At Calvary
JF-Expert Member
- Aug 22, 2018
- 4,533
- 3,595
Ni kweli mkuu, wengi hawafahamu labda watu wa mitandao ni tuita na jf.Hivi unajua asilimia Karibu 90 ya watanzania walikua hawajua chochote?huo uzushi ulienea mitandaoni Tu tena zaidi ya Twitter na jamii forum?
Una hasira?Kifo ni kifo tu hakuna msamiati mwingine hata ipindishe vipi vyote humanisha kifo tu.
Kifo kizuri kwa TL kwa JPM kibaya??
Binadamu mwepesi wa kusahau, atajimwambafai siku zikisonga mbelekwa ule uongeaji wa jana ni dhahiri shahiri kuwa sizonje ameacha kujimwambafy
Si kweliKwenye WhatsApp huo ulienea kama moto wa majani makavu. Hizo tweet za kihogozilikuwa zinasambazwa magroup kibao
But the message has been deliveredShida kajamaa ninkasahaulifu mno.
Si mtaona 😅😅
Unatapatapa.Sasa kama hata kujiandikisha watu wameajindikisha wachache, tena baada ya vitisho na kubembelezwa ndio kwenye kura utegemee idadi ya maana? Kwa idadi ya kupika atapata kura za mpaka ambao hawajafikia umri wa kupiga kura. Unaweza kulazimisha kila kitu lakini sio kupendwa.
Si kweliNyie ndo wapuuzi mliokosa akili ulivyo mpuuzi unajitapa eti una akaunti 10. For what kama siyo utapeli. Kuwa na account nyingi JF, twitter IG ama FB inakuonyesha namna gani huna kazi za kufanya na ndiyo ile praise team ya Lumumba. Na si ajabu kuwa na mawazo hafifu..
Kwa kupiga simu kila mkoa Kwa watu 25 tuUliwezaje kufanya randomly sampling kwa population iyo? Adi ukawa na result ya 90%
Hilo la viongozi wa upinzani kuonewa liko wazi na ni kilio chetu cha muda mrefu, kwamba rais wa sasa anatumia madaraka yake kuwakomoa na kuwatesa wapinzani wake. Naona unakiri hilo sasa, sio kwamba unasimamia haki, bali ni baada ya kuona hakufurahia uvumi wa kipenzi chako. Narudia tena, hapa unampaka mafuta Mbowe kwa mgongo wa chupa kisa hakuwa mmoja ya waliofurahia huo uvumi. Ila huna lolote la maana unaloona kwa Mbowe zaidi ya hilo.
Machangu [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji23][emoji23][emoji23][emoji2][emoji2]Mimi muda wote ni msema ukweli siwezi kuficha kama kuna kitu ambacho kinaigizwa waziwazi kwa faida za wengine.
Hivi tunaweza Kukaa na kuhubiri umoja kwa ujinga wa kuwavumilia wakina Musiba na mwenzie Habibu mchange ambao inaonekana wazi system inawatumia kuendelea kuvuruga umoja uliokuwepo hapo awali.Mbona kipindi cha raisi mstaafu kipenzi cha watanzania wote huu ujinga haukuwepo ndani ya serikali bali waliachwa wapinzani ndio wafanye siasa hizo maana sisi ilikuwa ni kudumisha umoja.
Lakin leo ambayo ndio serikali inayojinasibu kuwa na Uzalendo,Utu na Kupendana lakin nyuma ya pazia inaleta wajinga wachache wanaoharibu ndani na nje.
View attachment 1240522
😂😂Kawa mnyenyekevu kama baba parokoNadhani ni wakati sasa kwa Rais kuufanya huo Urais wake kama Taasisi badala ya One Man Show. Kwa namna alivyozungumza jana, kama alizungumza vile kwa sababu alikuwa mgonjwa, basi ni bora akabaki mgonjwa milele.
Alikuwa tofauti kabisa na siku za nyuma.
Kwa hiyo wazee wa Ngende Ruangwa wali test mitambo?Atakama aumini kama uchawi hupo aufanyi uchawi usiwepo..! Kwa clip iliyotembea na kuendelea kung'ang'ania eti afanye checkup ya afya yake ni upuuzi mtupu.
Ndiyo mwisho wa uwezo wako wa kufikiri? Wala huoni faida ya uzi huu? Basi hapa siyo mahali pako, nenda kule jukwaa la mahusiano, chit chat na photos.Mlichojifunza nyie wazushi ni kuwa muache majungu na umbea na uzushi, fanyeni yanayowahusu tafuteni pesa mlipe kodi ya serikali nchi ipate maendeleo.
Mkuu huu uzi una faida gani?Ndiyo mwisho wa uwezo wako wa kufikiri? Wala huoni faida ya uzi huu? Basi hapa siyo mahali pako, nenda kule jukwaa la mahusiano, chit chat na photos.
Kwa kupiga simu kila mkoa Kwa watu 25 tu
Waliokuwa wanahangaika na huo uzushi ndo hao wamerudi tena kivingine. Hizi tathimini zenu za social media ni sawa na wale Motivation speakers,subilini kwenye sanduku la kura mjue kama watz wanampenda Magufuli ama la otherwise ni mbwembwe zenu na hekaya za kila siku