Tumetoka mbali - kuna ngoma za zamani ni kama vile vocal imerekodiwa kwa simu ikadondosjwa juu ya beat

Hiyo 50/ 50 bonge la ngoma waifanyie remix kwenye studio ya kisasa.. ongeza fid pale kati.na Lord eyez, .. itakuwa na fleva tofauti na itawarudisha kwenye gem.. hata ile mikwara ya GK ingefiti humo ila tatizo kile kigugumizi !

Warudi kwenye game kufanya nini, kwani wanahitajika?
 
Mapacha, hawa jamaa walikuwa wanapendelewa sana mabeat
Kuanzia

Fifty fifty

Tuna bang

Nipe jibu ft nurueli & mangwair
 
Asante mkuu Leo umependezesha sana siku yangu hii ngoma ya 50/50 ni zaidi ya hip-hop ila zamani kulikua na mawe
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…