Hakika inasikitisha! Aliye kando, haangukiwi na mti!Kipindi kuelekea Christmas π majumbani ukiwa mtupu.
Ndio maanake! Asali na shurubat, hayana ladha moja!Tunajuwa Makamba alihujumu TANESCO hukumchukulia hatua stahiki.
Mkome mlishangilia kifo cha Dkt MagufuliJana Arusha kutwa nzima hakuna umeme,usiku umeme ulirejea saa 7 asubuhi saa 1:43 wamekata.
Tumeshindwa kupasi nguo,vyakula kwenye fridge vimeharibika,tumelipia Dstv full package hatuna tunaweza kutazama.
Kipindi kuelekea Christmas π majumbani ukiwa mtupu.
Tunajuwa Makamba alihujumu TANESCO hukumchukulia hatua stahiki.
Umempachika Dotto Unaibu Waziri Mkuu na Nishati lakini hakuna cha maana zaidi ya misafara na mbwembwe ambazo hazitusaidii Watanganyika.
mlimnanga sana yule jamaa sasa kinawapata kiberiti alichowasha kimezima!.. mkamuita dictator mlifikiri nchi hii inatakiwa iongozwe soft soft!.
hata hivyo shangazi alishagasema vinampwaya viatu vyakaka!.
nchi inaongozwa na wenye pesa zao amabao wanataka mambo yao yapite ili biashara zao zifanyike!.
alipowagusa hao watu wakubwa mkaanza kusema "haki za binadamu haki za binadamu!"
mmesahau kuna watu walikimbia nchi..?
kama walikuwa ni wenye haki kwanini walikimbilia mafichoni..?
hamtafumbuka macho msipokubali kufumbuliwa!
mmkikaa kimdebwedo hata visivyoliwa vitaliwa.
mi mnyamwezi umekosea...We msukuma tulia
Update kwanza ussd
Niko INTELI huku, kuja ugide bia.Wapi huko?
Jana Njiro nimetoka misele saa 11 nimeacha umeme haujarudi, nafika nyumbani napo hamna umeme ππ
Nikalala zangu, nikaja shtuka saa 8 umerudi.
Leo tunao huku misele, home sijui.
Haha sijawahi kufika huko aiseeNiko INTELI huku, kuja ugide bia.
Kuna watu walikua wanasema wanataka maendeleo ya watu na sio vitu, leo ndio hao hao wanalia na mgao wa umeme. CHUMA aendelee kupumzika kwa amanimlimnanga sana yule jamaa sasa kinawapata kiberiti alichowasha kimezima!.. mkamuita dictator mlifikiri nchi hii inatakiwa iongozwe soft soft!.
hata hivyo shangazi alishagasema vinampwaya viatu vyakaka!.
nchi inaongozwa na wenye pesa zao amabao wanataka mambo yao yapite ili biashara zao zifanyike!.
alipowagusa hao watu wakubwa mkaanza kusema "haki za binadamu haki za binadamu!"
mmesahau kuna watu walikimbia nchi..?
kama walikuwa ni wenye haki kwanini walikimbilia mafichoni..?
hamtafumbuka macho msipokubali kufumbuliwa!
mmkikaa kimdebwedo hata visivyoliwa vitaliwa.