapato kwa kipindi hiki, huku pia ikipunguza ama kufuta kabisa tozo kwenye mafuta zinazofikia 21 toka organs za serikali? Ambapo baadhi ya organ hizo majukumu yake yanaweza kubebwa na organs nyinginezo?
Kuna nini kinafichwa hapa? Kuna nini kinalindwa hapa? Organs husika ni za serikali, ruzuku inatoka serikalini.. Sasa kujisumbua kote huku kunatokana na nini? Haioni ni kumtaabisha tu mwananchi wa kawaida na kumuongezea mzigo wa maisha magumu tayari aliyonayo!?
EWURA wamekuja na jedwali linaloonesha bei kabla ya ruzuku na bei baada ya ruzuku ili kutuaminisha kwamba serikali imefanya kitu kumsaidia mwananchi. Kama hakuna agenda ya siri hapa basi huu ni uono hafifu mno. Kwenye duru za miamala ya fedha kutoa/kupunguza kuna faida nyingi kuliko kuongeza ama kujazia.
Yaani ni sawa na kuwa na mikono miwili kisha ukaanza kuitaabisha kwa kutoa pesa mfuko wa kulia na kupeleka mfuko wa kushoto na kinyume chake.. Hapo hakuna kitu bali ni michezo ya namba tuu.. Na kwenye kuchezesha hizo number kuna watu wanafaidika kwa kiwango kikubwa mno.
Serikali haimjali mwanamchi. Haimjali kabisaa. Serikali inajali maslahi ya taasisi zake tuu na faida ya wafanyabiashara wa mafuta. Vyovyote namba zitakavyochezeshwa faida ya mfanyabiashara inabaki palepale.. Huyu ni mungu mtu anayelindwa sana.
Chezesha namba kwa kupunguza kodi ya mapato na kufutilia mbali tozo za michongo uone kama mafuta hayatashuka kufikia chini ya 2500 kwa lita. Lakini kuchezesha namba kwa kuweka ruzuku ni upigaji mwingine wa aina yake na kutufanya sisi majuha sana.
Piga hesabu ya matumizi ya mafuta kwa siku kisha kwa mwezi uone hiyo hesabu yake, halafu linganisha na hiyo ruzuku ya million 100 uone jinsi watu wanavyolamba asali kwa vidole vyote.
Hebu ona wafaidikaji wa mafuta pindi yanapotua bandarini, ambapo mwisho wa siku mzigo mkubwa unaenda kwa mwananchi na si serikali ama mfanyabiashara.
1. Total Cost (CIF to Dar Port) = 1162 Tshs/Lita.
Then, LOCAL COSTS PAYABLE TO OTHER AUTHORITIES.
2. Wharfage = 20.6 Tshs/Lita
3. Railway Development Levy (1.5% CIF) = 17.4 Tshs/Lita.
4. Customs Processing Fee = 4.8 Tshs/Lita
5. Weights & Measures (WMA) Fee = 1.0 Tshs/Lita
6. TBS Charge = 1.2 Tshs/Lita
7. TASAC Fee = 3.5 Tshs/Lita
8. EWURA Fee = 6.1 Tshs/Lita
9. Fuel Marking = 14.1 Tshs/Lita
10. Demurrage Costs = 5.5 Tshs/Lita
11. Surveyors Cost = 0.18 Tshs/Lita
12. Financing Cost = 11.6 Tshs/Lita
13. Evaporation Losses = 5.8 Tshs/Lita
14. Fuel Levy = 413. Tshs/Lita
15. Excise Duty = 379 Tshs/Lita
16. Petroleum Fee = 100 Tshs/Lita
17. Oil Marketing Companies Overheads & Margins = 123 Tshs/Lita
18. Charges Payable to Executive Agencies = 1.0 Tshs/Lita
19. Service Levy Payable to Local government authorities (Ushuru wa Halmashauri~ Wholesale) = 5.7 Tshs/Lita
Total Wholesale Price Cap = Tshs/Lita 2275.
Then
1. Retailers Margin = 108 Tshs/Lita
2. Charges payable to Executive Agencies = 5.44 Tshs/Lita
3. Transport Charges (Local) = 10 Tshs/Lita
4. Service Levy payable to Local government authorities (Retail) = 6.1 Tshs/Lita
Hata sijuiEm ngoja kwanza Mshana Jr , twende taratibu maana naona umeishia njiani, hadi hapo 2,275/= kwa liter nimeelewa kwa whole sale.
Hapo kwenye retail ndio umeacha hewani hewani. 2275 + 108 + 5.44 + 10 + 6.1 unapata 2,404.54/= sivyo? Sasa hii bei ya 3,300 na kuendelea inatoka wapi???!!!
Yaani kutoka 1,116/= hadi 3,300/= kuna uchawi gani hapa katikati?!
Halafu wakale wapi? Hizo tozo ndio watu wanapiga ndefu huko
Sio njaa ni ulafi kaka...maana hawako kwenye viwango vya njaa
Sasa bei bei za bidhaa na huduma zitaendelea kupaa !
Mbona mtihani mkubwa jamani nyie [emoji24]
Ruzuku ya kiini macho 😁😁😁Hata mtu asiye elewa kitu alijua ile ruzuku ni upigaji tu.
Mengine ni yao mengine ni ya wote, msimshangae madeni kipande
Huko tayari watu wanajielewa na kuiitambua na haki zao zinalindwa na hawako kwa ajili yao bali kwa taifa.. UZALENDO ndio kila kitu kwaoNa Kweli ni ulafi na hawaridhiki wala kujali utu
Hebu angalia wenzetu MP 53 mpaka sasa wameachia ngazi zao [emoji636]
Hawana imani na PM hata aliemchagua jana kuwa waziri wa fedha bado nae kamuambia Boris aachie ngazi
Hebu imagine kwetu watathubutu kuachia Ubunge na mawaziri ?
Bro jana hapa [emoji636] sheria imetoka wanaopata mshahara mpaka £12500 wasikatwe kodi hata senti kwa sababu ya ugumu wa maisha
Sasa Sisi viongozi wetu wanataka tufe na hawajali