Kiranga
Platinum Member
- Jan 29, 2009
- 78,790
- 128,275
Angalia nyuzi za kujadili uvumi wa kifo cha Magufuli, anzia hapo kuona uwakilishi wa wenye kuona uchuro huu ni jambo jema.Wengi kina nani? Unayo idadi?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Angalia nyuzi za kujadili uvumi wa kifo cha Magufuli, anzia hapo kuona uwakilishi wa wenye kuona uchuro huu ni jambo jema.Wengi kina nani? Unayo idadi?
Nduli Idd Amin kabla ya mauti yake kumfika alitubu na kumrudia Muumba wake, yeye ni nani asifanye hivyo? Huko kaburini mtakua naye wewe au mkeo?"Wananchi wengi"???Majority voted him ndo mana amekuwa rais wa jmt
Majority rule
Sasa hao "wananchi wengi" wasiompenda n kwa rafiti ipi ulyofanya
Au n kwa mujib wa genge la wahuni wa twitter,insta???
Wapi wameruhusiwa kufanya siasa hadi wawe positiveJana niliandika uzi wa kusema namuunga mkono yule mbunge aliesema Wapinzani wa Tz ni wadudu
Nikasema namtaka radhi kwa kuwa nilimind aliposema hivyo kwa kujua anatumia lugha si nzuri
Ila nikamktaka ajitokeze aongezee kuwa wapinzani wa Tz sio wadudu aina ya nyuki, Siafu na wengine wenye akili, nidhamu na uzalendo ni wadudu jamii ya nzi na mende.
Nasikitika kuwa moderators waliuunganisha huo uzi na nyuzi nyingine, hivyo ni ngumu kupata ile content
Ila hicho ndicho nilichojifunza
Kuwa tuna wapinzani wasio elewa kazi yao, wao ni kudandia hoja juu kwa juu tu.
Kama nchi tunahitaj vyama vya upinzani imara, vitakavyosaidia kuleta mawazo mbadala, sio hawa wachumia tumbo, wapiga kelele tu kama nzi. Kazi kudandia hoja bila kujua zimetoka wapi.
Unaweza kuta Kigogo2014 ni pandikizi la Tiss na liliandaliwa only for yestaday ili lije kuonesha kuwa hawa watu hawana wanalojua na ni wakuwapuuza
Siku zote, wakalitengenezea cover nzuri, likapata ushawish kwao, wakajaa jana likawaangusha.
Mtaambia nini watu? Tunaenda kwenye uchaguz wa serikali za mitaa, mkiwa mshafungwa 3 bila. Mtaani kumechafuka kuwa ninyi ni watu kwanza wa kuamini amini uzushi tu wa mitandaoni, ni watu wa kutunga tunga uzushi na ni watu msiolitakia taifa hili mema.
Kuna mzushi alisema yupo mortuary kabisa na tusubiri breaking news.Tuwe wakwelii tu kuwa kudorora kwa afya ya Rais haukuwa uvumi ; ni kweli Afya iliyumba na ziara kukatishwa ; sio Jambo la Ajabu mwanadamu kuugua
Tatizo ni namna Taifa lilivyopokea katika hali inaonyesha umoja wa kitaifa umekufa
Kimsingi huwezi kusema 100%!kuwa Kigogo ni muongo
Rais ni Mgonjwa na hata leo hakua kwenye ubora wake
Ni bora azingatie muda wa kupumzika
CCM wengi ndiyo wameshangiliaAngalia nyuzi za kujadili uvumi wa kifo cha Magufuli, anzia hapo kuona uwakilishi wa wenye kuona uchuro huu ni jambo jema.
Tuwe wakwelii tu kuwa kudorora kwa afya ya Rais haukuwa uvumi ; ni kweli Afya iliyumba na ziara kukatishwa ; sio Jambo la Ajabu mwanadamu kuugua
Tatizo ni namna Taifa lilivyopokea katika hali inaonyesha umoja wa kitaifa umekufa
Kimsingi huwezi kusema 100%!kuwa Kigogo ni muongo
Rais ni Mgonjwa na hata leo hakua kwenye ubora wake
Ni bora azingatie muda wa kupumzika
Kuna mzushi alisema yupo mortuary kabisa, sasa sijui huyo utamchukuliaje?Mi naomba kuuliza, hivi kwani mtu akiumwa haruhusiwi kupona? Au mlitaka iweje ndio mjue alikuwa anaumwa?
Wapi wameruhusiwa kufanya siasa hadi wawe positive
Tutaona kwenye kuradaah sijaamini yani kuna wananchi walifurah sana raisi wa nchi kuumwa yani kuna wengi sana wasiompenda Jamaa aisee
Sijasema kuogopa kifo. Siwezi ogopa haki yangu ya asili kama kuzaliwa.Habari za Israeli mtia roho ni hadithi tu. Tuwekane sawa hapo.
Wakati wewe unaweza kuona kifo ni hatari, wengine tushakubali hakiepukiki na wala hatuna haja ya kujiingezea hifu kuhusu kifo ambacho hakiepukiki.
Watubwengune hawaogopi kifo kama wanavyoogopa kuishi maisha yasiyo na maana, utamu wala furaha.
Nyumbu ni CCM kwani CCM ndiyo wengi kama nyumbu walivyo wengi kule mbugani serengetiHahaaaaa....Kigogo kawaingizeni mjini nyumbu wakubwa nyie
Ben Saanane, Azory Gwanda na wengio ni Serikali ya Chama gani nani imewapoteza wewe ndezi?Dua la kuku...
Rudi ukasome post yako vizuriMkuu;
Hakuna sehemu nimesema kuugua ni jambo la ajabu.
Kama hoja ingekuwa kuugua pekee hakuna mtu mwenye akili timamu na fikra pana angeshangaa.
Kilichofanyika ni kuambiwa Rais Magufuli mgonjwa sana na amepelekwa Ujerumani. Leo pia tukaambiwa Rais ameishapoteza maisha na sasa hospitali ya Lugalo wanajiandaa kuupokea mwili wake.
Mkuu wangu, kama haya maelezo huyaoni kama ni uzushi tena mbaya sana basi nitakuwa napoteza muda wangu na wako katika majadiliano.
Imeandikwa, mtu hataishi kwa mkate tu.Kwann wamuombee mabaya hali anajenga SGR,strilg George,kanunua ndege,nk
Awali ya yote napenda kuipongeza serikali jinsi inavyoweza sasa kudhibiti taarifa zake nyeti, na kuwafanya wale wazushi, waongo, na wazandiki kuumbuka kweupe
Hakika idara sasa ina watu weeledi, na wanafanya kazi. Watu wameingi chaka vibaya mno.
Hao mbumbumbu akina kigogo wameumbuka vibaya mno. Wapinzani ndani ya nchi hii wamekumbwa na ugonjwa wa ajabu kweli kweli.
Ugonjwa wa kuzusha, kujitekenya na kucheka wenyewe, walianza kutuaminisha taarifa za ajabu kuhusu Rais tena wakishinikiza ikulu itoe taarifa kwa uongo wanaoeneza wenyewe.
Upinzani umekosa watu wa kujenga mawazo mbadala, watu wa kukosoa kwa hoja Leo wamegeuka waganga kutabiri vifo. Ona sasa taarifa wanazozusha zinawaumbua wenyewe, ni mwananchi gani atawaamini?
Mbona wanaweza kutumia mitandao kujenga hoja, kwanini wameingia kwenye uongo na uzushi?
Je, wamekata tamaa?
Kwa mtindo huu uchaguzi ujao unaweza kuwa kaburi la so called upinzani.
Muda utasema