Tumefikia huku? kwamba mzazi anapata taarifa ya kifo cha mtoto kwenye soshomedia?

hufikirii kuwa hata hao ndugu walipata taarifa huko pia? kiini kipo kwa aliezitoa taarifa pale hosp alizipeleka wai
Mbona unalaumu kwa kufikirika tu?
We una uhakika hospitali hawakuwapa taarifa ndugu? Je, ndugu walimwambia baba?
 
Swali la kwanza ambalo ulipaswa ujiulize lilikuwa ni;
Je,kipindi Gadna alipopelekwa hospital baba yake hakuwa na taarifa kuwa mwanae ni mgonjwa?

Km alijua,je alipozidiwa aliyekuwa akimuuguza alitoa taarifa kwa baba?

Je,kuugua na kulazwa kwa Gadna ilikuwa siri kiasi cha baba yake kutogahamu?

Kwani Gadna alifariki ghafla?
Kama aliugua,iweje baba yake asiwepo karibu?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…