Tumekutana Instagram, amenitumia nauli niende kisiwa cha Malta tuonane

huna akili wewe, unaonekana bado katoto na bado hujajua kutafuta pesa zako.. Sasa nenda ukapambane na watoa Figo huko. Nonsense
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Sasa Mr huyu kijana kapata bint wa 17yrs na yuko chuo. Na ukingalia kwa undani huyu bint n mdogo, yupo chini ya wazaz. Sasa huu uwezo anautoa wapi? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Angekua mwanamke ndo anatakiwa na mwanaume huko [emoji1160] ni sawa tyuuh.
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…