Poor Brain
JF-Expert Member
- Jul 5, 2019
- 19,644
- 40,546
πππππππππumekosea na umesau mjumbe makubaliano yetu yalikua ni kumsomesha chuo cha biblia tuu. Si vinginevyo!
washindi ni kutoka mkoa wa kirimanjaro tuu.Kwa kufanya hivyo miaka hii ni sawa na kucheza mchezo Supa wa ITV...
cherehani huo umefanya uwekezaji sasa hapo kimahesa ataolewa na hiyo cherehani. Na wewe utaenda kwenye darajaπππππππππ
Humu ndani kuna watu hovyo sana jamni daaah
Hadi chereani hamtaki kufundisha kweli πππππ
πππππππππππcherehani huo umefanya uwekezaji sasa hapo kimahesa ataolewa na hiyo cherehani. Na wewe utaenda kwenye daraja
Wewe mpaka siku wakulekodi na watupe connection yako ndo utaachana na hao viumbe maana sio kwa ulivo mention hivoKuna nyeto, kuna gambe, kuna pisi kali kwa bei chee mpaka buku mbili.
Kuna vibinti viduchu vibichiiii wala hutumii nguvu kusukumiza voko, ghalama ni vocha tu, ukikanunilia tecno baasi umeua.
Jamani sasa unajiuaje??? Kuna wanachuo bwerere ni kubadilisha tu ukitaka.
Sasa huyu bwege anajiuaje, huko hamna bar, akate hata nyagi kavu akifia bar walau atakua kafa kishuja. Walevi tutampigia makofi na kumzika vyedi.
Kwasasa huko kwenye mambo ya kiroho ndo kwenye maokoto kuliko sehemu yoyote ileumekosea na umesau mjumbe makubaliano yetu yalikua ni kumsomesha chuo cha biblia tuu. Si vinginevyo!
Madem hawana shukrani, ndio maana huwa nasema kama kuna mbingu wanaume wataingia kwanza nafasi ikibaki ndio watachambuliwa wanawakeMwanamke mwenye matatizo ukimsaidia sanaaa huwa anakuona boya tu
Ndio akili yakoKristo Yesu ndio jina lake Yeye Ni Mungu aliyetuumba sisi . Sasa na mapenzi wap na wap tafuta mifano mingine hii ya hivi unajipalia TU makaa mwenyewe na wanao
Connection yangu haiwezi kutrend ππWewe mpaka siku wakulekodi na watupe connection yako ndo utaachana na hao viumbe maana sio kwa ulivo mention hivo
πππππππππππππππ
Yaaan ngoja wanyangende tusiipate mkuu .Connection yangu haiwezi kutrend ππ
Hilo limeisha bossNdio akili yako
Tafadhali achana na hii kauli ya inategemea kwenye jambo hili, kama imewahi kutokea basi nikwako.
baada ya upembuzi yakinifu hii nayo tulikataa!Tilikubaliana kua anasomeshwa chereani tu.
,πππππππ
π€£π€£π€£π€£π€£Haifunguki kwa mnaosomesha wachumba, kwa sisi wengine inafunguka furesh tu!