Tumekutana Instagram, amenitumia nauli niende kisiwa cha Malta tuonane

Tumekutana Instagram, amenitumia nauli niende kisiwa cha Malta tuonane

Sema mim nimemuamini kwa sababu ni mdogo, pia tunapochat kupitia video call anakuwa free na hata kama nikimwambia nionyeshe sehemu fulani ya mwili ananionyesha,pia ananionyesha mpaka chuo alipo akiwa darasan ,akienda hostel ananionyesha,akienda beach na marafiki mpaka anawapa na sim wananisalimia kwa video,wawapo matembezini mjini,sjui lakini mimi nahisi mtoto yupo serious na Mimi na yupo in deep love

Kajaribu bahati yako bana achana na hawaa
 
Usije ukaliwa kifala, sifa ya mwanaume ni mtu asiyependa slope
 
Usiogope bana, kama mmeongea mtandaoni kwa muda wa kutosha wewe pekee ndio unaweza kujua kama umwamini huyo binti au la...hata Tanzania mbona kuna watu wamepotea kwenye mazingira ya kutatanisha na wengine walikuwa wanaibuka kwenye viroba, kwani unaogopa kukaa Tanzania ?....

Kwa hiyo bora kufia kwenye viroba Malta na sio TZ? 😁
 
Wadau kuna binti tumefahamiana kupitia mtandao wa kijamii Instagram ,ana miaka 17 yupo kisiwa cha Malta, tulianzisha mahusiano kupitia huo mtandao na hatimaye tukabadilishana namba za sim tukawa tunachat WhatsApp na kupigiana video call

Ni mwanafunzi wa chuo na wazazi wake ni wafanyabiashara
Binti alishanitambulisha kwa Dada yake ambaye yupo UK ni mwandishi wa habari na shangazi yake ambaye wapo naye chuoni na wananitaka niende

Hivi vihela vidogo vidogo binti na shangazi yake huwa wananitumia na nikiwauliza hela wanatoa wapi na wapo chuo wanasema wazazi wao wanawapa pocket money

Na wananipenda hatari

Tumefahamiana kama miezi 5 imepita juzi kanitumia dola 2720 niende kumtembelea nchini kwake kisiwa cha Malta.

Naomba nisaidiwe yafuatayo

Nauli kwenda Malta ni dola ngapi?

Vipi kuna usalama hapo? Na vipi maisha ya Malta yakoje anayejua

Vipi sheria za Malta kudate na miaka 17
Au nimzime hii hela na niblock
Mwambie hujaruhusiwa kutoka nchini hivyo yeye ndio aje.
Kuhusu swala la wapi atafikia hata kwangu nitajitolea.
 
Nimewahi kumdokezea hili kwamba aje huku akasema baba yake hatakubali coz yupo chuo na vibali hana akashauri labda tukutane UK ,sasa nikajiuliza mtu wa vijijini huku nifikeje UK ,hata mia sina,nikapotezea hiyo ya UK

Sometimes unajilipua ila kws binti wa 17yrs kutuma hio pesa think like a MAN brw anasoma hana kazi anapewa na wazazi mzee becareful sana. Hata kama hatukujui bado tunakupenda ndugu yetu
 
Sema mim nimemuamini kwa sababu ni mdogo, pia tunapochat kupitia video call anakuwa free na hata kama nikimwambia nionyeshe sehemu fulani ya mwili ananionyesha,pia ananionyesha mpaka chuo alipo akiwa darasan ,akienda hostel ananionyesha,akienda beach na marafiki mpaka anawapa na sim wananisalimia kwa video,wawapo matembezini mjini,sjui lakini mimi nahisi mtoto yupo serious na Mimi na yupo in deep love

Hahaha mkuuu hata samak mpaka umnase na ndoano lazma uweke chambo otherwise huwez mnasa. [emoji28][emoji28]
 
Kama unahofia usalama mwambie ni vigumu sana ww kupata visa ya malta hivyo unaomba aje Tanzania, utampeleka sehemu nzuri kama ngorongoro, serengeti na zanzibar ata enjoy.

Kama pia ana wasiwasi basi mkutane dubai au nchi nyingine ya kati lakini kukutana huko subiri afikishe angalau 18 years usijeishia jela.

Ila ukiamua pia unaweza kwenda ukafikia hotelini kuonana inakuwa sehemu ya public kama kwenye mall au hata kwenye lobby ya hotel yako. Usiende anapoishi na usipande usafiri wake tumia usafiri wa umma au Uber.

Pia unaweza kufanya utafiti mtandaoni kumhusu, akupe details zake kuna sites unamhire mtu anakufanyia hiyo kazi kama huwezi, utagundua tu ukweli kama kuna mashaka.
 
But to me, still hard to accept it. But judgment & final decision still upon you... But take care!!!

Hahahahah[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] hili bati ni la nabaki Africa daaaa....Jf hatari sikutegemea kweenye maisha yangu hapa Jf kukutana na bati nyingi hivi kwenye sentensi moja [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Wadau kuna binti tumefahamiana kupitia mtandao wa kijamii Instagram ,ana miaka 17 yupo kisiwa cha Malta, tulianzisha mahusiano kupitia huo mtandao na hatimaye tukabadilishana namba za sim tukawa tunachat WhatsApp na kupigiana video call

Ni mwanafunzi wa chuo na wazazi wake ni wafanyabiashara
Binti alishanitambulisha kwa Dada yake ambaye yupo UK ni mwandishi wa habari na shangazi yake ambaye wapo naye chuoni na wananitaka niende

Hivi vihela vidogo vidogo binti na shangazi yake huwa wananitumia na nikiwauliza hela wanatoa wapi na wapo chuo wanasema wazazi wao wanawapa pocket money

Na wananipenda hatari

Tumefahamiana kama miezi 5 imepita juzi kanitumia dola 2720 niende kumtembelea nchini kwake kisiwa cha Malta.

Naomba nisaidiwe yafuatayo

Nauli kwenda Malta ni dola ngapi?

Vipi kuna usalama hapo? Na vipi maisha ya Malta yakoje anayejua

Vipi sheria za Malta kudate na miaka 17
Au nimzime hii hela na niblock
Kaka , akili za kuambiwa changanya na zako.

Mimi nakushauri wewe mtangulize MUNGU nenda huko malta ukatembee...binadamu wengine wana wivu watakutisha sana ili wakuharibie nyota yako na kilicho mbele yako.

Kama moyo wako una amani Wewe nenda wala usihofu wa kuogopa lolote lile.

MUNGU ni mwaminifu.
 
Hahahahah[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] hili bati ni la nabaki Africa daaaa....Jf hatari sikutegemea kweenye maisha yangu hapa Jf kukutana na bati nyingi hivi kwenye sentensi moja [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] But not like this,

Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
 
nenda ukanywe grand malta uko usiogope wewe ara eipii in advance uko malta
 
uko kuna biashara kubwa tu ya viungo vya binadamu kwa hiyo kua makin kijana ny3ge hizo zita kuponza
 
Back
Top Bottom