Tumeingia Tunisia na Wazee wetu Watatu. Hawa ni wazee wapya wa Kamati ya Ushindi. Watunisia wamelala kwao....

acheni uongo mimi nipo tunisia na hakina hata mzee mmoja
Wewe mkia unajua nini.... Mla mihogo tu wewe. Sisi tunaipigania team. Namuunga mkono mleta mada. Match hii tunatoa draw ya magoli au tunashinda. Nipo hapa hapa.
 
Kitakachowasaidia yanga ni kupaki basi ili wapate sare itakayowapeleka kwenye penalt.Uko kwenye penalt hakunaga mwenyewe.ila swala lakusema mtashinda kwa magoli ya dakika 90 uwanjani hizo ni ndoto za mchana.

Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
 
Mmeiva sana nje ya uwanja kwa gia ya bahasha, kumbukeni penati iliyowapa ushindi mechi yenu ya mwiskho kwenye ligi!! Ndani ya uwanja ni matope!!
 
Hakika aliewaita utopolo aliwaza mbali sana
 
Mmeenda na mihogo ya kutosha pia?
 
Wala mihogo mna mikwara sana ila vitendo 0.. Subilini tarehe 9 mpigwe hamsa mrudi kuendelea na unbeaten yenu ya ligi
 
Unamuwaza Simba wakati yeye yuko Ligi ya mabingwa!?
 
Msile mihogo inasumu lkn ww haukusikia umekula madhara yake ndyo haya sumu imepanda kichwani MIHOGO FC
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…