Tumejifunza nini kama Taifa kuhusiana na uzushi kuhusu afya ya Rais Magufuli?

Hahahaa!

Jomba naona hao ‘mabaharia’ wanakuboa sana.

Anywho, kwa kiasi kikubwa sana siku hizi humu hakuna mijadala ya maana.

Mingi iliyopo ni ya kijinga kijinga tu.

Ndo maana baadhi yetu tumepunguza hata uwepo na ushiriki wetu humu....
Hao 'mabaharia' ni wajuaji wasiojua kitu!
 
..kuna uvumi ulienezwa kuwa Raisi Magufuli kapata tuzo ya uongozi bora.

..Ikulu haikukanusha iliacha wananchi waamini uzushi huo.

..ila mitandao ya kijamii inasaidia sana kujua wananchi wanafikiria nini, na uelewa wao ni wa kiwango gani.
 
Nimejifunza kiongozi huyu hapendwi kabisa na wananchi wake! Walifurahia sana kuwa bora anaewanyanyasa na kujiona mungumtu kaondoka!
Hapendwi na Mafisadi kama wewe na Wenye Uchu wa Madaraka kama wawe. Kwa Dunia ya Sasa ni taabu kwelikweli kumpata Rais Mzalendo kama Dr.JPM. Mungu ni Mwema na Atashughulika na Wewe Mchawi.
 
Nimejifunza kiongozi huyu hapendwi kabisa na wananchi wake! Walifurahia sana kuwa bora anaewanyanyasa na kujiona mungumtu kaondoka!
Nimejifunza wanao mpenda huyu magufuli ni wengi kuliko unaweza ukadhani pamoja na mapungufu yake still ni kiongozi mwenye faida nyingi kuliko hasara kwa taifa
 
Aisee!!!
 
Fundisho kubwa ni kwanza kwa nini taarifa za kifo cha mhe mkubwa wa nchi kisubiliwe kwa bashasha hivyo kama ongezeko la mishahara... Kuna mpasuko mkubwa the way siasa zinavyoendeshwa kuna genge linadhani funga mikono na miguu wapinzani wenye mawazo mbadala then wanawatupa ulingongoni kupambana. Hatufiki....
 
Nimejifunza pia kuwa:
1. Uzushi/uongo huo hata wewe mwandishi ulikunasa.
2. Watumiaji wengi wa mitandao ya kijamii,siyo critical thinkers.
3. Tabaka tawala limepata ujumbe mujarabu kuhusu linavyotazamwa na wasaga nyasi.
4. Kunahaja ya kuwa na mijadala(national dialogues) ya kitaifa kuhusu jinsi gani taifa lienende.
 
Hata zile zisizokuwa changa au zilizopevuka,hazijapona. Propaganda za mitandaoni huziyumbisha mpaka zinaomba msaada wa mitandao husika iondoe baadhi ya tarifa/uzushi/fake news.
Mkuu;
Kumbuka nchi yetu bado ni changa kwenye masuala ya mitandao na kwa sababu hiyo wanachi wengi wanaamini kila wanachokisoma kwenye mitandao.
 
Kwa ujinga waliouonyesha kwenye mitandao kuhusu taarifa za uzushi za hali/afya Rais ni wazi kuwa Chadema hawastahili hata uenyekiti wa mtaa... Tuendelee kuchapa kazi...
Uzi Tayari

Jovic Jovic
Cdhani kama wote walioamini uzushi huo ni CHADEMA,labda kama una chuki binafisi na CHADEMA mkuu.
 
Sina neno LA kukwambia zaidi ya mpumbavu, wew hujui jambo lolote umekuja hapa na kuandika ujinga ujinga ukitegemea watu watakuamin Kama jamaa alikuwa haumwi twambie sasa ilikuwaje akakatiza ziala na kughairi baadhi ya vikao... Wewe ni mpumbavu yatosha kukupuuza
 
Aliyekibonyeza alitaka kupima imani za kishirikina walizonazo nzego,coz kuna walioamini kuwa moshi huo ni makombora ya kimakonde.
Moshi uliomzunguka kiongozi katika ziara Kusini mwa Tanzania siyo uchawi bali ni sehemu ya zana za kisasa za ulinzi zilizopo ktk magari ya VIP pengine kitufe kilibonyezwa kwa makosa sehemu isiyo stahiki
 
Wabaya wapo ndani ya utawala, Zito ni mjumbe wao tu, ambaye hastahili kuuawa, kwa namna yoyote ile. Wasakwe wanaompatia taarifa nyeti za kiusalama, waadabishwe kikamilifu. Siku zote kikulacho kinguoni mwako!
 
Nimejifunza kuwa mh. hapendwi na watu wengi sanaaaa, kwani kuna baadhi walianza kufurahia aumwe hadi afe.Ana maadui wengi sana huku mtaani, 1. Vyeti fake family, 2. Waliohitimu na kukosa ajira toka aingie madarakani, 3.Anaowatumbua na kuwadhalilisha mbele ya wananchi, 4. Watumishi ambao hajawapandisha mishahara toka aingie madarakani, 5.Wahanga wa bodi ya mkopo ambao wanakatwa 15℅ n.k. Arudi nyuma ajitahmin kwa nn watu wengi wamefurahia hiyo skendo ya ugonjwa wake?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…