Tumejifunza nini kama Taifa kuhusiana na uzushi kuhusu afya ya Rais Magufuli?

Tumejifunza nini kama Taifa kuhusiana na uzushi kuhusu afya ya Rais Magufuli?

Makundi ya kumzushia magufuli kifo ni mengi msiwasingizie chadema tu,watumishi wanaweza Fanya hivyo,wafanya biashara na hata maskini wa kawaida tu.Rais kuna maeneo anapatia ila kuna eneo anaharibu kama rais " kujenga umoja hawezi kabisaaaaa" anaamini mabavu sana
 
Vicky Emmanuel Nchimbi wrote this piece [emoji116][emoji116][emoji116][emoji116]

Taarifa zinazosambazwa kuwa JPM amefariki si za kweli. Ni uzushi Zipuuzeni. May be if he will die in future on God's will, but as for now he is alive. It's true alipata heart attack akiwa ziarani kusini na kukimbizwa Dar usiku kwa helcopter ya jeshi kisha akasafirishwa to SA then Germany. Mama Samia aliitisha cabinet jana to adress the situation and all security organs are alerted.

Taarifa rasmi haijatolewa kwa sababu ya kuhofia kuiweka nchi kwenye tention unnecessarily. Kwa hiyo ili kupunguza minong'ono iliyopo imebidi itolewe taarifa ya uteuzi aliofanya kabla hajaugua. Ni idea iliyotolewa na Mzee Lukuvi just to calm people down. Ndio maana watu wanahoji if he is okay kwanini asijitokeze hadharani hata kwenda kununua samaki kule ferry as he used to be? uteuzi haujafanywa leo, isipokuwa leo umetangazwa tu. And the one who announced is Gerson not JPM.

Kutumia uteuzi as derteminant that he is okay is wrong. He is not okay and he is not in the country. Ndio maana hata kwenye mkutano wa AALCO he will be represented by mama Samia. Lets pray for him for the quick recovery. I'm told leo kapata nafuu na kaweza kufungua macho usiku huu. These are good news lets keep push the prayers. Hata kina Bashe na Polepole wamepata ujasiri to speak it out baada ya mzee kufungua macho usiku huu. Lakini tangu juzi alipozidiwa they were quet as absent b'se they couldnt anticipate what nature could provide.

The most important thing let's keep praying for him, and send our gratitude to Germans kwa kupambania afya ya baba yetu. Tusimuombee mabaya just b'se of political dissimilarities. Our prayers, our unity, our nation, our President.
Hii haiwezi kuwa kweli, kafumbua macho na kupandishwa ndege toka German kuja kuapisha watu?
 
Nimejifunza kwamba utamaduni wa Watanzania kumstahi rais na kumuheshimu sana, siyo tu unaisha, bali unaelekea kwenye utamaduni wa ajabu wa kumtakia mtu, tena rais, kifo.

Hii ni tabia mbaya kwa upande wa wananchi wenye mawazo hayo.

Lakini tabia mbaya hii imepaliliwa na kutiliwa mbolea na ubabe wa rais Magufuli.

Watu waliwakejeli Kikwete na Mwinyi kwa udhaifu wao, lakini haikufikia watu wengi hivi kusheherekea uvumi wa kifo cha rais.
Usiseme watanzania, bali sema chadema na magenge mengine toka upinzani kama kina Zitto
 
Mkuu;
Kutopendwa kwa kiongozi wa kisiasa ni jambo la kawaida sana na hasa kama kiongozi niwa juu nchini.

Hivi unadhani Marais wanapewa ulinzi wa kiwango cha juu katika nchi kwa sababu gani?
Naelewa, ila kwa huyu anayejiadai ni wa wanyonge na mapambio kibao ya kumsifu....asipojifunza atakuwa na.kiburi cha kijinga tu!
 
Huo umoja wa kitaifa kuyumba sababu ya tweets za akina Zitto mzee? Yaani kakikundi ambacho tunajua hadi fake IDs zao ndio unasema taifa? Unajua mliheshimika sana kiasi kwamba sasa significant number imeanza kujua motives zenu!
Mkuu;
Hata mimi ninashangaa sana kwenye hii dhana potofu ambayo inajengwa eti taifa linayumba huku wengine wakisema taifa limegawanyika!

Hii ni moja ya njia za kisaikologia ambayo inatumika katika siasa ili kuaminisha kundi ambalo halina upande na uzoefu kwenye mapambano ya kisiasa!
 
Wewe ndo mpumbavu wa majalalani, rudi mirembe utibiwe
Subiri tuwatie madole kwenye uchaguzi ndio mtamkumbuka kigogo ni nani! Tunaanza na uchaguzi wa selikali za mitaa.

Yani nyie ni wapumbavu sana mkuu! Badala ya kujazana mitandaoni kudeal na tume huru ya uchaguzi, mnadeal na udaku wa kigogo?
 
Hivi msipende kuangalia juu juu mambo ya msingi.
Uvumi huu ulikuwa na baraka zote za Ikulu kwa maana hata baadhi ya viongozi wa juu ndani ya serikali hawakuwa na uhakika mzee yupo au hayupo? Mgonjwa sana au kidogo?
Na kama unataka kujiuliza zaidi nini kipo kwa viongozi wa juu ndani ya serikali na viongozi wa vyombo vya dola tazama tena kwa makini sana video ya shughuli ya kuapishwa Leo kwa hatua utagundua jambo moja LA hatari sana katika nyuso zao, WALITEGEMEA UVUMI HUU KUWA KWELI.
Sio rahisi kukubali lakini huo ndio ukweli, na ni ukweli wa kutisha sana. Kuna kukubalika mdomoni lakini sio moyoni na tusidanganyike tabia zibadilike.
 
Nafikiria kwamba mimi ndo rais wa nchi ambaye nina majeshi na taasisi mbali mbali ambaye katiba Mbovu inanipa UMungu mtu ndani ya ardh ya watanganyika, nikasikia habari nimezushiwa si za Kufa au habari mbaya tu bali hata kujikwaa kidole kikavuja, alafu niwajue waliosambaza hizo KUNGECHIMBIKA

kumbe saa nyingine rais anapaswa kuwa baba kuwaona wanaomsema kama wanaosema wasilojua,

Urais ni mgumu kwa kakipengele haka

Britannica
Anajipanga kulipiza ngoja apone kabisa utamsikia,
 
Kwanza nimejifunza sasa tumepata Mkurugenzi makini ndani ya TISS,

Alijaribu kuwapa taarifa tofauti tofauti maafisa ndani ya idara ili aweze kugundua ni wapi wanavujisha siri za serikali kwa wakina Kigogo.

Kuna watu wanaenda kupata adhabu kali ndani ya idara.
Nakubaliana na wewe.
 
Ndugu Rais, bila shaka umeusoma upepo ulivyo kwa sasa..
Ni vizuri, uachane sasa na roho mbaya, kiburi, majivuno, na visasi. Nadhani umejifunza ni namna gani Wananchi wako wengi wanavyokutakia mabaya (kifo), na wapo tayari kufanya sherehe muda wowote iwapo mauti yatakufikia. Iwapo utachagua kuendelea na ubabe, uonevu na kiburi shauri yako.
 
Subiri tuwatie madole kwenye uchaguzi ndio mtamkumbuka kigogo ni nani! Tunaanza na uchaguzi wa selikali za mitaa.

Yani nyie ni wapumbavu sana mkuu! Badala ya kujazana mitandaoni kudeal na tume huru ya uchaguzi, mnadeal na udaku wa kigogo?
Kwani nani anashoboka na masiasa yenu ya kipuuzi, watu walishawapuuza ndo maana wenye akili hawakujiandikisha
 
Mkuu mbona una conclude kwamba Rais ni mgonjwa, umejuaje? Kigogo kadanganya watu hadi kufikia kutaja chumba ambacho ati Mh Rais alilazwa huko Ujeremani! Bado unasema Kigogo siyo muongo kwa 100%!! Ajabu
Atafutwe aadhibiwe. Mjinga sana
 
Back
Top Bottom