Tumekutana Instagram, amenitumia nauli niende kisiwa cha Malta tuonane

Tumekutana Instagram, amenitumia nauli niende kisiwa cha Malta tuonane

Wadau kuna binti tumefahamiana kupitia mtandao wa kijamii Instagram ,ana miaka 17 yupo kisiwa cha Malta, tulianzisha mahusiano kupitia huo mtandao na hatimaye tukabadilishana namba za sim tukawa tunachat WhatsApp na kupigiana video call

Ni mwanafunzi wa chuo na wazazi wake ni wafanyabiashara
Binti alishanitambulisha kwa Dada yake ambaye yupo UK ni mwandishi wa habari na shangazi yake ambaye wapo naye chuoni na wananitaka niende

Hivi vihela vidogo vidogo binti na shangazi yake huwa wananitumia na nikiwauliza hela wanatoa wapi na wapo chuo wanasema wazazi wao wanawapa pocket money

Na wananipenda hatari

Tumefahamiana kama miezi 5 imepita juzi kanitumia dola 2720 niende kumtembelea nchini kwake kisiwa cha Malta.

Naomba nisaidiwe yafuatayo

Nauli kwenda Malta ni dola ngapi?

Vipi kuna usalama hapo? Na vipi maisha ya Malta yakoje anayejua

Vipi sheria za Malta kudate na miaka 17
Au nimzime hii hela na niblock
Dawa za kulevya na viungo vya binadamu vinahitajika sana. Mtoto wa 17 yrs unadanganywa nae kirahisi hivyo? Kule hawana masihara. Utafungwa au yakupate makuu ya kuliwa VIUNGO VYAKO. Sijawahi kuona mzungu ANATOA HATA KIKOMBE CHA KAHAWA BILA MASLAHI. Uliza uelezwe. Akikupa ofa mkikutana na wenzie anakuuliza kamaculifurahia kahawa aliyokupa.
 
Kwanza ana uhakika gani kuwa huyo binti ni wa miaka 17? Tahadhari sana kijana watu usiowafahamu unadhani watakupa pesa za bure?

Vijana wenzako wameshakuonya ni vyema uwe msikivu. Hivyo vipesa anavyokuletea inawezekana ni mbaba mzima huyo anakutegeshea tu.

Nunua tiketi uende kule ukageuzwe punda wa kubeba madawa ya kulevya, au 'mtoa huduma' kwa akina mama fulani, halafu huna hata fedha za tiketi ya kurudia ndipo akili itakaa sawa.
 
Sema mim nimemuamini kwa sababu ni mdogo, pia tunapochat kupitia video call anakuwa free na hata kama nikimwambia nionyeshe sehemu fulani ya mwili ananionyesha,pia ananionyesha mpaka chuo alipo akiwa darasan ,akienda hostel ananionyesha,akienda beach na marafiki mpaka anawapa na sim wananisalimia kwa video,wawapo matembezini mjini,sjui lakini mimi nahisi mtoto yupo serious na Mimi na yupo in deep love

Sasa nenda mzee usitushoshe
 
Wadau kuna binti tumefahamiana kupitia mtandao wa kijamii Instagram ,ana miaka 17 yupo kisiwa cha Malta, tulianzisha mahusiano kupitia huo mtandao na hatimaye tukabadilishana namba za sim tukawa tunachat WhatsApp na kupigiana video call

Ni mwanafunzi wa chuo na wazazi wake ni wafanyabiashara
Binti alishanitambulisha kwa Dada yake ambaye yupo UK ni mwandishi wa habari na shangazi yake ambaye wapo naye chuoni na wananitaka niende

Hivi vihela vidogo vidogo binti na shangazi yake huwa wananitumia na nikiwauliza hela wanatoa wapi na wapo chuo wanasema wazazi wao wanawapa pocket money

Na wananipenda hatari

Tumefahamiana kama miezi 5 imepita juzi kanitumia dola 2720 niende kumtembelea nchini kwake kisiwa cha Malta.

Naomba nisaidiwe yafuatayo

Nauli kwenda Malta ni dola ngapi?

Vipi kuna usalama hapo? Na vipi maisha ya Malta yakoje anayejua

Vipi sheria za Malta kudate na miaka 17
Au nimzime hii hela na niblock
Picha zako wanazo nyingi mpaka za uchi, watakukamata tu
 
Kwanza ana uhakika gani kuwa huyo binti ni wa miaka 17? Tahadhari sana kijana watu usiowafahamu unadhani watakupa pesa za bure?

Vijana wenzako wameshakuonya ni vyema uwe msikivu. Hivyo vipesa anavyokuletea inawezekana ni mbaba mzima huyo anakutegeshea tu.

Nunua tiketi uende kule ukageuzwe punda wa kubeba madawa ya kulevya, au 'mtoa huduma' kwa akina mama fulani, halafu huna hata fedha za tiketi ya kurudia ndipo akili itakaa sawa.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Don't go currently kuna biashara za viungo za sex trafficking mtegee mwambie aje
 
Dukua mawasiliano yake kama kuna mpango mchafu utagutuka mapema!
 
Back
Top Bottom