Tumeshaonywa Tena na Tena: Mpenzi au Mchumba Hasomeshwi!

Tumeshaonywa Tena na Tena: Mpenzi au Mchumba Hasomeshwi!

Daraja la Mabatini Mwanza. Jamaa kajirusha. Inasemekana jamaa alikuwa akimsomesha mchumba wake Mwanza. Sasa aliamua kuja kumtembelea akakuta hakuna cha chuo bali kakuta kumbe binti keshaolewa na ameshazaa ana mtoto. Jamaa hakuwa na kifua akaishia kuamua hivyo alivyoamua.

Ukiamua kusomesha (au kuwekeza cho chote) kwa mpenzi/mchumba wako basi fanya hivyo kwa upendo na usitegemee cho chote in return maana wakati wo wote mambo yanaweza kubadilika. Na daima tambua kwamba uwekezaji wako huo siyo tiketi ya kukubalika naye. Nunua hata magari. Somesha sana mpaka Ph.D. Jenga hata majumba lakini ukweli ni kwamba unaweza kupigwa chini wakati wo wote mpenzi wako akiamua (na hii ni kwa jinsia zote!)

Ni hayo tu wananzengo!🚶🏿‍♂️🚶🏿‍♂️🚶🏿‍♂️
View attachment 2982758
Yeye kafa, ila demu muda huu anaomba kitambaa ajifute manii, maana ndio round ya kwanza imeisha.

Hivi mnaojiua ni kwamba hamnaga malengo? Unajiuaje sababu ya nyakwa?
 
Yeye kafa, ila demu muda huu anaomba kitambaa ajifute manii, maana ndio round ya kwanza imeisha.

Hivi mnaojiua ni kwamba hamnaga malengo? Unajiuaje sababu ya nyakwa?
Tumia tafsida kaka 😂😂😂 khaaa
 
Mwanaume huyo huyo anayesema hawezi kumsomesha mchumba, ndio mwanaume huyo huyo aliyemnunulia mwanamke iphone, anamwekea bundle kila siku, anayelipia gharama za kila wiki za saloon na kutengeneza kucha, analipia kodi ya nyumba ya mchumba, anayemnunulia nguo na mapambo na mwisho ndio anayempatia pesa ya chakuka, nauli na mitoko.

Kifupi ni mwanaume mpumbavu anayejifariji kwa ujinga.
 
Daraja la Mabatini Mwanza. Jamaa kajirusha. Inasemekana jamaa alikuwa akimsomesha mchumba wake Mwanza. Sasa aliamua kuja kumtembelea akakuta hakuna cha chuo bali kakuta kumbe binti keshaolewa na ameshazaa ana mtoto. Jamaa hakuwa na kifua akaishia kuamua hivyo alivyoamua.

Ukiamua kusomesha (au kuwekeza cho chote) kwa mpenzi/mchumba wako basi fanya hivyo kwa upendo na usitegemee cho chote in return maana wakati wo wote mambo yanaweza kubadilika. Na daima tambua kwamba uwekezaji wako huo siyo tiketi ya kukubalika naye. Nunua hata magari. Somesha sana mpaka Ph.D. Jenga hata majumba lakini ukweli ni kwamba unaweza kupigwa chini wakati wo wote mpenzi wako akiamua (na hii ni kwa jinsia zote!)

Ni hayo tu wananzengo![emoji2221][emoji2221][emoji2221]
View attachment 2982758
Jinsi uonavyo mbugani wanyama wanavyowindana ndivyo pia Binadamu wajinga huwa ngazi na fursa kwa wengine, "dunia uwanja wa fujo"

Ubinadamu ni kazi/The humanity is a work.
 
Back
Top Bottom