Tumejifunza nini kama Taifa kuhusiana na uzushi kuhusu afya ya Rais Magufuli?

Mkuu wewe kweli haujui kinachoendelea,kitendo cha kigogo kutoa Uzushi ni mpango mkakati wa kuwasaka waovujisha siri kwenda nje,issue imeratibiwa(faked) kwamba Prezda anaumwa kwahiyo wakapewa info watu wachache wanaohisiwa wanavujisha siri(wamemezeshwa ndoano) kisha hao watu waliopewa wanaangalia je siri zitatoka nje au lah?

Kwahiyo usiseme kwamba siri haijavuja kuhusu afya ya raisi bali kuna mission ilikuwa inafanywa kumezesha watu ndoano na wameshafanikiwa maana kati ya hao watu waliokuwa targeted kupewa false information(fake news) wakamlisha "KASA" aka TANGO PORI Kigogo....Soon Mzee Baba atatembeza PANGA aka FAGIO LA CHUMA.
 
Jana kawaapisha wateule live kwenye TV?
 
Hukujifunza bali umekurupuka kuandika. Jaribu kutoa hoja kwa kupima upepo. Je kwa nini wengi kwenye jamii imefurahia tukio hilo . Ukweli Rais hapendwi kama anavyojinadi. Lastly TCRA wamekosa nini hapo. Hapo mi namsifu Tundu Lisu tu wengine wote hata Makonda ni hopeless.
 
Kuendelea kujadili uzushi kizushi pia ni uzushi!
Ila kabla ya jana mubashara kuapisha mlipokuwa mnaendelea kujadili kiuzushi uzushi ilikuwa sio uzushi?Ilikuwa ukweli?

Mfadhili mbuzi utakunywa mchuzi,BINADAMU kama The Monk hata kulumangia siyo kabisa.

Hahahahaha!!!
 
Ila kabla ya jana mubashara kuapisha mlipokuwa mnaendelea kujadili kiuzushi uzushi ilikuwa sio uzushi?Ilikuwa ukweli?

Mfadhili mbuzi utakunywa mchuzi,BINADAMU kama The Monk hata kulumangia siyo kabisa.

Hahahahaha!!!

Usinitafutie ban, fuatilia mambo kabla ya kutoa kauli. Umejaribu hata kupitia post zangu mbili kuhusu hili jambo kujua msimamo wa The Monk ?

Usiingie kwenye kundi la waropokaji tafadhali.
 
Nimejifunza wanao mpenda huyu magufuli ni wengi kuliko unaweza ukadhani pamoja na mapungufu yake still ni kiongozi mwenye faida nyingi kuliko hasara kwa taifa
Shetani ni shetani tu, hata kama analeta faida kwa wauza majeneza!
 
Mi naomba kuuliza, hivi kwani mtu akiumwa haruhusiwi kupona? Au mlitaka iweje ndio mjue alikuwa anaumwa?
Walio asisi mambo ya ugonjwa nibwao wenyewe kumbuka kipindi cha kampeini 2015 khs Lowasa kila mtu wa kijani alizusha afya ya lowasa mbovu kana kwamba kuna mtu ana guarantee ya kuishi milele sasa hivi imekuja kwao wanatetea eti mlitaka iweje ndo mjue anaumwa mmesahau kwa mamvi [emoji848][emoji848]
 
Hapendwi na Mafisadi kama wewe na Wenye Uchu wa Madaraka kama wawe. Kwa Dunia ya Sasa ni taabu kwelikweli kumpata Rais Mzalendo kama Dr.JPM. Mungu ni Mwema na Atashughulika na Wewe Mchawi.
Yeye ndio fisadi, anafanya vitu kienyeji ili akwapue!! Anakuwa mkali hadi kuagiza wabunge wapigwe risasi ili asiulizwe !!!..

Ni ibilisi tu huyo!
 
Wabaya wapo ndani ya utawala, Zito ni mjumbe wao tu, ambaye hastahili kuuawa, kwa namna yoyote ile. Wasakwe wanaompatia taarifa nyeti za kiusalama, waadabishwe kikamilifu. Siku zote kikulacho kinguoni mwako!

Rais inabidi aangalie nyuma na kwa jicho la tatu wale wote wasiomsifia na kupata muda wa kupanda majukwaani kueleza yale yanayowakera pia kuanzia sasa afikirie jinsi ya kujenga daraja imara ili kuunganisha wala keki wachache na jumuia ya "wanyonge".
 
nilichojifunza kigogo wakati mwingine wanamlisha taarifa fake nae hayuko makini kuzihakiki,,i mean angeweza kutumia flightrada ili kuona ndege yeyote ya Tz ikiondoka na kutua Germany,ajipange
 
nimejifunza kuna watu wanataka kumgeuza binadamu mwenzao kuwa MUNGU
 
Pole ndugu.Nilidhani na wewe ulikuwa ni mshabiki wa uzushi waliozusha na kushadidia uzushi kama uzushi mwingine wa kizushi.

Kamata ndovu baridiii nakuja kulipia hapo kwa mangi, nimefuta mawazo ya kukuweka kundi la wazushi.
Usinitafutie ban, fuatilia mambo kabla ya kutoa kauli. Umejaribu hata kupitia post zangu mbili kuhusu hili jambo kujua msimamo wa The Monk ?

Usiingie kwenye kundi la waropokaji tafadhali.
 
Usinitafutie ban, fuatilia mambo kabla ya kutoa kauli. Umejaribu hata kupitia post zangu mbili kuhusu hili jambo kujua msimamo wa The Monk ?

Usiingie kwenye kundi la waropokaji tafadhali.
Sipo kundi LA waropokaji ila nilidhani na wewe ni wale wale wazushi wa kuzusha uzushi wa kizushi.

Hahahahaha!!!
 
Wewe ulivomwangalia Magufuli wa Jana unaamini ni mzima wa afya kabisa kabisa? Binafsi naamini kulitokea Hali ya kutetereka kwa afya ya Mh.Rais, kikubwa nashauri ajipe Muda apumzike ashughulikie afya yake, He is not OK 100%
 
Kwa ujinga waliouonyesha kwenye mitandao kuhusu taarifa za uzushi za hali/afya Rais ni wazi kuwa Chadema hawastahili hata uenyekiti wa mtaa... Tuendelee kuchapa kazi...
Uzi Tayari

Jovic Jovic
Chadema hawapaswi hata kupata mbunge mmoja! Subiri tu,
Na tujiulize pia kuwa Cdm wasipopata uongozi wowote Je Tanzania itakuwa paradiso ?! Je ni Chadema walioikwamisha Tz kufikia umasikini kiasi hiki ?!.

Bado ninaamini kupishana mawazo si dhambi.
 
Nimejifunza kiongozi huyu hapendwi kabisa na wananchi wake! Walifurahia sana kuwa bora anaewanyanyasa na kujiona mungumtu kaondoka!
Hapendwi?
Anachukiwa na lile kundi la WAPUMBAVU,MALOFA........ukiwemo wewe,ni MPUMBAVU,LOFA.
 
Reactions: nao
Hapendwi?
Anachukiwa na lile kundi la WAPUMBAVU,MALOFA........ukiwemo wewe,ni MPUMBAVU,LOFA.
Walovunjiwa nyumba ni malofa? Ndugu za waliopetezwa kina Ben saanane ni wapumbavu? Watumishi wa umma wanaotukanwa ovyo, viongozi waliotumbuliwa kwa uonezi huku wapendwa wake kinabashite akiwa piga kiwi?

Huyo dikteta wenu asiejua kuendesha nchi kwa kufuata sheria anapendwa na mbumbumbu na wanaofaidika nae!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…