My Son drink water
JF-Expert Member
- Nov 30, 2016
- 4,932
- 13,306
Wewe chizi kabisa, eti wapigaji, huna akili hata za kuazima tu,Nimejifunza kuwa kuna kundi la wapigaji ambalo lamwombea JPM mabaya ili turudi zama za kupiga
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wewe chizi kabisa, eti wapigaji, huna akili hata za kuazima tu,Nimejifunza kuwa kuna kundi la wapigaji ambalo lamwombea JPM mabaya ili turudi zama za kupiga
CCM ndo nini kwanza?Point yangu ya pili haimaniishi CCM haina mapungufu, Yes CCM ina Mapungufu yake Je hawa ambao ni mbadala wa CCM vitendo vyao vinatuthibitishia kuwa wapo tayari kuwa mbadala wa CCM? Wanasema heri zimwi likujualo kuliko lisokujua huu msemo ndo huwa tunautumia tunapopiga kura tu
Aisee!Vicky Emmanuel Nchimbi wrote this piece [emoji116][emoji116][emoji116][emoji116]
Taarifa zinazosambazwa kuwa JPM amefariki si za kweli. Ni uzushi Zipuuzeni. May be if he will die in future on God's will, but as for now he is alive. It's true alipata heart attack akiwa ziarani kusini na kukimbizwa Dar usiku kwa helcopter ya jeshi kisha akasafirishwa to SA then Germany. Mama Samia aliitisha cabinet jana to adress the situation and all security organs are alerted.
Taarifa rasmi haijatolewa kwa sababu ya kuhofia kuiweka nchi kwenye tention unnecessarily. Kwa hiyo ili kupunguza minong'ono iliyopo imebidi itolewe taarifa ya uteuzi aliofanya kabla hajaugua. Ni idea iliyotolewa na Mzee Lukuvi just to calm people down. Ndio maana watu wanahoji if he is okay kwanini asijitokeze hadharani hata kwenda kununua samaki kule ferry as he used to be? uteuzi haujafanywa leo, isipokuwa leo umetangazwa tu. And the one who announced is Gerson not JPM.
Kutumia uteuzi as derteminant that he is okay is wrong. He is not okay and he is not in the country. Ndio maana hata kwenye mkutano wa AALCO he will be represented by mama Samia. Lets pray for him for the quick recovery. I'm told leo kapata nafuu na kaweza kufungua macho usiku huu. These are good news lets keep push the prayers. Hata kina Bashe na Polepole wamepata ujasiri to speak it out baada ya mzee kufungua macho usiku huu. Lakini tangu juzi alipozidiwa they were quet as absent b'se they couldnt anticipate what nature could provide.
The most important thing let's keep praying for him, and send our gratitude to Germans kwa kupambania afya ya baba yetu. Tusimuombee mabaya just b'se of political dissimilarities. Our prayers, our unity, our nation, our President.
Msg kwa nani? Unadhani hao viongozi wa dini watamwepusha na kifo?Binafsi nimefurahi kumuona leo, nimeona kuna ujumbe Ikulu nzima ilikua inautuma kwa wananchi haswa wale wambeya, mfano kitendo cha uwepo wa viongozi wa dini, chakula cha pamoja vyote vilikua na meseji fulani.
Aisee!Mbona nchi ilizizima kwa furaha badala ya huzuni???
Yaani iyo reply tuu inaonesha uko kundi gani.Wewe chizi kabisa, eti wapigaji, huna akili hata za kuazima tu,
Mkuu;Somo ni moja tu: IKULU ipo imara!
Chama Cha Mapinduzi ndo CCMCCM ndo nini kwanza?
Unadhani itatawala milele?
We kwa akili zako meco ulomuona akiongea leo ni yule wa kawaida? Hujaona alivyo mpole.
Ukweli ni kuwa anaumwa ila hajafariki. Ila kwa jinsi ilivyoonekana mtandaoni ni kuwa hapendwi kabisaaaaa, hata ajifariji namna gani nguvu ilokuwa mtandaoni inaonyesha waz kuwa hapendwi,
OVER
Mkuu hapo no 2. naomba kutofautiana na wewe, si sahihi kusema hakuna mbadala wa ccm. Kinacho fanywa na ccm kinweza kufanywa na chama chochote au mtu yeyote provided that ana nguvu za dola. CCM nje ya dola nao ni hopeless tu kama vyama vingine.1.Watu wengi tena waliosoma bado wanaamini tatizo linaweza kutatuliwa kwa kumtakia mtu jambo baya, hatufahamu dhana ya kuwa sisi ndio nahodha wa maisha yetu na maisha tunayoyaishi ni uamuzi wa machaguo tuliyochagua na sio bahati nasibu wala mtu mwengine kusababisha tuwe tulivyo.
2.Upinzani bado hawajakua, bado hawajawa mbadala wa CCM, Wengi wanamchukia Magufuli kwasababu ya kuminywa mirija yao na sio wana uchungu na Watanzania.
3.Serikali imefanya jambo lililosahihi, kwa wakati sahihi katika namna sahihi kabisa.
4.Inawezekana kukawa na mageuzi makubwa ya vyombo vyetu vya usalama na ile mianya ya kuvuja kwa siri ambazo wengine hatupaswi kujua imeanza kuminywa kimya kimya, watu wenye kazi zao wapo kazini.
5.Watanzania tunapenda sana umbeya na Majungu, zamani tulikaa katika vijiwe vijiwe sasa hivi Teknolojia imeturahisishia kuendeleza tabia zetu za umbeya na Majungu.
Ndo maana Mungu kachukia, mtu gani Kila siku anasifiwa eti huwa hakosei?Yaani iyo reply tuu inaonesha uko kundi gani.
POle baba ndo ivyo jamaa tuko naye mpaka 2025 vumilia
Mimi na wewe sio madaktari wake lakini siwezi kukataa katakata kuwa ni mgonjwa kwa sababu ugonjwa ni sehemu ya maisha ya binadamu.Chumvi inaweza kuwepo. lakini ukweli ni kwamba afya ya magufuli haiko timamu. Alionekana ni dhaifu.
Mkuu unaijua kesho?Chama Cha Mapinduzi ndo CCM
Hakitatawala milele wakati wake utafika lakini si leo wala kesho
WWe kwa akili zako meco ulomuona akiongea leo ni yule wa kawaida? Hujaona alivyo mpole.
Ukweli ni kuwa anaumwa ila hajafariki. Ila kwa jinsi ilivyoonekana mtandaoni ni kuwa hapendwi kabisaaaaa, hata ajifariji namna gani nguvu ilokuwa mtandaoni inaonyesha waz kuwa hapendwi,
OVER
Uchawi wa Ruangwa ulitengenezwa na CCM waliotumbuliwa huko mikoa ya kusiniWanategemea uchawi na ushirikina ndio wachukue nchi. Shame on them
mimi naona kuna kitu hakiko sawa kwani kwenye mitandao hakuna mtu hata mmoja aliye taja jina la mtu kupatwa na matatizo ya kiafya lakini cha ajabu wanaccm na viogozi wa serikali wote wakanusha kuwa raisi haumw! jee nini kilicho sababisha watu kuhisi kuwa raisi anaumwa?Mimi nilichojifunza ni kuwa serikali ya sasa imeanza kubadilika kwenye nyanja ya mawasiliano kwa umma hasa namna ya kukabiliana na tuhuma na uzushi wa kwenye mitandao ya kijamii lakini pia kwenye kuvuja kwa siri za Ikulu.
Kwa jinsi ambavyo serikali/Ikulu imekabiliana na uzushi uliofanyika kwa muda wa siku tatu kuhusu afya ya Rais Magufuli imeonyesha mabadiliko makubwa sana!
Nakumbuka wakati Rais Magufuli anaingia madarakani alikuwa anapenda kujibu kwa maneno kila tuhuma na uzushi uliohusu yeye au serikali yake bila kujua kwa kufanya hivyo alikuwa anawapa umaarufu wale ambao walikuwa wanatoa uzushi au tuhuma.
Kujibu kila uzushi na tuhuma kwa maneno ndio kulimpa umaarufu Mwana Mama aitwaye Mange Kimambi ambaye alijikuta akipata wafuasi zaidi ya milioni 1.2 kutoka laki 300000.
Kanuni moja ya kukabiliana na uzushi ni kuupuuza na kama ukiona bado unaendelea basi unachofanya ni kuonyesha ukweli kwa vitendo katika muda mwafaka kwa sababu uzushi ukiachwa kwa muda mrefu uendelee kuwepo huanza kuaminisha jamii hata isiyoamini kwa haraka (skeptical).
Uzushi kuhusu afya ya Rais Magufuli imejibiwa kwa muda mwafaka lakini kikubwa zaidi njia iliyotumika katika kujibu imeondoa imani (credibility) yote ya yule aliyeuanzisha na kuushupalia lakini vile vile waliouamini wameonekana ni wajinga au wapumbavu.
Kitu kingine nilichojifunza ni baada ya kuona baadhi ya viongozi wakuu wa vyama vya upinzani kama Zitto Kabwe, Dkt Vicent Mashinji na Godbless Lema wakiamini uzushi kuhusu afya ya Rais Magufuli ni kuwa viongozi wa vyama vya upinzani hawajui linaloendelea Ikulu. Kwa maana nyingine, siri za Ikulu kwa sasa hazitoki kwa urahisi. Fikiria viongozi wa vyama vikuu vya upinzani hawajui hata alipo Rais wa nchi achilia mbali afya yake! Yaani Zitto Kabwe wa leo hajui kinachoendelea Ikulu! Lazaro Nyalandu anatoa ujumbe wa kuliombea Taifa na mishumaa!
Haya ni maendeleo makubwa kwa taasisi/watu waliopewa dhamana ya kumlinda Rais na siri za Ikulu.
Nimejifunza pia kama wananchi wengi hawataelimishwa kuhusu matumizi ya mitandao ya kijamii kuna uwezekano ''mpumbavu'' fulani kutunga uzushi wa suala fulani linalogusa hisia za wengi na wengi wakaamini na kufanya jambo ambalo linaweza kuleta madhara makubwa kwa taifa.
Mwisho kabisa nimejifunza kuwa inatakiwa kwanza kuchukua muda kabla ya kuamini kile ambacho kimeandikwa kwenye mitandao ya kijamii kwa sababu ukweli hukawia kufika.
Nimalizie kwa kuandika, Nimeamini Uongo hupanda kwa lifti. Ukweli hupanda kwa ngazi ili kumfikia mlengwa!
Binafsi nimefurahi kumuona leo, nimeona kuna ujumbe Ikulu nzima ilikua inautuma kwa wananchi haswa wale wambeya, mfano kitendo cha uwepo wa viongozi wa dini, chakula cha pamoja vyote vilikua na meseji fulani.
Sawa mkuu kama wewe una uwezo wa kuipima hasira ya Mungu hongera sanaMkuu unaijua kesho?
Ndo maana Mungu kachukia, kwa sababu mnajifanya mna weza kuliko Mungu, sijui Makonda na Musiba watakimbilia wapi
Utakuwa unang'atwa na mapepo wewe sio bure... Dume zima shoga wa mapepo unakuja kutoa shobo kwenye post za wanaumeKe..nge katika ubora wako