Tumejifunza nini kama Taifa kuhusiana na uzushi kuhusu afya ya Rais Magufuli?

Tumejifunza nini kama Taifa kuhusiana na uzushi kuhusu afya ya Rais Magufuli?

"Wananchi wengi"???Majority voted him ndo mana amekuwa rais wa jmt

Majority rule

Sasa hao "wananchi wengi" wasiompenda n kwa rafiti ipi ulyofanya

Au n kwa mujib wa genge la wahuni wa twitter,insta???
Nduli Idd Amin kabla ya mauti yake kumfika alitubu na kumrudia Muumba wake, yeye ni nani asifanye hivyo? Huko kaburini mtakua naye wewe au mkeo?
 
Nilichojifunza! Ni sawa na haki mpinzani au msema ukweli kama Azory akifa au Lissu akiumizwa lakini upande mwingine sio haki wakipata mabaya watu wafurahi.
 
Jana niliandika uzi wa kusema namuunga mkono yule mbunge aliesema Wapinzani wa Tz ni wadudu

Nikasema namtaka radhi kwa kuwa nilimind aliposema hivyo kwa kujua anatumia lugha si nzuri

Ila nikamktaka ajitokeze aongezee kuwa wapinzani wa Tz sio wadudu aina ya nyuki, Siafu na wengine wenye akili, nidhamu na uzalendo ni wadudu jamii ya nzi na mende.

Nasikitika kuwa moderators waliuunganisha huo uzi na nyuzi nyingine, hivyo ni ngumu kupata ile content

Ila hicho ndicho nilichojifunza

Kuwa tuna wapinzani wasio elewa kazi yao, wao ni kudandia hoja juu kwa juu tu.

Kama nchi tunahitaj vyama vya upinzani imara, vitakavyosaidia kuleta mawazo mbadala, sio hawa wachumia tumbo, wapiga kelele tu kama nzi. Kazi kudandia hoja bila kujua zimetoka wapi.

Unaweza kuta Kigogo2014 ni pandikizi la Tiss na liliandaliwa only for yestaday ili lije kuonesha kuwa hawa watu hawana wanalojua na ni wakuwapuuza

Siku zote, wakalitengenezea cover nzuri, likapata ushawish kwao, wakajaa jana likawaangusha.

Mtaambia nini watu? Tunaenda kwenye uchaguz wa serikali za mitaa, mkiwa mshafungwa 3 bila. Mtaani kumechafuka kuwa ninyi ni watu kwanza wa kuamini amini uzushi tu wa mitandaoni, ni watu wa kutunga tunga uzushi na ni watu msiolitakia taifa hili mema.
Wapi wameruhusiwa kufanya siasa hadi wawe positive
 
Tuwe wakwelii tu kuwa kudorora kwa afya ya Rais haukuwa uvumi ; ni kweli Afya iliyumba na ziara kukatishwa ; sio Jambo la Ajabu mwanadamu kuugua
Tatizo ni namna Taifa lilivyopokea katika hali inaonyesha umoja wa kitaifa umekufa

Kimsingi huwezi kusema 100%!kuwa Kigogo ni muongo
Rais ni Mgonjwa na hata leo hakua kwenye ubora wake
Ni bora azingatie muda wa kupumzika
Kuna mzushi alisema yupo mortuary kabisa na tusubiri breaking news.
 
Watu wanazo taarifa za ndani. Kila mmoja kapiga anavyoweza. Wengine wamemtakia afya njema na kupona. Serikali ilinyamaza. Sentesi moja tu ingetosha. "Rais yumzima amepumzika" kwa Nini waliacha tetesi zienee. Ukweli wanajuwa wenyewe. Hali haikuwa nzuri. Nafikiri Kuna mafunzo mengi Kama Taifa. Tumetetereka. Chuki iko just kuliko unavyidhani. Huu ndio ujumbe.
 
Wewe ndio kizibo ambaye aibu imekukuta
Tuwe wakwelii tu kuwa kudorora kwa afya ya Rais haukuwa uvumi ; ni kweli Afya iliyumba na ziara kukatishwa ; sio Jambo la Ajabu mwanadamu kuugua
Tatizo ni namna Taifa lilivyopokea katika hali inaonyesha umoja wa kitaifa umekufa

Kimsingi huwezi kusema 100%!kuwa Kigogo ni muongo
Rais ni Mgonjwa na hata leo hakua kwenye ubora wake
Ni bora azingatie muda wa kupumzika
 
Habari za Israeli mtia roho ni hadithi tu. Tuwekane sawa hapo.

Wakati wewe unaweza kuona kifo ni hatari, wengine tushakubali hakiepukiki na wala hatuna haja ya kujiingezea hifu kuhusu kifo ambacho hakiepukiki.

Watubwengune hawaogopi kifo kama wanavyoogopa kuishi maisha yasiyo na maana, utamu wala furaha.
Sijasema kuogopa kifo. Siwezi ogopa haki yangu ya asili kama kuzaliwa.
Hoja hapa ni "iweje watu wafurahie Kifo" cha binadamu mwingine ilhali wao pia watakufa? Mwenye akili jibu ashalipata!
 
Mkuu;
Hakuna sehemu nimesema kuugua ni jambo la ajabu.

Kama hoja ingekuwa kuugua pekee hakuna mtu mwenye akili timamu na fikra pana angeshangaa.

Kilichofanyika ni kuambiwa Rais Magufuli mgonjwa sana na amepelekwa Ujerumani. Leo pia tukaambiwa Rais ameishapoteza maisha na sasa hospitali ya Lugalo wanajiandaa kuupokea mwili wake.

Mkuu wangu, kama haya maelezo huyaoni kama ni uzushi tena mbaya sana basi nitakuwa napoteza muda wangu na wako katika majadiliano.
Rudi ukasome post yako vizuri
 
Awali ya yote napenda kuipongeza serikali jinsi inavyoweza sasa kudhibiti taarifa zake nyeti, na kuwafanya wale wazushi, waongo, na wazandiki kuumbuka kweupe

Hakika idara sasa ina watu weeledi, na wanafanya kazi. Watu wameingi chaka vibaya mno.

Hao mbumbumbu akina kigogo wameumbuka vibaya mno. Wapinzani ndani ya nchi hii wamekumbwa na ugonjwa wa ajabu kweli kweli.

Ugonjwa wa kuzusha, kujitekenya na kucheka wenyewe, walianza kutuaminisha taarifa za ajabu kuhusu Rais tena wakishinikiza ikulu itoe taarifa kwa uongo wanaoeneza wenyewe.

Upinzani umekosa watu wa kujenga mawazo mbadala, watu wa kukosoa kwa hoja Leo wamegeuka waganga kutabiri vifo. Ona sasa taarifa wanazozusha zinawaumbua wenyewe, ni mwananchi gani atawaamini?

Mbona wanaweza kutumia mitandao kujenga hoja, kwanini wameingia kwenye uongo na uzushi?

Je, wamekata tamaa?

Kwa mtindo huu uchaguzi ujao unaweza kuwa kaburi la so called upinzani.

Muda utasema

Mwana CCM unawafundisha upinzani kufanya siasa za upinzani,what an irony?

Jamaa wenu alipigwa heart attack scare!

Kaenda kufanyiwa huduma kapona,leo karudi!

Ikija mara ya pili analala flat mamaeeeee!

Mnafanya mchezo na cardiac arrest????

Shubamitiiii
 
Back
Top Bottom