Tumejifunza nini kama Taifa kuhusiana na uzushi kuhusu afya ya Rais Magufuli?

Acha ramli wewe mchawi wa Luangwa , wasukuma hatuwangiwi kizembe hvyo
 
Nenda YouTube leo wakati anaapisha viongozi uone live chart zaidi ya 10k walichangia positively ni record ya mwaka! Usihangaike na hawa wa tweeter na JF mawakala wa mafisadi.
leo hakuwa live Tbc kumbe?
 
Katika hili la afya ya mkuu, kama taifa na serikali ya awamu ya tano imepata somo kubwa katika nyanja nyingi. Asante Kigogo na wengine mmefungua hisia na utashi wa tembo. Mwenye macho na aone.
 
Wapinzani wa Tanzania ni wadudu tu
Mkuu;
Hii sio lugha nzuri kuitumia kwa binadamu mwenzako.

Tupingane tu kwa nguvu za hoja na sio kuitana majina ya ajabu ajabu!

Ni ushauri tu, samahani kama nimekukwaza!
 
Huo umoja wa kitaifa kuyumba sababu ya tweets za akina Zitto mzee? Yaani kakikundi ambacho tunajua hadi fake IDs zao ndio unasema taifa? Unajua mliheshimika sana kiasi kwamba sasa significant number imeanza kujua motives zenu!
mimi siyo chadema wala ccm ila nilinunua beberu nisherehekea kufa kwa mtesi wa Lissu
 
Mkuu;
Hili andiko lako chanzo ni wapi? Facebook au Instagram?
 
Hawezi jifunza zaidi atawafanyia mbaya wale wote waliofurahia
 
100% naunga hoja hii niliwaza hivi hivi
 
Ombwe la wadudu wasiozidi 1000000. kumbuka tuko zaidi ya milioni 30 wenye akili nziri. Ukiondoa hao wadusu tuliobaki wote tuko vizuri.
Je uliangalia you tube mubashara comment za kushangilia zilivyokuwa zinaporomoka kwa maelfu??
 
Katika sakata lote hili la siku mbili tatu, nimegundua mambo mawili matatu.

La Kwanza: RAISI wetu alikuwa anaumwa kweli na kurugenzi ya mawasiliano Ikulu kama sijakosea imetuficha for which reason i don't know but it was stupid idea. Kwanini nikasema stupid Idea kwasababu imezalisha taharuki na maombezi mabaya Nchini mwetu. Na sio hivyo tu kisheria wananchi ni haki yetu kuambiwa kweli.
La Pili: Tanzania imeingiliwa na chuki mbaya sana. Na hili limeanza tangu wakati wa Tundu Lisu kabla na baada kupigwa risasi. wakati Tundu Lisu wafuasi wengi wa CCM walikuwa wakimuombea mabaya na hata kufa baada ya kupigwa risasi, na yote ni chuki. Na sasa tumeaona kwa vijana waliokuwa wamechukizwa na alivyofanyiwa Tundu Lisu na kuanza kuiga tabia mbovu na kumzulia kufa kwa RAISI wetu.
La Tatu: Always don't show your weakness, Ikulu leo wametuonesha weakness yao. Walikuwa wameuachie apumzike RAISI wetu. huyo aliemshauri ajitokeze leo hafai kuwa mshauri wake. Kuumwa sio jambo baya.
Pumzika na ugua pole RAISI wetu
 
Huyu jamaa ubabe wake na utemi ni too much......

Hivi sasa hapa TZ, huwezi kujua ile kitu inayoitwa "separation of power" miongoni ya mihimili mitatu mikuu, ambayo ni Bunge, mahakama na serikali, ambapo inatakiwa ifanye kazi zake ikiwa huru kabisa, katika kile kinachoitwa "check and balance"​
Badala yake katika nchi hii kila atakachokisema Rais kwenye majukwaa ya kisiasa, yanachukuliwa kama sheria!​
 
Magufuli kuna mambo anafanya vizuri ila kuna mambo mengi pia anavuruga kwa kutokubali ushauri .

Abadilike aache kuongoza nchi kwa matakwa yake binafsi Urais ni taasisi.
 
Aliyewaita nyumb hakukosea kabisa!
 
Ila somo amelipata, time will tell kwan ataishi milele? Anawatesa sana watu. Mseminari mwenzangu, tumesali Rozari, Novena na Antifona ila mimi zimenisaidia sana kuwa na huruma kuliko huyu anayejifanya Mkuu wa malaika.
 
Umejuaje kwamba ni CHADEMA tu na si Watanzania wengine?

Na, CHADEMA si Watanzania?
Chadema ni wajinga flani sijui ni kutoka nchi gani..

Sasa mtu unakuwa mfuasi mfano wa Zitto au Lema au Fatuma Karume ambao na usomi wao wanashikiwa akili na kigogo unategemea utakuwa mtu mwenye akili kweli..
 
Reactions: nao
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…