A man from Island
JF-Expert Member
- Aug 13, 2020
- 211
- 376
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huyu cosovo nadhani walishamla Figo kitambo.Cosovo njoo utuletee mrejesho huku, ulienda au haukwenda!?
Kama unaweza figo zako, na viungo vingine viache Tanzania kwa tahadhari tu.Wadau kuna binti tumefahamiana kupitia mtandao wa kijamii Instagram ,ana miaka 17 yupo kisiwa cha Malta, tulianzisha mahusiano kupitia huo mtandao na hatimaye tukabadilishana namba za sim tukawa tunachat WhatsApp na kupigiana video call
Ni mwanafunzi wa chuo na wazazi wake ni wafanyabiashara
Binti alishanitambulisha kwa Dada yake ambaye yupo UK ni mwandishi wa habari na shangazi yake ambaye wapo naye chuoni na wananitaka niende
Hivi vihela vidogo vidogo binti na shangazi yake huwa wananitumia na nikiwauliza hela wanatoa wapi na wapo chuo wanasema wazazi wao wanawapa pocket money
Na wananipenda hatari
Tumefahamiana kama miezi 5 imepita juzi kanitumia dola 2720 niende kumtembelea nchini kwake kisiwa cha Malta.
Naomba nisaidiwe yafuatayo
Nauli kwenda Malta ni dola ngapi?
Vipi kuna usalama hapo? Na vipi maisha ya Malta yakoje anayejua
Vipi sheria za Malta kudate na miaka 17
Au nimzime hii hela na niblock
Updates
Nashukuru kwa michango yenu,wengi mmeshauri nisiende ila wengine wanasema niende
Kwa ujumla naheshimu mawazo yenu ila naomba niungane na wale wa kukubali niende ,nimeanza kuandaa harakati za kwenda huko
Nimewasiliana na mamlaka ya vissa Malta wamenipa utaratibu lakini kwa kipindi hiki cha mlipuko wameshauri kwamba nisubiri kidogo kwa sasa wameweka masharti magumu kidogo ya kuingia nchini kwao
Vissa yao wanashughulikia ndani ya mwezi mmoja ,muda huo nifanye maombi ya vissa nikisubiria hali ya covid inaendaje huko ila wakanitahadharisha nisije nikafanye booking ya ndege mpaka wao waje kuniambia
Pia nitakuwa na tahadhari nikifika Malta na kuna mdau mmoja alinishauri nifikie kwenye kanisa ili niangalie hali ipoje ndo niendelee na mambo mengine ila Watanzania mniombee
yupo kmya mwamba au kashakua mboji tayar?Kama unaweza figo zako, na viungo vingine viache Tanzania kwa tahadhari tu.
AiseeMambo ya kupenda vitonga sio poa kabsa!
Ameleta mrejesho kwamba ameliwa jicho hotelini kwa kupenda mtelezo.Aisee
Tupe mrejesho bas. [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Aisee
Kwenye uzi wake amesema anahitaji wana saikolojia wamueweke sawaa... Aliyoyapitia hayaelezeki...Tupe mrejesho bas.![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
Uzi gan? Mbna sijaona mie, plz nitag bas huko.Kwenye uzi wake amesema anahitaji wana saikolojia wamueweke sawaa... Aliyoyapitia hayaelezeki...
Uzi gan? Mbna sijaona mie, plz nitag bas huko.
Duuhh.... ngoja nami nikaupitie huo uziMrejesho: Kilichonipata Malta ni zaidi ya Ukraine, siku 18 za kufa na kupona
Kama uzi wangu niliyowahi kuutoa kuhusu kukutana na mrembo wa Malta Niliondoka tarehe 12 February na Qatar air na kufika tarehe 13 Malta airport na baada ya taratibu zote za uhamiaji Nilifanikiwa kukutana na mwenyeji wangu,akiwa ameambatana na mabinti wawili na Kijana wa kiume mmoja...www.jamiiforums.com
Duuhh.... ngoja nami nikaupitie huo uzi
Duuhh.... ngoja nami nikaupitie huo uzi
...Yaani katika Wanaume Wote wa Malta amekuona wewe na kufall Kwako Mtanzania?? Binti wa Miaka17?? Jiulize! Utoto Raha Sana...!Wadau kuna binti tumefahamiana kupitia mtandao wa kijamii Instagram ,ana miaka 17 yupo kisiwa cha Malta, tulianzisha mahusiano kupitia huo mtandao na hatimaye tukabadilishana namba za sim tukawa tunachat WhatsApp na kupigiana video call
Ni mwanafunzi wa chuo na wazazi wake ni wafanyabiashara
Binti alishanitambulisha kwa Dada yake ambaye yupo UK ni mwandishi wa habari na shangazi yake ambaye wapo naye chuoni na wananitaka niende
Hivi vihela vidogo vidogo binti na shangazi yake huwa wananitumia na nikiwauliza hela wanatoa wapi na wapo chuo wanasema wazazi wao wanawapa pocket money
Na wananipenda hatari
Tumefahamiana kama miezi 5 imepita juzi kanitumia dola 2720 niende kumtembelea nchini kwake kisiwa cha Malta.
Naomba nisaidiwe yafuatayo
Nauli kwenda Malta ni dola ngapi?
Vipi kuna usalama hapo? Na vipi maisha ya Malta yakoje anayejua
Vipi sheria za Malta kudate na miaka 17
Au nimzime hii hela na niblock
Updates
Nashukuru kwa michango yenu,wengi mmeshauri nisiende ila wengine wanasema niende
Kwa ujumla naheshimu mawazo yenu ila naomba niungane na wale wa kukubali niende ,nimeanza kuandaa harakati za kwenda huko
Nimewasiliana na mamlaka ya vissa Malta wamenipa utaratibu lakini kwa kipindi hiki cha mlipuko wameshauri kwamba nisubiri kidogo kwa sasa wameweka masharti magumu kidogo ya kuingia nchini kwao
Vissa yao wanashughulikia ndani ya mwezi mmoja ,muda huo nifanye maombi ya vissa nikisubiria hali ya covid inaendaje huko ila wakanitahadharisha nisije nikafanye booking ya ndege mpaka wao waje kuniambia
Pia nitakuwa na tahadhari nikifika Malta na kuna mdau mmoja alinishauri nifikie kwenye kanisa ili niangalie hali ipoje ndo niendelee na mambo mengine ila Watanzania mniombee.
Soma Mrejesho: