Tumejifunza nini kama Taifa kuhusiana na uzushi kuhusu afya ya Rais Magufuli?

Namuombea Maghufuli akaze zaidi , huyo jamaa namwelewa Sana japo somtyme anakera, Kwa sasa anaenda kuwanyoosha wote, mwamba huwa hakopeshi yule ....
Mitandaoni humu kuna wahuni wachache tuu hao ni kama chura hawawezi kumzuia tembo kunywa maji, twende na JPM mpak 2025 non stop
 
Pole,umeumia sana.
 
Siasa za hoja kwa hoja zimefutwa nchini na rais mwenyewe kwhy wapinzani na wasio wapinzani wanafanya siasa wanazojua wenyewe!! Usishangae wakaingia msituni maana siasa za majukwaa zimefutwa na mtukufu rais
 
We jinga sana yaani wa kuunganishwa ni hawa wapuuzi chadema?? Namuomba awakanyage kwelikweli
Siasa za chuki hazina mshindi ni hatari hata kwake apandacho MTU ndicho atakachovuna soma historia
 
Akishawanyoosha then? Unajua visababishi vya heart attack,usiruhusu moyo wako ubebe chuki,visasi,hasira malipizi utauumiza moyo wako unaujaza mazito yapelekeao heart failure then kifo cha ghafla.MTU akikuchukia akikunyoosha anaeathirika zaidi ni yeye na sio wwe unayefanyiziwa.
 
Acheni propaganda za linings hapa, kama wananchi hawampendi si tutaona kwenye uchaguzi,
 
Raisi awezi kupata mvurugiko wa tumbo eti watangazie watanzania
 
Hamna lolote. Wengi wanaompinga JPM ni wale majizi, mafisadi na wazembe ambao sidhani kama wanafika hata 10K kati ya WaTZ 50+.
Kama mlizoea vya dezo na uzembe imekula kwenu. Mtabanwa mpaka mkome.
Tena kwa huu uzushi wenu wa kwenye mitandao bora JPM awabane pumzi kabsaa.
 
Au ilikuwa ni drill ikilenga kuangalia kiwango cha usiri huko jumba jeupe kwa sasa na kuona mapokeo ya watu kama taarifa ingekuwa ya kweli. Ila kiukweli kupitia mitandao idadi kubwa ya watu walionyesha kufurahia taarifa ya awali. Inasikitisha sana.
 
ukijifanya wewe ni first class citizen lazima uwe dikteta
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…