Tumejifunza nini kama Taifa kuhusiana na uzushi kuhusu afya ya Rais Magufuli?

Tumejifunza nini kama Taifa kuhusiana na uzushi kuhusu afya ya Rais Magufuli?

Sasa kama hata kujiandikisha watu wameajindikisha wachache, tena baada ya vitisho na kubembelezwa ndio kwenye kura utegemee idadi ya maana? Kwa idadi ya kupika atapata kura za mpaka ambao hawajafikia umri wa kupiga kura. Unaweza kulazimisha kila kitu lakini sio kupendwa.
Katika uchaguzi wowote ule. Hata kama watu watatu tu watajitokeza huyo mmoja wao atakaye chaguliwa na hao wawili ameshinda. Wale wasio jihusisha itakuwa ime kula kwao. That is the principle. Humkomoi mtu unajikomoa mwenyewe kwa ujinga wako.

Tumia nafasi yako kumchagua mtu unaye ona anafaa.
 
Mwaka 2004 nilioeshwa kuwa John Pombe Magufuli atakuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania mara baada ya Rais Kikwete kumaliza muda wake 2015. Hili nililijua toka wakati huo. Na niliwambia baadhi ya watu kadhaa japo nilijua Magufuli atakuwa na vita kubwa. Mwaka 2011 niliwambia pia watu atakae kuwa Rais ajae ni Magufuli japo watu wengi wa Tanzania walidhani ni Lowasa au Membe. Katika huo mwaka nilifanikiwa kumuona Magufuli umbali wa mita chache japo sikuweza ongea nae alipanda gari akaondoka nilitamani kumwambia yeye ndo atakae kuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.
Japo Rais Magufuli anadhani alipata urais kwa bahati mbaya kwa kujaribu la hasha nataka nimuhakikishie kwamba, alipata urais kwa kuandaliwa na Mungu. Asijilaumu na wala asiseme seme haya maneno kuwa alijaribu. Mungu alishamuandaa. Anachopaswa kujua ni kuwa atakumbana na upinzani mkubwa hicho ni kitu cha kawaida. Watu wote waliokuwa chaguo la Mungu soma Biblia au mtazame Mtume katika uislamu. Wakati wa kampeni 2015 nilikuwa katika moja ya group iliyokuwa ikimsapoti Magufuli wengi waliogopa upepo wa Lowasa, niliwambia Magufuli atashinda tu. Walishangaa!
Sasa niseme na Kumwambia Rais yote mabaya wanayomtabilia, hakuna hata moja litakalo simama au kufanikiwa. Asiwe na wasiwasi Mungu yupo na yeye, na watanzania wema na wazalendo wako nae. Kuumwa ni hali ya kawaida ya binadamu, na kuumwa si kufa. Hakuna mahala Maandiko matakatifu yanasema mtaumwa na kufa. Maandiko yanasema tutakufa tutarudi mavumbini. Hivyo mtu aweza kufa hakiwa haumwi akafa ghafla tu. Rais wetu Mungu kakuandaa na utashinda uchaguzi 2020 usiwe na wasi na utaendelea kuwepo hadi utapo itimisha muda ambao Mungu anapenda utuongoze.
Onyo kwa wanao mtakia Rais mabaya mkizidi sana Mungu atawasambaratisha vibaya. Nakuonya Mhe. Zito, wewe ni mfitini na msaliti wa hii nchi upo kwa maslahi yako. Usidhani unaogopwa na unauwezo wa kusema lolote ukizidi Mungu ataufunga huo mdomo. Hivyo tulia fanya siasa nzuri na kuwa mzalendo. Mheshimiwa Membe wewe unapiga ngoma katika maji pole sana. Wakati wako umepita huna lolote hutokaa kuwa Rais wa hii nchi kamwe. Nimekwambia na utaona. Mungu anakujua na anajua nia yako hovu. Tundu Lissu, wewe unadhani kumsema Rais vibaya na nchi yako utafanikiwa haita tokea kamwe. Unawafanya wazungu miungu yako. Ipo siku watakuchoka na watakuacha kama ulivyo. Mzungu anachoangalia ni maslahi yake akiona hajapata au kapata atakutelekeza. Kwanza wanapenda mtu asiye msaliti wa nchi yake. Kwani hii ufanya wakuheshimu. Hivyo wewe wanakusanifu wanakutumia kupata wanachotafuta. Ila hawatoweza kukipata Tanzania hii inalindwa na Mungu ni nchi ya kipekee na watanzania wanaiombea. Acha hiyo tabia. Utapotea katika ulimwengu wa siasa na utajuta maishani mwako.
Ulianza vizuri umemalizia vibaya
 
Hivi ziara yake huko Lindi leo imefanyika?

Je,Rufiji na Ikwiriri nako jana alienda?

Haya maswali ni ya Kigogo huko twitter na wala si yangu.
Muungwana akivuliwa nguo huchutama, huyo kigogo angekaa kimya kwanza angalau kwa sasa
 
2. Rais ajitathmini style yake uongozi, asifurahie kuogopwa bali ajenge mazingira ya kuheshimiwa
Hakuna zaidi ya hili katika uongozi; ni bahati mbaya sana yeye hakulitambua hili toka mwanzo.

Ukali una sehemu yake, hasa kwenye mazingira iliyokwishayafikia Tanzania; na ukali na kukandamiza kunahitaji uangalifu zaidi. Usimwonee yeyote kwa sababu zisizokuwa za haki.

Kama unamkandamiza mtu kwa sababu tu hakubaliani na msimamo wako katika baadhi ya mambo, na unamkandamiza kwa sababu wewe unavyo vifaa vyote, hapo usahihi wa njia hiyo unapotea.

Uonevu katika uongozi mara zote huleta mfarakano mkubwa kwenye jamii.
 
Tusimlaumu sana Kigogo 2014 kwa kutulisha 'tango pori' kama watu wengi wanavyodai bali yeye ndiye amesababisha tupate taarifa rasmi.
Unanikumbusha Donald Trump alivyomzushia Obama kazaliwa Kenya.

Obama alivyotoa cheti cha kuzaliqa kuonesha kazaliwa Hawaii, Trump akawa anatamba kusema kwamba bila yeye watu wasingekiona cheti.
 
Mr Plight with his young Brother, the conductor think that their Dad shall never ever fade.
I recollect what the late Mwl spoke over Idiotism, "it's better for someone else to become bankrupted than to be without wits ".
The two are without wits, worst rumours rumoured over his fate and civilians became exceedingly glad.
The zero brain holders, are herein to applaud everything,be good or bad.
We shouldn't blame them, for it's their role, without carrying out such a task their children will starve.
The man of God came all the way to the country bear shoes as a sign to capture the pertaining dark powers whose goals were to cause untold harms.
I'm pretty sure, 85% wish him evil things to prevail on.
The day is up, in which the two will be easily trapped like a rat in a glue bait ,and it's gonna be nowhere to run for them.
As we're all blindfolded of our tomorrows, they know theirs.

This forum started at a good note and hopefully with a good intent, but now it is full of surrogate contributes incapable to reason independently. Like waves in the ocean tossed to and fro.
 
Mwaka 2004 nilioeshwa kuwa John Pombe Magufuli atakuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania mara baada ya Rais Kikwete kumaliza muda wake 2015. Hili nililijua toka wakati huo. Na niliwambia baadhi ya watu kadhaa japo nilijua Magufuli atakuwa na vita kubwa. Mwaka 2011 niliwambia pia watu atakae kuwa Rais ajae ni Magufuli japo watu wengi wa Tanzania walidhani ni Lowasa au Membe. Katika huo mwaka nilifanikiwa kumuona Magufuli umbali wa mita chache japo sikuweza ongea nae alipanda gari akaondoka nilitamani kumwambia yeye ndo atakae kuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.
Japo Rais Magufuli anadhani alipata urais kwa bahati mbaya kwa kujaribu la hasha nataka nimuhakikishie kwamba, alipata urais kwa kuandaliwa na Mungu. Asijilaumu na wala asiseme seme haya maneno kuwa alijaribu. Mungu alishamuandaa. Anachopaswa kujua ni kuwa atakumbana na upinzani mkubwa hicho ni kitu cha kawaida. Watu wote waliokuwa chaguo la Mungu soma Biblia au mtazame Mtume katika uislamu.
Mkuu Nabii Sauti ya Nyikani, Wilderness Voice, kwanza asante kutujulisha, pili naunga mkono hoja kuwa Rais Magufuli ni mpango wa Mungu kwa Tanzania, ila pia kiulweli jf tuna manabii wengi!.

Ila nina kaswali kadogo, naomba ufafanulie kidogo ile 2004 ulipoonyeshwa Magufuli atakuwa rais, ulionyeshwaje?. Kwenye ndoto, au kupitia maono au ni sauti tuu?.

Maana sisi wengine sio manabii ila 2014 tuliambiwa Magufuli ndio atakuwa rais na sababu tulitajiwa na tukasema humu


Ila humu jf tuna manabii wengi na miongoni mwao ni huyu


Tena manabii wa JF, hawaishii kuleta taarifa zao za unabii tuu, bali wwngine ni watabiri, nami niliwahi kuwatolea angalizo humu,

Katika hao wewe mwenzetu uko kundi gani?.

P
 
Haya ni matokeo ya kutokua na uhuru wa vyombo vya habari...

Ndiyo maana watu wanatengeneza hoax...


Cc: mahondaw
Mkuu;
Kutokuwa na uhuru wa vyombo vya habari sio kigezo kwa sababu hoax zinakuwepo hata kwenye nchi zenye ''uhuru wa vyombo vya habari''.
 
Mwaka 2004 nilioeshwa kuwa John Pombe Magufuli atakuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania mara baada ya Rais Kikwete kumaliza muda wake 2015. Hili nililijua toka wakati huo. Na niliwambia baadhi ya watu kadhaa japo nilijua Magufuli atakuwa na vita kubwa. Mwaka 2011 niliwambia pia watu atakae kuwa Rais ajae ni Magufuli japo watu wengi wa Tanzania walidhani ni Lowasa au Membe. Katika huo mwaka nilifanikiwa kumuona Magufuli umbali wa mita chache japo sikuweza ongea nae alipanda gari akaondoka nilitamani kumwambia yeye ndo atakae kuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.
Japo Rais Magufuli anadhani alipata urais kwa bahati mbaya kwa kujaribu la hasha nataka nimuhakikishie kwamba, alipata urais kwa kuandaliwa na Mungu. Asijilaumu na wala asiseme seme haya maneno kuwa alijaribu. Mungu alishamuandaa. Anachopaswa kujua ni kuwa atakumbana na upinzani mkubwa hicho ni kitu cha kawaida. Watu wote waliokuwa chaguo la Mungu soma Biblia au mtazame Mtume katika uislamu. Wakati wa kampeni 2015 nilikuwa katika moja ya group iliyokuwa ikimsapoti Magufuli wengi waliogopa upepo wa Lowasa, niliwambia Magufuli atashinda tu. Walishangaa!
Sasa niseme na Kumwambia Rais yote mabaya wanayomtabilia, hakuna hata moja litakalo simama au kufanikiwa. Asiwe na wasiwasi Mungu yupo na yeye, na watanzania wema na wazalendo wako nae. Kuumwa ni hali ya kawaida ya binadamu, na kuumwa si kufa. Hakuna mahala Maandiko matakatifu yanasema mtaumwa na kufa. Maandiko yanasema tutakufa tutarudi mavumbini. Hivyo mtu aweza kufa hakiwa haumwi akafa ghafla tu. Rais wetu Mungu kakuandaa na utashinda uchaguzi 2020 usiwe na wasi na utaendelea kuwepo hadi utapo itimisha muda ambao Mungu anapenda utuongoze.
Onyo kwa wanao mtakia Rais mabaya mkizidi sana Mungu atawasambaratisha vibaya. Nakuonya Mhe. Zito, wewe ni mfitini na msaliti wa hii nchi upo kwa maslahi yako. Usidhani unaogopwa na unauwezo wa kusema lolote ukizidi Mungu ataufunga huo mdomo. Hivyo tulia fanya siasa nzuri na kuwa mzalendo. Mheshimiwa Membe wewe unapiga ngoma katika maji pole sana. Wakati wako umepita huna lolote hutokaa kuwa Rais wa hii nchi kamwe. Nimekwambia na utaona. Mungu anakujua na anajua nia yako hovu. Tundu Lissu, wewe unadhani kumsema Rais vibaya na nchi yako utafanikiwa haita tokea kamwe. Unawafanya wazungu miungu yako. Ipo siku watakuchoka na watakuacha kama ulivyo. Mzungu anachoangalia ni maslahi yake akiona hajapata au kapata atakutelekeza. Kwanza wanapenda mtu asiye msaliti wa nchi yake. Kwani hii ufanya wakuheshimu. Hivyo wewe wanakusanifu wanakutumia kupata wanachotafuta. Ila hawatoweza kukipata Tanzania hii inalindwa na Mungu ni nchi ya kipekee na watanzania wanaiombea. Acha hiyo tabia. Utapotea katika ulimwengu wa siasa na utajuta maishani mwako.
Nakutunukia PhD ya upumbavu ya kiwango cha korosho. Kwa sababu una mungu wako binafsi. Tuache na Mungu wetu anayetenda haki kwa wakati wake unaompendeza.

Kumshambulia mtu kama Zitto umechemsha kwa sababu kuna wengi zaidi ya Zitto huyu wanaojua mapungufu ya mtu wako. Narudia Mungu wa Kweli na wa haki ameshampima mtu wako hatoshei.
 
Natamani baba atoke akamalizie ziara yake mikoani Lindi na Mtwara, kinyume na Hapo uvumi na maneno vitaibuka upya, please!

Binafsi namwombea afya njema, aishi aone maoni ya Watu Juu yake Kama Mtu Binafsi lakini zaidi sana Kama Kiongozi wa Taifa, Amen!

Screenshot_2019-10-21-07-14-55-517_com.twitter.android.jpg
 
Back
Top Bottom