Tumechoka kumuona Baleke akifunga sana tunamwomba na Musonda nae afunge mara kwa mara

GENTAMYCINE

JF-Expert Member
Joined
Jul 13, 2013
Posts
60,660
Reaction score
121,325
Haiwezekani Mchezaji wetu Yanga SC Kennedy Musonda tuliyemsajili kwa Mbwembwe zote huku tukiwacheka Simba SC kwa Kumsajili Mchezaji tuliyeona ni Garasa (Kapi) Jean Baleke hafungi na anakimbiakimbia tu Uwanjani kama Mlevi wa Togwa huku yule tuliyemdharau (Baleke) akiwa anafunga tu Magoli na huenda hata Jumamosi tarehe 16 April, 2023 akatuumiza / akatufunga.

Musonda nae asipoanza Kufunga Magoli mengi mengi (na yawe ya maana) kama ya Yule Baleke (wa Simba SC) tuliyekuwa tukimdharau basi GENTAMYCINE natangaza rasmi kuhamia Simba SC.

Cc: Nyanda 02
 
[emoji2788] kufunga goli sio jambo la ulazima
 
Baleke analazimika sababu bila hivyo timu yake inazama. Musonda kwenye timu aliyopo masiki huwa kila mchezaji anafunga.
 
Cc: Nyanda 02
 
Kolo, mwana ngada, mwana paka, mwana wachawi FC katika ubora wako..!
 
Baleke analazimika sababu bila hivyo timu yake inazama. Musonda kwenye timu aliyopo masiki huwa kila mchezaji anafunga.
Kwamba pale Yanga Sc kila mchezaji anafunga tofauti na Simba Sc?
 
Akili za Luchelele hizo
 
acha ujinga we fata simba yako
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…