Kuna kitu kinaitwa grooming kuna uwezekano mkubwa atakuwa anapangwa, kuna documentary moja niliiona nafikiri ni Aljazeera, ni binti mdogo miaka chini ya 20 , alikutana na mtu online wakaanzisha mahusiano, binti alikuwa Uingereza, jamaa yupo Syria na ni mpambanaji wa ISIS. Sasa mahusiano yalivyopamba moto binti akatoroka Uingereza kwa kutamani kuishi maisha ya Syria. Alivyofika kukuta mambo ni tofauti na matarajio akataka kurudi Uingereza, serikali nayo imekaza wanasema yeye ni tishio, ndio walikuwa wanamhoji analalamika, yupo tayari arudi hata kama mfungwa UingerezaβΉοΈYaan negative comment ni nyingi
maelezo yako ni sawa na wale wanaopima ukimwi kwa kumuangalia mtu alivyonenepa.Usiogope bana, kama mmeongea mtandaoni kwa muda wa kutosha wewe pekee ndio unaweza kujua kama umwamini huyo binti au la...hata Tanzania mbona kuna watu wamepotea kwenye mazingira ya kutatanisha na wengine walikuwa wanaibuka kwenye viroba, kwani unaogopa kukaa Tanzania ?....japo sipendelei sana kuanzisha mahusiano ya kirafiki/kimapenzi kwenye mitandao lakini najaribu kuwa open minded, wewe pekee ndio unaweza kujua kama kuna viashiria vyovyote vinavyoonyesha kwamba unajipeleka kwenye mdomo wa mamba.
ππππππNaomba uage kabisa ndugu jamaa na marafiki; mali zako gawa kabisa wasije wakagombania ndugu. Usisahau kutuonesha eneo la kaburi, unataka iwe wapi. Hizi ni dalili za kunyonywa damu mwisho wa mwaka.
Mabinti wa Bongo milioni 27 huwaoni!??? Kweli mapenzi kipofu!!!
ππππππππππ katuma milion 6, ukifika akivuna hizo figo anapata zaid ya 100m, well calculated
πππ natania nenda kale maisha kijana
πππππππWeka namba tutume rambirambi zetu mapema maana Njaa-nuary patakuwa ntiti
Scary!!![emoji125][emoji125][emoji125]
View attachment 2049402
Tamaa mbele mauti nyuma .Mapenzi yapo sikatii lakini angalikuja yeye mwanzo baba kamkataza mbona haiingii akilini yy ni Mmalta original au ni mgeni tu miezi 5 ni kidogo sana kumjua mgeni ww endelea kuchat nae na hiyo pesa mrejeshee kwa west union.Sema mim nimemuamini kwa sababu ni mdogo, pia tunapochat kupitia video call anakuwa free na hata kama nikimwambia nionyeshe sehemu fulani ya mwili ananionyesha,pia ananionyesha mpaka chuo alipo akiwa darasan ,akienda hostel ananionyesha,akienda beach na marafiki mpaka anawapa na sim wananisalimia kwa video,wawapo matembezini mjini,sjui lakini mimi nahisi mtoto yupo serious na Mimi na yupo in deep love
Akienda harudi walahKifo kipo kila mahali hata ukiwa ndani umelala bora ufe ukitafuta unachokiamini kuliko kufa kizembe
Just go bro kwani kufa bei gan
Una umri gani?Sema mim nimemuamini kwa sababu ni mdogo, pia tunapochat kupitia video call anakuwa free na hata kama nikimwambia nionyeshe sehemu fulani ya mwili ananionyesha,pia ananionyesha mpaka chuo alipo akiwa darasan ,akienda hostel ananionyesha,akienda beach na marafiki mpaka anawapa na sim wananisalimia kwa video,wawapo matembezini mjini,sjui lakini mimi nahisi mtoto yupo serious na Mimi na yupo in deep love
hhahahahaππππ
Mkuu amka toka usingizin, habari kubwa hapa bongo NI hamphrey polepole kaitwa ktk tume ya maadil ya chama,
na wiki lijalo NI Xmas..izi ndoto zitakupoteza Safari yakuushinda umaskin Bado NI ndefu