Tumekutana Instagram, amenitumia nauli niende kisiwa cha Malta tuonane

Tumekutana Instagram, amenitumia nauli niende kisiwa cha Malta tuonane

Weka skrini shoti za convo. By the way kama ni kweli wameshawahi kukuuliza kama unatumia kilevi cha aina yoyote ile?
 
Aache tamaa. Aje Mwanza kutafuta mke bora.Mambo ya kutafuta mserereko yatam-cost
Sasa tukirudi nyuma anaenda Malta kufanyaje yaani? Yaani genye zikutoe hapa tz to Malta wakati wengine hata wilaya-wilaya hatuwezi.
Vitu vingine huwa vinakuja automatically especially masuala ya mapenzi unapita katika pitapita zako unakutana na pisi kali unachakata papuchi then unapita hivi sio kusafiri kutafuta papuchi
 
Mkuu ushahidi hua ni kitu kizuri, ila kwa hio pesa pia kama ni nauli tu mbona unafika pengine labda uwe huna gamba la kuvukia boda (2700 ) kama ni usd ni zaidi ya milion 6 ya bongo ,au umetumia Dollar ya sudani sheikhe?
 
Sema mim nimemuamini kwa sababu ni mdogo, pia tunapochat kupitia video call anakuwa free na hata kama nikimwambia nionyeshe sehemu fulani ya mwili ananionyesha,pia ananionyesha mpaka chuo alipo akiwa darasan ,akienda hostel ananionyesha,akienda beach na marafiki mpaka anawapa na sim wananisalimia kwa video,wawapo matembezini mjini,sjui lakini mimi nahisi mtoto yupo serious na Mimi na yupo in deep love
Toa neno mtoto Mataifa ya ulaya na mabara mengi tofauti na Afrika mtoto mwisho miaka15 hata bongo sheria hii inakuja soon,watoto wako baby nursery sheikhe sio chuo.Usijeponzwa na miaka mjuba
 
Kula hela badili line mzee! Akikutafta mwabie uliuziwa simu ya wizi😀 na ukasingiziwa kesi kwahio ulikaa jela miezi 6 bila mawasiliano.

Zingatia kanuni, first date mtoto analiwa kwako!
Akili kubwa sana hii mkulungwaaa
 
kabla hujaenda nje ya nchi kwa mwaliko, ni vizuri sana ukafaham je Tz kuna ubalozi wao huko, kama ndio ukifika tu ripot kwanza ubalozini, usikurupuke sana wazungu hawajaacha sana ubaguzi!!
 
Bro figo inafika adi tsh million 80, moyo adi million 500
 
Google

A.Flight Dar es salaam to Valleta, halafu check prices kwenye websites za mashirika ya ndege

1.Turkish Airlines
2.Fly Emirates
3.Qatar Airways
4.Ethiopian Airlines

Kwa haraka haraka pesa kwa nauli inatosha

B.Viza
Ghrama inaweza kuwa around 250,000-300,000
Budget 500,000 pamoja na travel insurance.
Hapa inabidi akupe mualiko, akupe documents za mahali pakufikia,adresses zake.

Sasa kama hana vibali, amefikiriaje au atatumia huyo dada ake?

Inabidi uangalie ukitaka kwenda Malta viza unaipatia ubalozi wa nchi gani maana sidhani kama wana ubalozi Tanzania.

Kwa milolongo yoote hiyo, hiyo pesa inatosha na itabaki angalau kidogo.
Chenye gharama ni nauli na itategemea na season gani unataka kusafiri.

Ila si shauri uende kwa sasa bado unahitaji vingi kufahamu kutoka kwake,sometime kwenda ulaya sio shida ila shida unafikia wapi na unaishi vipi ukifika kule.......Ila usile nauli [emoji23]
Best comment,thanks bro
 
Back
Top Bottom