Interlacustrine R
JF-Expert Member
- Jan 22, 2022
- 7,186
- 14,274
VAR checking....Women = are unpredictable creatures, even themselves do know nothing about their mindsets needs to Gentlemen..
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
VAR checking....Women = are unpredictable creatures, even themselves do know nothing about their mindsets needs to Gentlemen..
Cherehani NO, Ke asomeshwe utii tu kwa Me.Tilikubaliana kua anasomeshwa chereani tu.
,[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Hizo sifa anazo za hicho chuo cha Biblia? Hapo unakuta pua ina kipini kama nguruweChuo Cha Biblia..akikuacha wew..haez muacha na Mungu
😂 Hii nayo ni shida nyingineHizo sifa anazo za hicho chuo cha Biblia? Hapo unakuta pua ina kipini kama nguruwe
Kristo Yesu ndio jina lake Yeye Ni Mungu aliyetuumba sisi . Sasa na mapenzi wap na wap tafuta mifano mingine hii ya hivi unajipalia TU makaa mwenyewe na wanaoKuna msukuma kakomalia hawezi kuruka. Acha afe wajinga ndio waliwao. Uzuri najua hajafa ila ameumia sana, hio ndio safi aone maumivu ya ujinga mbili. Ujinga wa kwanza kusomesha na ujinga wa pili kutaka kujiu. Wakibiwa hapa wanadai sisi wakulungwa hatuna mapenzi. Mapenzi ya nyoko, hata Emmanuel Joseph ( Yesu) hakuyataka
😂😂😂😂😂😂😂😂👊👊👊👊👊Chuo Cha Biblia..akikuacha wew..haez muacha na Mungu
😂😂😂👊👊👊👊 Hiyo hufundishwa na wazazi mkuuCherehani NO, Ke asomeshwe utii tu kwa Me.
Ubinadamu ni kazi/The humanity is a work.
Sasa wameshashindikana mkuu...hyo ni option ya mwisho😂😂😂😂😂😂😂😂👊👊👊👊👊
Kuna watu muna mambo ua ajabu nyie
😂😂😂😂😂😂😂😂😂 Mna hatareeee sanaSasa wameshashindikana mkuu...hyo ni option ya mwisho
Ni mwendo wa kuwapeleka kwa bible schools tu mpka akili ziwakae😂😂😂😂😂😂😂😂😂 Mna hatareeee sana
Kuna watu muna roho MBAYAMpenzi sio mama yako ambae hatasimama na wewe siku zote za maisha yake, mpenzi ana mamlaka ya kusitisha mahusiano muda wowote bila kujali umejitoa kwa kiasi gani kwake na hakuna kitu utamfanya. Chonde chonde kijana mwenzangu usimuinue mwanamke kiuchumi wala kielimu au pale utakapoamua kufanya ivyo basi fanya kwa kiasi ambacho utaweza kustahimili maumivu ya kukipoteza..
Mwanamke mwenye matatizo ukimsaidia sanaaa huwa anakuona boya tuNi jambo la muda tu ataleta uzi tumshauri. Washauri tupo na keyboard ziko tayari😂
uongo ni dhambi na ni kosa kisheria.
umekosea na umesau mjumbe makubaliano yetu yalikua ni kumsomesha chuo cha biblia tuu. Si vinginevyo!Tilikubaliana kua anasomeshwa chereani tu.
,😂😂😂😂😂😂😂