Tumejifunza nini kama Taifa kuhusiana na uzushi kuhusu afya ya Rais Magufuli?

Zitto hafai ni mnafiki wa kisiasa.
Alishabikia sana jana,huku akipost na mshumaa.
Chuki za Zitto ni kuwa alitegemewa angepewa uwaziri wa nishati,hata walipotoka nje ya bunge wenzake ,yeye akabaki peke yake na akasifiwa na mkuu wa kaya,lakini mkuu wa kaya anamjua fika huyu Zitto ,akawachukua akina Mkumbo na mama aliyekuwa mwenyekiti wa chama chake,na yeye akiachwa kwenye mataa na hapo ndipo Zitto alipoanza roho ya kwanini kwa utawala huu.Zitto unafiki wake sijui utamfikisha wapi sasa anajikomba kwa Lissu,tayari akina Nape,Bashe,Makamba wamesha soma alama za nyakati sasa Zitto kabaki anahangaika na wanawake ambao ni manunganyembe yaliyokubuhu hadi yamekimbiwa na walio kuwa waume zao
 
Sanduku LA kura zipi ulilokusudia ww wakati jiwe kashasema yy haondoki madarakani tena
 
Siwanamtegemea jecha na lubuva
 
Wakati mwingine Mods muwe mnafuta nyuzi za kipuuzi, uhuru wa maoni usio na mipaka ni uvunjifu wa sheria, Si kila mtu lazima aanzishe thread, kama huna misamiati mizuri kichwani mwako aheri ukae kimya usome post za wenzio....
Muhimu ni kutofungua au kupita kushoto nyuzi usizotaka kuzisikia ndoo maana ya jukwaa huru
 
Jiwe ni kitu kisicho na uhai kisicho na hisia kisichowezabadilika.
 
1. Rais afanye full checkup ya afya yake na apate muda wa kupumzika.
Atakama aumini kama uchawi hupo aufanyi uchawi usiwepo..! Kwa clip iliyotembea na kuendelea kung'ang'ania eti afanye checkup ya afya yake ni upuuzi mtupu.
 
Nadhani wengi wangejitokeza kujiandikisha
 
Social media ni sample research
 
Bwana atainyoosha kutoka Mbinguni fimbo ya nguvu zake, ili Mh. John Pombe Joseph Magufuli awe na Enzi, Nguvu na Uweza wa ajabu dhidi maadui zake.
Kwa nguvu za Mungu mwenye nguvu natamka kwamba, watafanya kila wanalodhani litamdhoofisha MH. JPM, lakini kamwe kamwe hawataweza. Zaidi sana wataaibika tu. Na aibu yao itakuwa ni LAANA kuu juu yao. LAANA hiyo itaanzia miilini, vyumbani mwao na popote waendapo. Chochote wakiwazacho, wakinenacho, wakitendacho nk. vitakuwa ni LAANA juu yao.
Au la, wanatakiwa kuomba msamaha wa kweli.
 
Awatafakari wajinga
 
We huoni hata siku ile 20.10.2019 anaapisha huku hana hamu na waTz
 
Mimi muda wote ni msema ukweli siwezi kuficha kama kuna kitu ambacho kinaigizwa waziwazi kwa faida za wengine.

Hivi tunaweza Kukaa na kuhubiri umoja kwa ujinga wa kuwavumilia wakina Musiba na mwenzie Habibu mchange ambao inaonekana wazi system inawatumia kuendelea kuvuruga umoja uliokuwepo hapo awali.Mbona kipindi cha raisi mstaafu kipenzi cha watanzania wote huu ujinga haukuwepo ndani ya serikali bali waliachwa wapinzani ndio wafanye siasa hizo maana sisi ilikuwa ni kudumisha umoja.

Lakin leo ambayo ndio serikali inayojinasibu kuwa na Uzalendo,Utu na Kupendana lakin nyuma ya pazia inaleta wajinga wachache wanaoharibu ndani na nje.

 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…