[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]huna akili wewe, unaonekana bado katoto na bado hujajua kutafuta pesa zako.. Sasa nenda ukapambane na watoa Figo huko. Nonsense
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mpelekee Baba yake FIGO hizo.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Jamaa ananikumbusha ile movie ya get out,demu anajitongozesha kwa wahuni wa kiafrica kisha anawaalika kwenda kwao ambako kuna mjumba wa kifahari.
Kisha ukifika huko watu wanapanda dau ukiwa hapo hapo na wewe huelewi,kisha baada ya hapo unaanza kujua hujui
Sasa Mr huyu kijana kapata bint wa 17yrs na yuko chuo. Na ukingalia kwa undani huyu bint n mdogo, yupo chini ya wazaz. Sasa huu uwezo anautoa wapi? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Ninamjua mtu ambae tulifahamiana hapa JF. Sitomtaja kamwe maana tunaheshimiana ila mara ya Mwisho nimeongea nae video call yupo Malta na amepata mume wa kule na ana mtoto mmoja tayari.
Niliongea nae na mume wake pia tuliongea.
Kumbuka: nimefahamiana nae hapa hapa JF na aliondoka TZ kwenda kusaka life na sasa yupo huko.
Sometimes kufanikiwa maishani kunahitaji ujasiri
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Yaani unatuuliza sisi kana kwamba ndo tulikupa koneksheni yake.
Kuhusu usalama hapo, hilo ni la kwako
Kuhusu kudate na binti wa miaka 17 hilo ni lako pia
Kuhusu kumzima hiyo dola 2720 hilo la kwako kuamua.
Kuhusu sheria za Malta na maisha yapoje hangaika nalo kwenye google utapata kila kitu.
La msingi kabla haujaondoka, tuma namba yake PM niweze kuwa namcheki mara kwa mara wasije wakakutoa figo na kuuza ili kufidia vichenji chenji vyao ulivyokula
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Figo mbili ni bei gani kule?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Ila vibali Vya UK safi anavyo. Dogo moyo figo ni karibia 1bn
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Nakazia, aanfalie figo zake kama zinathamani kuzidi hiyo $2
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Usisahau KY na Lotion zingine kumbuka na kubeba Kondomu. Unaenda kuliwa sifuri.
Hebu bas nisaidie mie niweze kufika [emoji632], [emoji23][emoji23][emoji23]Nililokusudia ni kuonyesha tu umma kwamba tusiwe waoga waoga.
On a side note: I am very careful in helping people nowadays. Wema waponza
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Aanze kula vyakula vya kusafisha mwili kama vile bamia, majani ya kunde na kadhalika.Andaa figo hizo
Nipe username yake, afu mi niende Malta nikirudi na wewe uende.Sababu anayotoa hana vibali na baba yake hatakubali
Mnanitisha jamaniAanze kula vyakula vya kusafisha mwili kama vile bamia, majani ya kunde na kadhalika.
Donnor anapaswa kuheshimishwa
Hii noma sasaNipe username yake, afu mi niende Malta nikirudi na wewe uende.
Ngoja niandae utaratibu tuoneUsikojolee hiyo bahati.