Hebu nambie tu tangu walipoanza kuchukua hizo tahadhari, ni nchi gani angalau moja tu duniani imefanikiwa kudhibiti kusambaa kwa maambukizi na vifo vya UVIKO_19 na sasa wako salama kabisa. Ahsante
Well said brotherSubiri kuanzia wiki ijayo tutazika viongozi wengi Sana kwa Hilo gonjwa,wiki hizi mbili za msiba wa magufuli kuna maambukizi mengi ya covid hasa Kwa wanasiasa wajinga
Vipi kuhusu France, USA, Denmark au basi Kenya any changes...Mafanikio ya Iceland na gonjwa hili wewe hujayasikia?
Utaanza na ndugu zakoBaada ya huu msimba kutakuwa na vifo vingi sn vya corona
Hakuna ndugu yangu mjinga wa kwenda kukusanyika bila sababu za msingi.Utaanza na ndugu zako
Kwani videri wangapi imewauwa ofisi kuu mpaka sasa?Kwa hiyo tuendelee kusubiri mwezi wa ngapi ndio corona itatufagia? Tulibiwa tutadondoka kama kuku wewe kideri....muda hujafika tu?
Korona inafyeka wamarekani wenye chanjo na barakoa na social distance kuliko changanyikeni ya tz...
Nashauri wewe vaa barakoa
Kwann hivo vifo visianze hata sasa... tangu tarehe ngapi watu wanakusanyika kwa wingi bila barakoa... be positive ndugu. Acha kuwaza mabaya. Kafanye kazi uinue taifa.Baada ya huu msimba kutakuwa na vifo vingi sn vya corona
Usiishi kwa kukaririshwaVipi kuhusu france, usa, Denmark au bas kenya any changes...
Bali?Usiishi kwa kukaririshwa
Mpuuzi wewe, kwani wanatangazwa?Kwann hivo vifo visianze hata sasa... tangu tarehe ngapi watu wanakusanyika kwa wingi bila barakoa... be positive ndugu. Acha kuwaza mabaya. Kafanye kazi uinue taifa.
Ulitaka utangaziwe wewe ili iweje.... ndugu zako wangapi waliokufa ulitutangazia kwenye vyombo vya habari ili na sisi tujue wamekufa kwa ugonjwa gani...Mpuuzi wewe, kwani wanatangazwa?
Mbona kwenye kampen mlikuwa hamvai barakoa Wala kuzingatii hayo mashartiNinao wawili na wote wanavaa Barakoa
Unawafahamu ndugu zangu?Ulitaka utangaziwe wewe ili iweje.... ndugu zako wangapi waliokufa ulitutangazia kwenye vyombo vya habari ili na sisi tujue wamekufa kwa ugonjwa gani...
Ngoja Samia aingie kazini na ugali wa watu Kama wewe utaishia hapo.Ulitaka utangaziwe wewe ili iweje.... ndugu zako wangapi waliokufa ulitutangazia kwenye vyombo vya habari ili na sisi tujue wamekufa kwa ugonjwa gani...
Mtaan kwako wamekufa wangapMpuuzi wewe, kwani wanatangazwa?
Inakuhusu?Mtaan kwako wamekufa wangap