Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Upumbavu wa kufika fainali auYanga haijawai kuwa na upumbavu huu.
.Abiola cup
Ilikuwa CAF CUPKama kichwa cha habari kinavyojieleza pichani ni kikosi cha simba kilichocheza fainali za Abiola 1993 na picha ya Roy Keane wa Man U 1993.
Dah kitambo sana mara ya mwisho Tanzania kuingiza timu fainali. Mtu anavaa jezi bila hata kuwa na Mkataba na sharp.
View attachment 2633933View attachment 2633934
Sio zamani sana, Ivo Mapunda alidaka na jezi ya Newcastle United Stars chini ya Maximo walivocheza na Senegal pale Kirumba.๐๐
Kipindi hiko Goba kuna fisi wa kutoshaKama kichwa cha habari kinavyojieleza pichani ni kikosi cha simba kilichocheza fainali za Abiola 1993 na picha ya Roy Keane wa Man U 1993.
Dah kitambo sana mara ya mwisho Tanzania kuingiza timu fainali. Mtu anavaa jezi bila hata kuwa na Mkataba na sharp.
View attachment 2633933View attachment 2633934
Kwani Yanga ilishawahi kufika fainali hata moja enzi hizo za umasikini? Haikubahatika kufika. Ingalifika ingalifanya hivyo hivyo au ingalivaa jezi za TANU!Yanga haijawai kuwa na upumbavu huu.
Siyo viatu tu, pia tulikuwa tukicheza bila jezi, ila hatukuwahi kuvaa jezi za timu nyingine sababu Yanga haikuwahi kuwa mfano au idea ya timu fulani, bali ilikua timu kamili tangu kuanzishwa kwake.Yanga ilikuwa ndio timu iliyochelewa kuvaa viatu.
Sasa piga hesabu hapo mwenyewe, kama Simba ilikuwa inavaa jezi za Man U, Yanga si walikuwa wanacheza matumbo wazi?
Fainal ya yanga dhidi usma Alger nashauri yanga wavae jezi ya Brazil