minyoo
JF-Expert Member
- May 25, 2013
- 22,405
- 21,100
Mimi nimejifunza kitu kimoja wasukuma wote tuling'ong'onyea sana
Nimekubali damu ni nzito kuliko maji
Ha ha hata mzee chenge naye alinyong’onyea?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mimi nimejifunza kitu kimoja wasukuma wote tuling'ong'onyea sana
Nimekubali damu ni nzito kuliko maji
Andika maneno ambayo meko aliyasema juu ya tundu lissu kisha rudi umetete.
Kubali kwamba meko amewagawa watanzania na kuwaambukiza roho mbaya.
Wapinzani wa Tanzania ni wadudu tu
Mimi nilichojifunza ni kuwa serikali ya sasa imeanza kubadilika kwenye nyanja ya mawasiliano kwa umma hasa namna ya kukabiliana na tuhuma na uzushi wa kwenye mitandao ya kijamii.
Kwa jinsi ambavyo serikali/Ikulu imekabiliana na uzushi uliofanyika kwa muda wa siku tatu kuhusu afya ya Rais Magufuli imeonyesha mabadiliko makubwa sana!
Nakumbuka wakati Rais Magufuli anaingia madarakani alikuwa anapenda kujibu kwa maneno kila tuhuma na uzushi uliohusu yeye au serikali yake bila kujua kwa kufanya hivyo alikuwa anawapa umaarufu wale ambao walikuwa wanatoa uzushi au tuhuma.
Kujibu kila uzushi na tuhuma kwa maneno ndio kulimpa umaarufu Mwana Mama aitwaye Mange Kimambi ambaye alijikuta akipata wafuasi zaidi ya milioni 1.2 kutoka laki 300000.
Kanuni moja ya kukabiliana na uzushi ni kuupuuza na kama ukiona bado unaendelea basi unachofanya ni kuonyesha ukweli kwa vitendo katika muda mwafaka kwa sababu uzushi ukiachwa kwa muda mrefu uendelee kuwepo huanza kuaminisha jamii hata isiyoamini kwa haraka (skeptical).
Uzushi kuhusu afya ya Rais Magufuli imejibiwa kwa muda mwafaka lakini kikubwa zaidi njia iliyotumika katika kujibu imeondoa imani (credibility) yote ya yule aliyeuanzisha na kuushupalia lakini vile vile waliouamini wameonekana ni wajinga au wapumbavu.
Kitu kingine nilichojifunza ni baada ya kuona baadhi ya viongozi wakuu wa vyama vya upinzani kama Zitto Kabwe, Dkt Vicent Mashinji na Godbless Lema wakiamini uzushi kuhusu afya ya Rais Magufuli ni kuwa viongozi wa vyama vya upinzani hawajui linaloendelea Ikulu. Kwa maana nyingine, siri za Ikulu kwa sasa hazitoki kwa urahisi. Fikiria viongozi wa vyama vikuu vya upinzani hawajui hata alipo Rais wa nchi achilia mbali afya yake! Yaani Zitto Kabwe wa leo hajui kinachoendelea Ikulu!
Nimejifunza pia kama wananchi wengi hawataelimishwa kuhusu matumizi ya mitandao ya kijamii kuna uwezekano ''mpumbavu'' fulani kutunga uzushi wa suala fulani linalogusa hisia za wengi na wengi wakaamini na kufanya jambo ambalo linaweza kuleta madhara makubwa kwa taifa.
Mwisho kabisa nimejifunza kuwa inatakiwa kwanza kuchukua muda kabla ya kuamini kile ambacho kimeandikwa kwenye mitandao ya kijamii kwa sababu ukweli hukawia kufika.
Nimalizie kwa kuandika, Nimeamini Uongo hupanda kwa lifti. Ukweli hupanda kwa ngazi ili kumfikia mlengwa!
Mkuu;Mbona nchi ilizizima kwa furaha badala ya huzuni???
meko ndio nani mbona una ongea kimafumboAndika maneno ambayo meko aliyasema juu ya tundu lissu kisha rudi umetete.
Kubali kwamba meko amewagawa watanzania na kuwaambukiza roho mbaya.
Ha ha hata mzee chenge naye alinyong’onyea?
Bado mnajipa moyo tu? Hiyo video ni edited Jamaa yenu keshakufaMi nimegundua hali si nzuri inatisha! Nyumbu ni wengi.
😂😂 Aliemuua ndie aliemfufua.Bado mnajipa moyo tu? Hiyo video ni edited Jamaa yenu keshakufa
Yaani unamwita mkuu huyo punda?Mkuu;
Huwezi kusema CHADEMA wote ni wapumbavu!
Ninadhani ni baadhi ya wanaCHADEMA.
Kigogo anaishi na kufanya kazi ikulu ya magogoni, na wewe upo Magomeni, sasa wapi na wapi?Mkuu mbona una conclude kwamba Rais ni mgonjwa, umejuaje? Kigogo kadanganya watu hadi kufikia kutaja chumba ambacho ati Mh Rais alilazwa huko Ujeremani! Bado unasema Kigogo siyo muongo kwa 100%!! Ajabu
No. 2 kwa hiyo tuamini kwamba kina Seth Rugema na hao wengineo walikuwa wakifisidi nchi kwa baraka za upinzani na si chama twawala?1.Watu wengi tena waliosoma bado wanaamini tatizo linaweza kutatuliwa kwa kumtakia mtu jambo baya, hatufahamu dhana ya kuwa sisi ndio nahodha wa maisha yetu na maisha tunayoyaishi ni uamuzi wa machaguo tuliyochagua na sio bahati nasibu wala mtu mwengine kusababisha tuwe tulivyo.
2.Upinzani bado hawajakua, bado hawajawa mbadala wa CCM, Wengi wanamchukia Magufuli kwasababu ya kuminywa mirija yao na sio wana uchungu na Watanzania.
3.Serikali imefanya jambo lililosahihi, kwa wakati sahihi katika namna sahihi kabisa.
4.Inawezekana kukawa na mageuzi makubwa ya vyombo vyetu vya usalama na ile mianya ya kuvuja kwa siri ambazo wengine hatupaswi kujua imeanza kuminywa kimya kimya, watu wenye kazi zao wapo kazini.
5.Watanzania tunapenda sana umbeya na Majungu, zamani tulikaa katika vijiwe vijiwe sasa hivi Teknolojia imeturahisishia kuendeleza tabia zetu za umbeya na Majungu.
Pole Sana kijana[emoji23][emoji23] Aliemuua ndie aliemfufua.
Point yangu ya pili haimaniishi CCM haina mapungufu, Yes CCM ina Mapungufu yake Je hawa ambao ni mbadala wa CCM vitendo vyao vinatuthibitishia kuwa wapo tayari kuwa mbadala wa CCM? Wanasema heri zimwi likujualo kuliko lisokujua huu msemo ndo huwa tunautumia tunapopiga kura tuNo. 2 kwa hiyo tuamini kwamba kina Seth Rugema na hao wengineo walikuwa wakifisidi nchi kwa baraka za upinzani na si chama twawala?
Binafsi nimefurahi kumuona leo, nimeona kuna ujumbe Ikulu nzima ilikua inautuma kwa wananchi haswa wale wambeya, mfano kitendo cha uwepo wa viongozi wa dini, chakula cha pamoja vyote vilikua na meseji fulani.Nenda YouTube leo wakati anaapisha viongozi uone live chart zaidi ya 10k walichangia positively ni record ya mwaka! Usihangaike na hawa wa tweeter na JF mawakala wa mafisadi.