Mkuu kama Zitto, Lema, Fatuma Karume na wasomi wengine walishikiwa akili na kigogo unafikiri wafuasi wao wana hali gani.Mkuu;
Huwezi kusema CHADEMA wote ni wapumbavu!
Ninadhani ni baadhi ya wanaCHADEMA.
Hii haiwezi kuwa kweli, kafumbua macho na kupandishwa ndege toka German kuja kuapisha watu?Vicky Emmanuel Nchimbi wrote this piece [emoji116][emoji116][emoji116][emoji116]
Taarifa zinazosambazwa kuwa JPM amefariki si za kweli. Ni uzushi Zipuuzeni. May be if he will die in future on God's will, but as for now he is alive. It's true alipata heart attack akiwa ziarani kusini na kukimbizwa Dar usiku kwa helcopter ya jeshi kisha akasafirishwa to SA then Germany. Mama Samia aliitisha cabinet jana to adress the situation and all security organs are alerted.
Taarifa rasmi haijatolewa kwa sababu ya kuhofia kuiweka nchi kwenye tention unnecessarily. Kwa hiyo ili kupunguza minong'ono iliyopo imebidi itolewe taarifa ya uteuzi aliofanya kabla hajaugua. Ni idea iliyotolewa na Mzee Lukuvi just to calm people down. Ndio maana watu wanahoji if he is okay kwanini asijitokeze hadharani hata kwenda kununua samaki kule ferry as he used to be? uteuzi haujafanywa leo, isipokuwa leo umetangazwa tu. And the one who announced is Gerson not JPM.
Kutumia uteuzi as derteminant that he is okay is wrong. He is not okay and he is not in the country. Ndio maana hata kwenye mkutano wa AALCO he will be represented by mama Samia. Lets pray for him for the quick recovery. I'm told leo kapata nafuu na kaweza kufungua macho usiku huu. These are good news lets keep push the prayers. Hata kina Bashe na Polepole wamepata ujasiri to speak it out baada ya mzee kufungua macho usiku huu. Lakini tangu juzi alipozidiwa they were quet as absent b'se they couldnt anticipate what nature could provide.
The most important thing let's keep praying for him, and send our gratitude to Germans kwa kupambania afya ya baba yetu. Tusimuombee mabaya just b'se of political dissimilarities. Our prayers, our unity, our nation, our President.
Zitto, Lema na Fatuma karumenisaidieni kuelewa,mpinzani ni nani?
Usiseme watanzania, bali sema chadema na magenge mengine toka upinzani kama kina ZittoNimejifunza kwamba utamaduni wa Watanzania kumstahi rais na kumuheshimu sana, siyo tu unaisha, bali unaelekea kwenye utamaduni wa ajabu wa kumtakia mtu, tena rais, kifo.
Hii ni tabia mbaya kwa upande wa wananchi wenye mawazo hayo.
Lakini tabia mbaya hii imepaliliwa na kutiliwa mbolea na ubabe wa rais Magufuli.
Watu waliwakejeli Kikwete na Mwinyi kwa udhaifu wao, lakini haikufikia watu wengi hivi kusheherekea uvumi wa kifo cha rais.
Naelewa, ila kwa huyu anayejiadai ni wa wanyonge na mapambio kibao ya kumsifu....asipojifunza atakuwa na.kiburi cha kijinga tu!Mkuu;
Kutopendwa kwa kiongozi wa kisiasa ni jambo la kawaida sana na hasa kama kiongozi niwa juu nchini.
Hivi unadhani Marais wanapewa ulinzi wa kiwango cha juu katika nchi kwa sababu gani?
Nchi ipi mkuu?Mbona nchi ilizizima kwa furaha badala ya huzuni???
Mkuu;Huo umoja wa kitaifa kuyumba sababu ya tweets za akina Zitto mzee? Yaani kakikundi ambacho tunajua hadi fake IDs zao ndio unasema taifa? Unajua mliheshimika sana kiasi kwamba sasa significant number imeanza kujua motives zenu!
Subiri tuwatie madole kwenye uchaguzi ndio mtamkumbuka kigogo ni nani! Tunaanza na uchaguzi wa selikali za mitaa.Wewe ndo mpumbavu wa majalalani, rudi mirembe utibiwe
Anajipanga kulipiza ngoja apone kabisa utamsikia,Nafikiria kwamba mimi ndo rais wa nchi ambaye nina majeshi na taasisi mbali mbali ambaye katiba Mbovu inanipa UMungu mtu ndani ya ardh ya watanganyika, nikasikia habari nimezushiwa si za Kufa au habari mbaya tu bali hata kujikwaa kidole kikavuja, alafu niwajue waliosambaza hizo KUNGECHIMBIKA
kumbe saa nyingine rais anapaswa kuwa baba kuwaona wanaomsema kama wanaosema wasilojua,
Urais ni mgumu kwa kakipengele haka
Britannica
Nakubaliana na wewe.Kwanza nimejifunza sasa tumepata Mkurugenzi makini ndani ya TISS,
Alijaribu kuwapa taarifa tofauti tofauti maafisa ndani ya idara ili aweze kugundua ni wapi wanavujisha siri za serikali kwa wakina Kigogo.
Kuna watu wanaenda kupata adhabu kali ndani ya idara.
Mmeumbuka sana aiseeChumvi inaweza kuwepo. lakini ukweli ni kwamba afya ya magufuli haiko timamu. Alionekana ni dhaifu.
Kwani nani anashoboka na masiasa yenu ya kipuuzi, watu walishawapuuza ndo maana wenye akili hawakujiandikishaSubiri tuwatie madole kwenye uchaguzi ndio mtamkumbuka kigogo ni nani! Tunaanza na uchaguzi wa selikali za mitaa.
Yani nyie ni wapumbavu sana mkuu! Badala ya kujazana mitandaoni kudeal na tume huru ya uchaguzi, mnadeal na udaku wa kigogo?
Atafutwe aadhibiwe. Mjinga sanaMkuu mbona una conclude kwamba Rais ni mgonjwa, umejuaje? Kigogo kadanganya watu hadi kufikia kutaja chumba ambacho ati Mh Rais alilazwa huko Ujeremani! Bado unasema Kigogo siyo muongo kwa 100%!! Ajabu