3ZOV
JF-Expert Member
- Dec 28, 2020
- 6,259
- 7,015
😂😂😂 safari imekwivaBiashara ya kuuza viungo vya binadamu haipo huko Malta?
njoga wakamchojoe figo na moyo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
😂😂😂 safari imekwivaBiashara ya kuuza viungo vya binadamu haipo huko Malta?
Dawa za kulevya na viungo vya binadamu vinahitajika sana. Mtoto wa 17 yrs unadanganywa nae kirahisi hivyo? Kule hawana masihara. Utafungwa au yakupate makuu ya kuliwa VIUNGO VYAKO. Sijawahi kuona mzungu ANATOA HATA KIKOMBE CHA KAHAWA BILA MASLAHI. Uliza uelezwe. Akikupa ofa mkikutana na wenzie anakuuliza kamaculifurahia kahawa aliyokupa.Wadau kuna binti tumefahamiana kupitia mtandao wa kijamii Instagram ,ana miaka 17 yupo kisiwa cha Malta, tulianzisha mahusiano kupitia huo mtandao na hatimaye tukabadilishana namba za sim tukawa tunachat WhatsApp na kupigiana video call
Ni mwanafunzi wa chuo na wazazi wake ni wafanyabiashara
Binti alishanitambulisha kwa Dada yake ambaye yupo UK ni mwandishi wa habari na shangazi yake ambaye wapo naye chuoni na wananitaka niende
Hivi vihela vidogo vidogo binti na shangazi yake huwa wananitumia na nikiwauliza hela wanatoa wapi na wapo chuo wanasema wazazi wao wanawapa pocket money
Na wananipenda hatari
Tumefahamiana kama miezi 5 imepita juzi kanitumia dola 2720 niende kumtembelea nchini kwake kisiwa cha Malta.
Naomba nisaidiwe yafuatayo
Nauli kwenda Malta ni dola ngapi?
Vipi kuna usalama hapo? Na vipi maisha ya Malta yakoje anayejua
Vipi sheria za Malta kudate na miaka 17
Au nimzime hii hela na niblock
Sema mim nimemuamini kwa sababu ni mdogo, pia tunapochat kupitia video call anakuwa free na hata kama nikimwambia nionyeshe sehemu fulani ya mwili ananionyesha,pia ananionyesha mpaka chuo alipo akiwa darasan ,akienda hostel ananionyesha,akienda beach na marafiki mpaka anawapa na sim wananisalimia kwa video,wawapo matembezini mjini,sjui lakini mimi nahisi mtoto yupo serious na Mimi na yupo in deep love
Picha zako wanazo nyingi mpaka za uchi, watakukamata tuWadau kuna binti tumefahamiana kupitia mtandao wa kijamii Instagram ,ana miaka 17 yupo kisiwa cha Malta, tulianzisha mahusiano kupitia huo mtandao na hatimaye tukabadilishana namba za sim tukawa tunachat WhatsApp na kupigiana video call
Ni mwanafunzi wa chuo na wazazi wake ni wafanyabiashara
Binti alishanitambulisha kwa Dada yake ambaye yupo UK ni mwandishi wa habari na shangazi yake ambaye wapo naye chuoni na wananitaka niende
Hivi vihela vidogo vidogo binti na shangazi yake huwa wananitumia na nikiwauliza hela wanatoa wapi na wapo chuo wanasema wazazi wao wanawapa pocket money
Na wananipenda hatari
Tumefahamiana kama miezi 5 imepita juzi kanitumia dola 2720 niende kumtembelea nchini kwake kisiwa cha Malta.
Naomba nisaidiwe yafuatayo
Nauli kwenda Malta ni dola ngapi?
Vipi kuna usalama hapo? Na vipi maisha ya Malta yakoje anayejua
Vipi sheria za Malta kudate na miaka 17
Au nimzime hii hela na niblock
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kwanza ana uhakika gani kuwa huyo binti ni wa miaka 17? Tahadhari sana kijana watu usiowafahamu unadhani watakupa pesa za bure?
Vijana wenzako wameshakuonya ni vyema uwe msikivu. Hivyo vipesa anavyokuletea inawezekana ni mbaba mzima huyo anakutegeshea tu.
Nunua tiketi uende kule ukageuzwe punda wa kubeba madawa ya kulevya, au 'mtoa huduma' kwa akina mama fulani, halafu huna hata fedha za tiketi ya kurudia ndipo akili itakaa sawa.
Halafu kuna mamtu yanasema wanawake tunapenda pesa...... Cosovo ni mwanamke???
Mwamba umeua😀😀
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] lolUtaenda kuliwa tigo na kuuliwa wachukue viungo vyako.
Kuwa makini sana.
Tupeane connection mie pia natakaaa kwenda majuu serious [emoji23]Asanteni kwa ushauri naomba niungane na wanaosema niende
Mtoto ananisubiria kwa hamu sana
Kufa ni popote jamani
Namna ya kudukua sasaDukua mawasiliano yake kama kuna mpango mchafu utagutuka mapema!
Nikifika nitakushtuaTupeane connection mie pia natakaaa kwenda majuu serious [emoji23]
DuwaaNikifika nitakushtua