GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 60,660
- 121,325
Ukipona Uwendawazimu wako utanielewa.Dah nilijua wanaokuita Popoma wanakuonea broo
Baleke analazimika sababu bila hivyo timu yake inazama. Musonda kwenye timu aliyopo masiki huwa kila mchezaji anafunga.Haiwezekani Mchezaji wetu Yanga SC Kennedy Musonda tuliyemsajili kwa Mbwembwe zote huku tukiwacheka Simba SC kwa Kumsajili Mchezaji tuliyeona ni Garasa ( Kapi ) Jean Baleke hafungi na anakimbiakimbia tu Uwanjani kama Mlevi wa Togwa huku yule tuliyemdharau ( Baleke ) akiwa anafunga tu Magoli na huenda hata Jumamosi tarehe 16 April, 2023 akatuumiza / akatufunga.
Musonda nae asipoanza Kufunga Magoli mengi mengi ( na yawe ya maana ) kama ya Yule Baleke ( wa Simba SC ) tuliyekuwa tukimdharau basi GENTAMYCINE natangaza rasmi kuhamia Simba SC.
Cc: Nyanda 02Haiwezekani Mchezaji wetu Yanga SC Kennedy Musonda tuliyemsajili kwa Mbwembwe zote huku tukiwacheka Simba SC kwa Kumsajili Mchezaji tuliyeona ni Garasa ( Kapi ) Jean Baleke hafungi na anakimbiakimbia tu Uwanjani kama Mlevi wa Togwa huku yule tuliyemdharau ( Baleke ) akiwa anafunga tu Magoli na huenda hata Jumamosi tarehe 16 April, 2023 akatuumiza / akatufunga.
Musonda nae asipoanza Kufunga Magoli mengi mengi ( na yawe ya maana ) kama ya Yule Baleke ( wa Simba SC ) tuliyekuwa tukimdharau basi GENTAMYCINE natangaza rasmi kuhamia Simba SC.
Kolo, mwana ngada, mwana paka, mwana wachawi FC katika ubora wako..!Haiwezekani Mchezaji wetu Yanga SC Kennedy Musonda tuliyemsajili kwa Mbwembwe zote huku tukiwacheka Simba SC kwa Kumsajili Mchezaji tuliyeona ni Garasa ( Kapi ) Jean Baleke hafungi na anakimbiakimbia tu Uwanjani kama Mlevi wa Togwa huku yule tuliyemdharau ( Baleke ) akiwa anafunga tu Magoli na huenda hata Jumamosi tarehe 16 April, 2023 akatuumiza / akatufunga.
Musonda nae asipoanza Kufunga Magoli mengi mengi ( na yawe ya maana ) kama ya Yule Baleke ( wa Simba SC ) tuliyekuwa tukimdharau basi GENTAMYCINE natangaza rasmi kuhamia Simba SC.
Cc: Nyanda 02
Kwamba pale Yanga Sc kila mchezaji anafunga tofauti na Simba Sc?Baleke analazimika sababu bila hivyo timu yake inazama. Musonda kwenye timu aliyopo masiki huwa kila mchezaji anafunga.
Akili za Luchelele hizoHaiwezekani Mchezaji wetu Yanga SC Kennedy Musonda tuliyemsajili kwa Mbwembwe zote huku tukiwacheka Simba SC kwa Kumsajili Mchezaji tuliyeona ni Garasa ( Kapi ) Jean Baleke hafungi na anakimbiakimbia tu Uwanjani kama Mlevi wa Togwa huku yule tuliyemdharau ( Baleke ) akiwa anafunga tu Magoli na huenda hata Jumamosi tarehe 16 April, 2023 akatuumiza / akatufunga.
Musonda nae asipoanza Kufunga Magoli mengi mengi ( na yawe ya maana ) kama ya Yule Baleke ( wa Simba SC ) tuliyekuwa tukimdharau basi GENTAMYCINE natangaza rasmi kuhamia Simba SC.
Cc: Nyanda 02
Phiri 10Baleke analazimika sababu bila hivyo timu yake inazama. Musonda kwenye timu aliyopo masiki huwa kila mchezaji anafunga.
Utashangaa anaitaja wydad au raja casablanca, hana fact.Phiri 10
Ntibanzokiza 10
Bocco 9
Baleke 7
Sakho 7
Chama 6
Haya sasa na wewe tupe orodha ya hao "kila mchezaji anafunga" na magoli yao
acha ujinga we fata simba yakoHaiwezekani Mchezaji wetu Yanga SC Kennedy Musonda tuliyemsajili kwa Mbwembwe zote huku tukiwacheka Simba SC kwa Kumsajili Mchezaji tuliyeona ni Garasa (Kapi) Jean Baleke hafungi na anakimbiakimbia tu Uwanjani kama Mlevi wa Togwa huku yule tuliyemdharau (Baleke) akiwa anafunga tu Magoli na huenda hata Jumamosi tarehe 16 April, 2023 akatuumiza / akatufunga.
Musonda nae asipoanza Kufunga Magoli mengi mengi (na yawe ya maana) kama ya Yule Baleke (wa Simba SC) tuliyekuwa tukimdharau basi GENTAMYCINE natangaza rasmi kuhamia Simba SC.
Cc: Nyanda 02
Hopeless.acha ujinga we fata simba yako
Phiri 10
Ntibanzokiza 10
Bocco 9
Baleke 7
Sakho 7
Chama 6
Haya sasa na wewe tupe orodha ya hao "kila mchezaji anafunga" na magoli yao
mpira wa miguu ni magoli acha kujidanganya[emoji2788] kufunga goli sio jambo la ulazima
Tatizo mpo pale pale shida ni nini hasa?Phiri 10
Ntibanzokiza 10
Bocco 9
Baleke 7
Sakho 7
Chama 6
Haya sasa na wewe tupe orodha ya hao "kila mchezaji anafunga" na magoli yao