Tumejifunza nini kama Taifa kuhusiana na uzushi kuhusu afya ya Rais Magufuli?

Tumejifunza nini kama Taifa kuhusiana na uzushi kuhusu afya ya Rais Magufuli?

Mimi kinacbonisikitisha ni wapinzani kushikwa akili na kigogo mpaka wa naacha kufuatilia mambo ya msingi kama uchaguzi na mengineyo.

Baada ya tarehe 24 mwezi ujao ntakuja hapa kuwakumbusha mlivyo nyumbu
Nyie si wezi tu. Toka baba yenu hadi wewe msafisha choo cha lumumba.
 
Mr Plight with his young Brother, the conductor think that their Dad shall never ever fade.
I recollect what the late Mwl spoke over Idiotism, "it's better for someone else to become bankrupted than to be without wits ".
The two are without wits, worst rumours rumoured over his fate and civilians became exceedingly glad.
The zero brain holders, are herein to applaud everything,be good or bad.
We shouldn't blame them, for it's their role, without carrying out such a task their children will starve.
The man of God came all the way to the country bear shoes as a sign to capture the pertaining dark powers whose goals were to cause untold harms.
I'm pretty sure, 85% wish him evil things to prevail on.
The day is up, in which the two will be easily trapped like a rat in a glue bait ,and it's gonna be nowhere to run for them.
As we're all blindfolded of our tomorrows, they know theirs.
 
Wabongo wengi wanapenda sana drama.

Kuanzia upinzani mpaka CCM.

Na drama zikipungua, wanaleta za kuzusha.

Za kuzusha zikionekana wazi za uzushi, wanafanya review.

Kabla review haijaisha, zinazuka drama nyingine.

Yani wanaona bila mdundiko wa drama inakuwa nchi hainogi.

Halafu drama zao nyingi maneno matupu, hazina "facts and figures" watu wabishane objectively.

Mara chache sana utaona ripoti ya BOT inajadiliwa katika hizi drama.
Lakini ukiangalia vizuri, hizi drama ni za ccm wenyewe, hawa wa vyama vingine ni washangiliaji tu. Sema washangiliaji wanashangilia mashambulizi badala ya kusubili magoli.
Ccm wali mmiss lead kigogo internationally wamefurahi sanaaa, nadhani wamemtambua ni nani sasa, maaana hii ni njia ya kumfahamu mole within, wanatoa taarifa za uongo kisha wanafuata leads, presumably wamemtambua, tusubirie press watuambie nani muhaini.
Wanamtafutia Rais busara, eti alikaa kimya, hakusema kitu, mara utasikia aliwasamehe.
Yote ni kumpandisha politically in public.

Bado naamini, circle yao inavuja still.
 
Lakini ukiangalia vizuri, hizi drama ni za ccm wenyewe, hawa wa vyama vingine ni washangiliaji tu. Sema washangiliaji wanashangilia mashambulizi badala ya kusubili magoli.
Ccm wali mmiss lead kigogo internationally wamefurahi sanaaa, nadhani wamemtambua ni nani sasa, maaana hii ni njia ya kumfahamu mole within, wanatoa taarifa za uongo kisha wanafuata leads, presumably wamemtambua, tusubirie press watuambie nani muhaini.
Wanamtafutia Rais busara, eti alikaa kimya, hakusema kitu, mara utasikia aliwasamehe.
Yote ni kumpandisha politically in public.

Bado naamini, circle yao inavuja still.
Wabaya wengi wa meko wapo CCM huko huko na hao ndiyo huwapenyezea watanzania wote mabaya yake
 
Wakati mwingine Mods muwe mnafuta nyuzi za kipuuzi, uhuru wa maoni usio na mipaka ni uvunjifu wa sheria, Si kila mtu lazima aanzishe thread, kama huna misamiati mizuri kichwani mwako aheri ukae kimya usome post za wenzio....
Kuna uongo gan kaongea hapo si ni kwel
 
Hivi ziara yake huko Lindi leo imefanyika?

Je,Rufiji na Ikwiriri nako jana alienda?

Haya maswali ni ya Kigogo huko twitter na wala si yangu.
Wasiojulikana wametanda huko tokea juzi wakiuchunguza Moshi wa Ruangwa
 
Nadhani ni wakati sasa kwa Rais kuufanya huo Urais wake kama Taasisi badala ya One Man Show. Kwa namna alivyozungumza jana, kama alizungumza vile kwa sababu alikuwa mgonjwa, basi ni bora akabaki mgonjwa milele.

Alikuwa tofauti kabisa na siku za nyuma.
Mkewe ni mama mwema ingawa huwa hana nguvu ya kumkanya nadhani sasa kamwambia awe chonjo abadilike aache ubabe wake amrejee mungu afanye kazi kwa uadilifu mkubwa.
 
Mkewe ni mama mwema ingawa huwa hana nguvu ya kumkanya nadhani sasa kamwambia awe chonjo abadilike aache ubabe wake amrejee mungu afanye kazi kwa uadilifu mkubwa.
Uadilifu na unyenyekevu, ila ashukuru, sana Mungu ni wa rehema nyingi
 
Unadhani Magu atarudishwa nyuma na wapumbavu wawili walioko mtandaoni? Humjui JPM wewe..forward ever, backward never.
 
Mimi sio muumini wa kiongozi yoyote wa kuchaguliwa kukaa madarakani zaidi ya miaka 10. Mbowe ameshakaa zaidi ya miaka 10, huu ni wakati wake sasa kumpisha mwanacdm mwingine. Ni kweli nafahamu mchangu wa Mbowe kwa cdm, lakini wakati ukuta. Kama wewe umefaidika na Mbowe kwenye hili, mimi siangalii maslahi binafsi, bali naiangalia cdm kama taasisi, na uongozi wa taasisi ni kupokezana. Msimamo wangu huu uko wazi wala haubadilishwi na tukio lolote.
Ni msimamo madhubuti, ila usiufanye kuwa 'absolute'. All or nothing!
 
Magufuli kaisha weka record za utendaji wake wa kazi akiwa waziri wa barabara chini ya Raisi Mkapa na chini ya Raisi Kikwete.
Sasa anachofanya akiwa Raisi ni kuvunja records zake mwenyewe .
Na hili halipendezi kwa empty minded fellas.Shida inaanzia hapo.
Mtu hajamaliza hata miaka mitano eti wanasema atagangania kwenye madaraka? How ??
Mara oh Magufuli hajui Engilish,je wao wameishaandika hata kijedwali cha kufundishia English?Au Magufuli anaowatawala lugha yao ni English au Kiswahili?
Walizoe kutengenza zengwe wakiona wananchi wanashtuka wanaunda tume ya kupoza tu hasira za wananchi.Report za tume zikifungiwa tu makabatini,Lakini Bulldozer Magu yeye kwanza anakutumbua na wahusika kutema pesa hizo.
Lakini nguvu ya umma inataka mabadiriko nayo ni kama hayo Magufuli anayofanya, wamechoka na stories za Karumekenge kukataa kwenda shule,muda wa stories umeishapita.Hapa kazi tu.
 
Mwaka 2004 nilioeshwa kuwa John Pombe Magufuli atakuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania mara baada ya Rais Kikwete kumaliza muda wake 2015. Hili nililijua toka wakati huo. Na niliwambia baadhi ya watu kadhaa japo nilijua Magufuli atakuwa na vita kubwa.

Mwaka 2011 niliwambia pia watu atakae kuwa Rais ajae ni Magufuli japo watu wengi wa Tanzania walidhani ni Lowasa au Membe.

Katika huo mwaka nilifanikiwa kumuona Magufuli umbali wa mita chache japo sikuweza ongea nae alipanda gari akaondoka nilitamani kumwambia yeye ndo atakae kuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.

Japo Rais Magufuli anadhani alipata urais kwa bahati mbaya kwa kujaribu la hasha nataka nimuhakikishie kwamba, alipata urais kwa kuandaliwa na Mungu. Asijilaumu na wala asiseme seme haya maneno kuwa alijaribu. Mungu alishamuandaa.

Anachopaswa kujua ni kuwa atakumbana na upinzani mkubwa hicho ni kitu cha kawaida. Watu wote waliokuwa chaguo la Mungu soma Biblia au mtazame Mtume katika uislamu. Wakati wa kampeni 2015 nilikuwa katika moja ya group iliyokuwa ikimsapoti Magufuli wengi waliogopa upepo wa Lowasa, niliwambia Magufuli atashinda tu. Walishangaa!

Sasa niseme na Kumwambia Rais yote mabaya wanayomtabilia, hakuna hata moja litakalo simama au kufanikiwa.

Asiwe na wasiwasi Mungu yupo na yeye, na watanzania wema na wazalendo wako nae. Kuumwa ni hali ya kawaida ya binadamu, na kuumwa si kufa. Hakuna mahala Maandiko matakatifu yanasema mtaumwa na kufa. Maandiko yanasema tutakufa tutarudi mavumbini. Hivyo mtu aweza kufa hakiwa haumwi akafa ghafla tu.

Rais wetu Mungu kakuandaa na utashinda uchaguzi 2020 usiwe na wasi na utaendelea kuwepo hadi utapo itimisha muda ambao Mungu anapenda utuongoze.

Onyo kwa wanao mtakia Rais mabaya mkizidi sana Mungu atawasambaratisha vibaya. Nakuonya Mhe. Zito, wewe ni mfitini na msaliti wa hii nchi upo kwa maslahi yako. Usidhani unaogopwa na unauwezo wa kusema lolote ukizidi Mungu ataufunga huo mdomo. Hivyo tulia fanya siasa nzuri na kuwa mzalendo. Mheshimiwa Membe wewe unapiga ngoma katika maji pole sana.

Wakati wako umepita huna lolote hutokaa kuwa Rais wa hii nchi kamwe. Nimekwambia na utaona. Mungu anakujua na anajua nia yako hovu. Tundu Lissu, wewe unadhani kumsema Rais vibaya na nchi yako utafanikiwa haita tokea kamwe. Unawafanya wazungu miungu yako. Ipo siku watakuchoka na watakuacha kama ulivyo.

Mzungu anachoangalia ni maslahi yake akiona hajapata au kapata atakutelekeza. Kwanza wanapenda mtu asiye msaliti wa nchi yake. Kwani hii ufanya wakuheshimu. Hivyo wewe wanakusanifu wanakutumia kupata wanachotafuta.

Ila hawatoweza kukipata Tanzania hii inalindwa na Mungu ni nchi ya kipekee na watanzania wanaiombea. Acha hiyo tabia. Utapotea katika ulimwengu wa siasa na utajuta maishani mwako.
 
Sinema bado inaendelea!! Hii ni episode ya ngapi sasa?
 
Back
Top Bottom