KENZY
JF-Expert Member
- Dec 27, 2015
- 32,529
- 76,691
pumba na mchele lazima vijitenge tu jambo la muda.Kuna watu walikua wanasema wanataka maendeleo ya watu na sio vitu, leo ndio hao hao wanalia na mgao wa umeme. CHUMA aendelee kupumzika kwa amani
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
pumba na mchele lazima vijitenge tu jambo la muda.Kuna watu walikua wanasema wanataka maendeleo ya watu na sio vitu, leo ndio hao hao wanalia na mgao wa umeme. CHUMA aendelee kupumzika kwa amani
Jana Arusha kutwa nzima hakuna umeme,usiku umeme ulirejea saa 7 asubuhi saa 1:43 wamekata.
Tumeshindwa kupasi nguo,vyakula kwenye fridge vimeharibika,tumelipia Dstv full package hatuna tunaweza kutazama.
Kipindi kuelekea Christmas [emoji319] majumbani ukiwa mtupu.
Tunajuwa Makamba alihujumu TANESCO hukumchukulia hatua stahiki.
Umempachika Dotto Unaibu Waziri Mkuu na Nishati lakini hakuna cha maana zaidi ya misafara na mbwembwe ambazo hazitusaidii Watanganyika.
Unajifungia tu njiro kama kakifaranga ka sungura. Nakutumia uba ukuje. 🥴Haha sijawahi kufika huko aisee
Naonaga km natoka nje ya mkoa 😀😀😀
Nchi za Kiafrika hizi zinahitaji viongozi aina ya Magufuli na Kagame. Tuwape miaka 30 wanyooshe nchi halafu watuachie. Nakwambia bara zima hili litavuvumka na kupiga hatua sana.mlimnanga sana yule jamaa sasa kinawapata kiberiti alichowasha kimezima!.. mkamuita dictator mlifikiri nchi hii inatakiwa iongozwe soft soft!.
hata hivyo shangazi alishagasema vinampwaya viatu vyakaka!.
nchi inaongozwa na wenye pesa zao amabao wanataka mambo yao yapite ili biashara zao zifanyike!.
alipowagusa hao watu wakubwa mkaanza kusema "haki za binadamu haki za binadamu!"
mmesahau kuna watu walikimbia nchi..?
kama walikuwa ni wenye haki kwanini walikimbilia mafichoni..?
hamtafumbuka macho msipokubali kufumbuliwa!
mmkikaa kimdebwedo hata visivyoliwa vitaliwa.
Aka 😃😀 hapakosi ngedere hukoUnajifungia tu njiro kama kakifaranga ka sungura. Nakutumia uba ukuje. 🥴
kwa wenye akili huu ndio wakati wakuvuna utajiri wakutosha kabla hawajaja hao akina magu..Nchi za Kiafrika hizi zinahitaji viongozi aina ya Magufuli na Kagame. Tuwape miaka 30 wanyooshe nchi halafu watuachie. Nakwambia bara zima hili litavuvumka na kupiga hatua sana.
Mimi naamini hii demokrasia ya Kimagharibi hii ni mtego tu wa kuendelea kuididimiza Afrika. Ulaya na kwingineko wao waliendelea wakati wa udikteta wa kifalme; na vinginevyo. Siamini kama wangeweza kufika hapo walipo na upuuzi huu wa demokrasia bandia hii ya mgongo wa chupa tuliyonayo Afrika.
Afrika inahitaji akina Kagame zaidi kuliko akina Samia - potelea mbali hata kama kutakuwa na maumivu kidogo maana hakuna maendeleo ya maana bila maumivu...
mnafaidi kinyama..!🤣Wamekata tena 😀😀 ilaaa tanesco
muulize sasa yanga imeingiaje hapo ..?😅[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Tunafaidi nini sasa, wakati hapa zinaanza kero za keleke za generatormnafaidi kinyama..!🤣
HahahahaKuna watu walikua wanasema wanataka maendeleo ya watu na sio vitu, leo ndio hao hao wanalia na mgao wa umeme. CHUMA aendelee kupumzika kwa amani
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Ndio maana siji Arusha safari hii.
Nije kufanya nini huko wakati umeme hamna.
Naenda kuchaji simu kizimkazi.
Umewasema wamekusikia 😀😀Wamekata tena 😀😀 ilaaa tanesco
nani kama mamaTunafaidi nini sasa, wakati hapa zinaanza kero za keleke za generator